Alichoandika Mnyika: Maneno ya Ntobi si msimamo wa Kamati kuu Wala CHADEMA na mamlaka ya nidhamu ya Mwenyekiti huyo yako chini ya Kanda

Watanzania wanatamani mabadiliko tatizo mpaka sasa hakuna chama mbadala,vilivyopo ni taasisi za watu fulani fulani za kujipatia kipato binafsi na wapambe wao.
 
Sentensi ya mwosho imeingizw kwa sababu ya stress zako au msongo wa mawazo
 
Watanzania wanatamani mabadiliko tatizo mpaka sasa hakuna chama mbadala,vilivyopo ni taasisi za watu fulani fulani za kujipatia kipato binafsi na wapambe wao.
wakimwangusha Lisu kwenye hili, Ibara ya tatu ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, isomeke: "Tanzania ni nchi ya mfumo wa chama kimoja"

tuache unafiki
 
Wapambe/Chawa wasipokuwa makini wanaenda kukiua chama,wanatakiwa watambue chama sio mali ya mtu binafsi au watu fulani tu kiasi ambacho mtu mwingine akionesha nia ya kugombea uongozi basi iwe nongwa.
Wakumbuke Mbowe ni binadamu leo yupo kesho hayupo, Je ikitokea hivyo wataweka sanamu lake ndiyo liongoze chama? Kila mwanachama ana fursa sawa ya kugombea uongozi ndani ya chama na mwisho wa siku wajumbe wataamua nani awe kiongozi.
 
Kiongozi wa CCM wa mkoa hawezi kutoa kauli hiyo dhidi ya kiongozi wake wa Taifa wa chama.
Kiongozi wa chama pinzani akisema hivyo ni sawa kabisa lakini sio kiongozi wa chama ngazi ya mkoa atoe maoni hayo kwa kiongozi wa chama chake Taifa na mgombea urais.
Hapo hamtukani na kumdhalilisha huyo kiongozi bali chama kilichompa uongozi.
 
Kiujumla kama chama Cha siasa nidhamu ni muhimu kwa viongozi wa chama, Yaani makamu mwenyekiti anadharauliwa na kukebehiwa namna hii na mwenyekiti wa mkoa anaangaliwa tu
 
Fact, sijajua katiba ya chadema inasemaje juu ya hili
 
Rumble in the Jungle
...and this time, the ruthless heavy handed George Foreman (Mbowe), gonna be KOed by the much younger, savy and flamboyant Mohammed Ali (Lissu). It is time to float like a butterfly and sting like a bee. Lissu let's go!

Lissu bumaye!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…