Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weeee analia wiki yote hata hamu ya kugonga hana....
Bora yule*2 wa jana wa leo tofauti sana...
Nipe namba inbox
Ongeza bidii hii hatoshi ikiwezakana ikiwezekana mnyime k mmeo ili muda wote uwe jf kukuzabifu.
Daimond katoa nyimbo umeisikiaa ni kiboko ya magari mabovuuu aiseee ,ni noumaaaa ni bhiatateeeee
Ndo watu tunasoma novel huku bobolizo lipo ndani.....
Diamond alie kuzomewaa, ,!!basi Kikwete angekua ashakaukiwa machozi kwa kuzomewaaa
Mpendeni na Diamond bana
Katoa lini???haya niambie secretary wake....unaitwaje?
Teh teh teh daaaah leo atakayenigusa ninae.
Basi hamsikii utamu wake
Hahahaaaaa...hunizidi mimi kwa kweli
Utamu wake ndo unazidi kutupa nguvu yakufanya shughuli nyingine
Hhhhhaaaaaaaaaaaaaa mayo waneeeee
Tulia hivyo hivyo usiwe na haraka secretary wa kiba
Mi alinikunaga kwenye wimbo huu pia na una maana sana.
"Yule alie kupa wewe, ndo kaninyima mimi, na kama riziki anatoa yeye........ ila Mungu ndo anatoa hata kwa foleni hata kama niko nyuma nitapata lazima."
Wewe hadhi yangu kubwa siwezi kuwa secretary....jana nimeambiwa nampenda basi leo nasema ni mchepuko wanguuuu
dina ng'wanene