Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

hahahahaaa uuuwi hivi huku huwa mnaongeaga nini?? manake hakuna events yoyote mpya, lakini uzi unapaa tuu mnajua mmepanic vibaya?? tshet vipi zimetoka??? au ndio TATIZO VYOTA kila kitu kinabuma, kama tshet zimeshindikana kutoa kama video ilivyoshindikana embu jaribu basi kutoa MOKA kwikwikwikwiiiii nifah huhuhuhuhuuu njoo nisupport nimewapa wazo la kutoa moka, hihihihihiii nipigie makofi heheheheee, alafu zikitoka tuu pair ya kwanza unamchukulia baba watoto, hohohohoooo atakupendaje???

Tukimaliza moka tutaingia kwenye project ya kutengeneza condom maalum kwa ajili ya watoto wa Tandale!!then mawigi afu tutamalizia na plastic surgery za kupunguza ukubwa wa midomo kwa baadhi ya wasanii maana imekua aibu kula denda na wanawake kibao mpaka midomo imekua mikubwa kama mabakuli wanataka kumeza videvu vya watu wanatuletea aibu tuu!
 
Last edited by a moderator:
...Rudi home wewee,rudi nyumbaaaniii,wasalimie Kigomaaa!waambie nishaoaa!!
 
hahahahaahaha hayjanishuka wala wala nini nifah najua anastress, sio kitu rahisi hata kidogo team kiba wote mna stress, short tempered kitu kidogo tu povu mtadhani mmemeza mche wa jamaa, hamnafuraha ya kweli mnalazimisha furaha, mnaanzaje kuwa na furaha kwa mfano kipi kiwape furahaaa????

mimi nimewapa wazo kwa nia njema kabisa kuliko kushinda humu ndani mwapiga porojo bure, basi jaribuni kutoa moka, coz tshet zimebuma, kwanza team kia aibu yenuuuuuu, ngoja niwachambee kidogo, ngoja niwape vipande vyenu, nyie sio lolote sio chochote ni wanafki tuu, embu angalia uzi threads zinakaribia 300 hakuna hata mmoja ameweza kuja na wazo la nini kifanyike video itoke, pyeeee tutoleeni u team mavi wenu,kelele nyingi tu hapa mwatuumiza maskio kwanza, muliwezalo nyie ni kuzomea tuu, kazi hamuweziiiii.

siwalazimishi lakini ukweli utasimaa ukitaka furaha ya kweli ni KUOTA ila tatizo nyota
 
hahahahaahaha hayjanishuka wala wala nini nifah najua anastress, sio kitu rahisi hata kidogo team kiba wote mna stress, short tempered kitu kidogo tu povu mtadhani mmemeza mche wa jamaa, hamnafuraha ya kweli mnalazimisha furaha, mnaanzaje kuwa na furaha kwa mfano kipi kiwape furahaaa????

mimi nimewapa wazo kwa nia njema kabisa kuliko kushinda humu ndani mwapiga porojo bure, basi jaribuni kutoa moka, coz tshet zimebuma, kwanza team kia aibu yenuuuuuu, ngoja niwachambee kidogo, ngoja niwape vipande vyenu, nyie sio lolote sio chochote ni wanafki tuu, embu angalia uzi threads zinakaribia 300 hakuna hata mmoja ameweza kuja na wazo la nini kifanyike video itoke, pyeeee tutoleeni u team mavi wenu,kelele nyingi tu hapa mwatuumiza maskio kwanza, muliwezalo nyie ni kuzomea tuu, kazi hamuweziiiii.

siwalazimishi lakini ukweli utasimaa ukitaka furaha ya kweli ni KUOTA ila tatizo nyota
Booooh!!boooh!!Umedoda watu tupo bize na ESCROW unatujazia nyaraka!!yesss we are one happy family!!Nenda rudi baadae!!Booooh!Shame shame!!Unang'ang'ania u knw kwa kuwa humu patamuuu,gusa unate!!
 
Booooh!!boooh!!Umedoda watu tupo bize na ESCROW unatujazia nyaraka!!yesss we are one happy family!!Nenda rudi baadae!!Booooh!Shame shame!!Unang'ang'ania u knw kwa kuwa humu patamuuu,gusa unate!!

achana naye huyo
 
Booooh!!boooh!!Umedoda watu tupo bize na ESCROW unatujazia nyaraka!!yesss we are one happy family!!Nenda rudi baadae!!Booooh!Shame shame!!Unang'ang'ania u knw kwa kuwa humu patamuuu,gusa unate!!

Shame on her achana nae wanashindwa kuendeleza uzi wao umewadodea huko kazi kuzurula kwenye majumba ya watu hata hawaoni aibu mbona sisi kwao hatuend wao sasa kutwa kiguu na njia kiruuuuuuuuuuuuuuuu kiba atawatoa watu roho jamani
 
Tukimaliza moka tutaingia kwenye project ya kutengeneza condom maalum kwa ajili ya watoto wa Tandale!!then mawigi afu tutamalizia na plastic surgery za kupunguza ukubwa wa midomo kwa baadhi ya wasanii maana imekua aibu kula denda na wanawake kibao mpaka midomo imekua mikubwa kama mabakuli wanataka kumeza videvu vya watu wanatuletea aibu tuu!

Kula like 1000
 
Kula like 1000


hahaaaa!!! mie nawashangaa tu wanavyohaha, maana wao ni Mungu hadi mioyo yetu wanajua kuisoma, hv mie nawashangaa kutwa kulia lia na furaha yetu km mama zetu hv!!! alowaambia hatuna furaha nani?? kwani kuna aloshikiwa bunduki hapa kumshabikia Kiba?? ndio sasa mjue kuwa sisi co mashabiki maandazi yaani ni mashabiki wa ukweli haswaaaaaa! kiba video yake inawawasha et? maana mnaisubiri kwa hamu kweli, tatizo lenu nyie subira ziro ndio maana mnakurupuka mno hata hamjitambui mpaka mnajifanya wanajeshi, na mkwendeeeee msitumalizie oksijeni hapa, Kiba yumo damuni
 
Pili pili ya shamba inawawashia nini!!aaah!!Kiba anawapa san pressure akyanan...project ya kula videvu vya watu imewadodea ama!!
 
Pili pili ya shamba inawawashia nini!!aaah!!Kiba anawapa san pressure akyanan...project ya kula videvu vya watu imewadodea ama!!


yaani wanawashwa mpaka nawaonea huruma, na hapa hawakauki ati!! wataipenda tu, km kumewashinda huko karibuni tu kiroho safi
 
Huu mtaa unaitwa mtakuja na kiba ni km maji ukikataa kunywa sebuleni chooni utayaulizia. Masuala/mipango ya jirani vyawahusu nn km co ushakunaku mtuache na kiba wetu eeeeh hayo mapungufu mnayoyaona sie ndo twayapenda tena nyang'anyang'a tumezimika
 
He's our everthing,everthing
Kila anachofanya kwa ajili yetu everthng hata km.................. Anaeweza amalizie
 
Mhhh leo hapa kuna magazeti ya kufa mtu na hivi nimechoka siasani...mtanisamehe kwa sasa,may be later...
 
nifah kanasa kwenye siasa, wala simsomi humu ndani. Hamjambo lakini Kiba's Family?
Ova
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom