Ali Mufuruki on ITV: Kilimo kwanza kiliishia wapi? Viwanda vya Saruji kupata hasara si ishara nzuri

Weeee! Unadhani wote tuko kiwango cha Mufuruki wako? Yuko private ipi? Walipoalikwa ikulu uliona walichokuwa wanaeleza? Wengi waliishia kutetea biashara zao badala ya mazingira ya biashara ndani ya nchi. Hawa ni wale wale! Wakitafuta PPP maana yao ni kutafuta kupendwa na wanasiasa au kuzoeana nao wapate nafasi ya wizi.

Hebu aeleze infosys yake ilivyoingia na Lugumi. Aeleze ubora wa kazi yake ktk CRDB. Jizi huyu!
 
Tafuteni tweets zake za early 2016. Huyu ni miongoni wasomi na wafanyabiashara wakubwa walio amini sera za mkulu ni muarobaini wa matatizo yakiwemo ya uuchumi wa nchi yetu. Bila shaka naye pia atakuwa ameanza kuisoma namba
 
Nonsense! Nilitarajia u-challenge kwa hoja hayo niliyotaja badala ya kuja na viroja!!

Sasa habari za eti "...Mufuruki wako zinatoka wapi?" Btw, wa wapi wewe usiyefahamu hata umuhimu wa PPP kwa watu wa private na hata wa public sector?!
 
Hebu google "ali mufuruki"........bila quotation marks
 

Yuko sahii. Ukweli ni kuwa mkoa wote wa Kagera unafaa kulima parachichi na atakaye pata njia ya kuyafikisha Entebbe kwa ajiri ya export atakuwa ameukata.
 
Very interesting. Wewe unamuona hafai lakini kampuni kama Vodacom wanampa uenyekiti. Kati yako na Vodacom tumuamini nani?
 
Yuko sahii. Ukweli ni kuwa mkoa wote wa Kagera unafaa kulima parachichi na atakaye pata njia ya kuyafikisha Entebbe kwa ajiri ya export atakuwa ameukata.
Entebe yanatakiwa yafike yakiwa kwenye firm gan mkuu?
 
Jifunzeni kuchangia kwa hoja na siyo kuchangia kimajungumajungu. Sijui kwa nini Watanzania wengi hawana uwezo wa kujenga hoja. Uwezo wao unaishia kujenga majungu

Unayaita majungu kwasababu yanamuumbua mtu wako lakini tungekuwa tunamsifia kuwa ana umahili ungeziita hoja!! Tatizo la wadanganyika ni njaa, na ndio maana ni rahisi kuwadanganya na wao kuwa wasahaulifu upesi sana!!
 
Infosys na infotech ni vitu viwili tofauti.

Halafu swala la lugumi lifuatilie vizuri sababu unachanganya madesa mkuu
Yawezekana Boss lakini ukweli uko pale pale! Ni mmoja waliohusika kuiibia CRDB original
 
Very interesting. Wewe unamuona hafai lakini kampuni kama Vodacom wanampa uenyekiti. Kati yako na Vodacom tumuamini nani?
Interesting? Learn operating or success route ya mashirika. Unafahamau sababu ya kumuweka hapo? Hao wanasiasa waliokuwa na position Voda, kwani sababu ilikuwa ni business competence? Mashirika huweka hata wezi ili wasaidie shirika lao, bora tu wao wasiwe waathirika.
 
Hilo linawezekana. Basi tupe biashara au investment zake kubwa hapa bongo

Sent using Jamii Forums mobile app

Ali Mfuruki ndiye wakala mkuu wa kampuni ya Woolworths hapa nchini na mwenyekiti wa Tanzania Round Table miongoni mwa shughuli zake nyingi hapa Tanganyika
 
Ha ha ha, mkuu hata wewe ukiamua kusoma taarifa husika kwa ajili ya presentation inawezekana, na tunaweza kudhani unajua sana kwenye hiyo sekta.

Applicability ndo changamoto, ni sawa na Mwl Kashasha anavyochambua mpira, mpe ukocha uone.
Humjui mwl Kashasha weye wacha ubwabwa! Mtafute Enock Bwigane au Jesse John wa TBC wakwambie mwl Kashasha ni nani na kama una mtandao wa haja muulize Kassim Majaliwa atakwambia Mwl Kashasha ni nani!
Usilolijua litakusumbua weye! Ali Mfuruki ni kichwa hasa sio wa kukaririshwa kama vichaa vichaa wengine, the guy knows his stuff, do your home work properly kabla ya kukimbilia kwenye keyboard! Bs
 
Soma msg hizi ili baadaye ujue uliyemsikiliza siyo mtaalamu, ni Bonge la Tapeli.
Kama utapeli unampa mtu mafanikio kiasi hicho, na wala hatujasikia akiitwa police au mahakamani, kwa nini na wewe au Mimi tusiwe matapeli mkuu?
 

Kuna mahali nimetamka kwamba Ali siyo kichwa?

My point is, anyone can present a thing he/she read about, doesn't tell how genius that person is.

And, talking isn't doing.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…