Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Jaribu kuwa makini unapokuwa unaunda swali hadharani, kwa sababu aina ya swali lako inakuonesha kiasi cha upeo wako. Kwa hiyo unaweza kufanya watu wakuweke kwenye daraja la chini kiuwezo wa kufikiri kama wengi wetu walivyokuona hapa.
Kushabikia mwanamuziki sio kupoteza muda, hata Rais wa Marekani, Barack Obama (Rais mwenye majukumu mengi) alimtaja hadharani Carly Rae Jepsen kama ndiye anayemshabikia kupitia wimbo wake wa Call Me Maybe.
Ova

mnapoteza muda tu hapa hata mtukane vipi au mni-rate kwa viwango gani. Kwani Obama ni Mungu akifanya jambo ndio na wewe ufanye? poor thinking capacity
 
hahahahahaahahaaa familia ya wanaoishi kwa matumaini, of coz ndio kilichobakia
 
mnapoteza muda tu hapa hata mtukane vipi au mni-rate kwa viwango gani. Kwani Obama ni Mungu akifanya jambo ndio na wewe ufanye? poor thinking capacity

Nimekutolea mfano wa mtu ambaye ana majukumu mengi. Wala hakuna mtu atakayekulamisha kuamini tofauti na unavyoamini, coz hatujui malezi yako.
Ila binafsi sipotezi muda, miradi na kazi zangu zinaenda na kukua kila siku, na bado niko hapa namshabikia Kiba, kwa muda ambao hata wewe uko hapa pia, ila bado hupotezi muda.
Ova
 
Mwenye link ya video ya mwana jamani atupie,me sijabahatika kuiona had leo
 
Nimekutolea mfano wa mtu ambaye ana majukumu mengi. Wala hakuna mtu atakayekulamisha kuamini tofauti na unavyoamini, coz hatujui malezi yako.
Ila binafsi sipotezi muda, miradi na kazi zangu zinaenda na kukua kila siku, na bado niko hapa namshabikia Kiba, kwa muda ambao hata wewe uko hapa pia, ila bado hupotezi muda.
Ova


duuuh jibu zuri kweli, achana nae huyo bwana
 
Hellow wapenda mimi ni mpnz mkubwa wa alikiba na huu uzi umenivutia kujiunga jf maana nimeona nisiishie kusoma tu napitwa na mengi support pia yatakiwa nampenda kiba mpaka naharisha uuuuwi wenye chuki na wachukie tu.
 
Hellow wapenda mimi ni mpnz mkubwa wa alikiba na huu uzi umenivutia kujiunga jf maana nimeona nisiishie kusoma tu napitwa na mengi support pia yatakiwa nampenda kiba mpaka naharisha uuuuwi wenye chuki na wachukie tu.

wellcome dear home of gud music, tupate raha na kiba wetu
 
Thnx hny yaani ukimchukia kiba ni kujitafutia maradhi ya moyo sasa nani anataka hayo yote twajiachia tu sie na king wetu


sanaaaa na unaanzaje kumchukia kiba jamani!!! lazima uwe una matatizo!!! hahaaaa hilo neno "king" linawatoa watu roho jamani, mashabiki ndio tushampa hicho cheo sasa km hutaki kanywe tindikali
 
Back
Top Bottom