Mwanaume ukiwa na wivu wa kke, kuna walakini....Kwa hiyo kaliona kwa Pierre tu.
Wivu mwingine bwana,kwani mtu kuwa maarufu yeye anaumia nini...kwa hiyo hapa mjini anataka akiki peke yake..!?
Sent using Jamii Forums mobile app
From day one nilivyo skia huyu mlevi nae ni mtu maarufu nikajua kabisa Tanzania inahitaji kujitathimini upya, kuna kila sababu za msingi Paul Makonda akabidhiwe nchi baada ya Magufuli, maana naona Tanzania kuna wapumbafu wengi sana kiasi kwamba kwa level za Uzee wa Magufuli hawezi kukabidhia nazo.....
Khaaa! Una akili timamu wewe? Kuweka umeme kwenye kijumba cha tope ni death trap na uuaji kwa kutaka chati nyepesi za kisiasa!Ndiyo maana nasisitiza Tanzania (Watanzania) tunahitaji kujitathimini upya, kwetu sisi hatujui tunacho kitaka ni kitu gani, walipa kodi wakubwa ni wananchi wa vijijini kwahiyo hao hawana haki ya kupata umeme?
Hiyo project ni ya REA ambayo kwa kiasi flani ni miradi inayo fadhiliwa na World Bank..
Juzi upinzani tulikuwa tunalalamika miaka 50 ya uhuru vijijini hamna umeme haya nyumba za tembe zimeanza kupata umeme mnaanza kulalamika..
Kwahyo mlitaka REA iwe project ya mijini?
Ndiyo maana nasema huyo mpumbafu mlevi anawakilisha idadi kubwa sana Watanzania wajinga wajinga na walevi wasio jitambua
wa kupimwa wewe[emoji196] [emoji196] [emoji196] [emoji83] [emoji160] [emoji216] [emoji241]From day one nilivyo skia huyu mlevi nae ni mtu maarufu nikajua kabisa Tanzania inahitaji kujitathimini upya, kuna kila sababu za msingi Paul Makonda akabidhiwe nchi baada ya Magufuli, maana naona Tanzania kuna wapumbafu wengi sana kiasi kwamba kwa level za Uzee wa Magufuli hawezi kukabidhia nazo.....
Ni kweli;Makonda ni RC na anakuongoza wewe mwenye elimu ya degree unaeshinda humu jf.. kwa akili kama hzi za kilevi lazma awashikishe adabu
Unapandikiza watu ujinga!!!Nimeiona clip kwa kweli Makonda kachemka sana. Wivu unamsumbua. Kachemka sana ktk hili. Alafu bmaskini jamaa kakaa pembeni anacheki tu jamaa akimponda. Nimejisikia vibaya sana kaonewa sababu ya wivu wa jitu.
makonda anatakiwa ajue watanzania wana haki ya kupumzika na kufurahi baada ya kazi. Pierre ni nembo yetu ya kupumzika na kufurahi baada ya kazi. Kuna wemgine tusio walevi tukimuona tu hata kama tuko nyumbani basi tunaburudika kwa uwakilishaji wake.
But Makonda is always accompanied by other worse examples. Think of those consummate prostitutes.Makonda is right
Pierre is another bad example
Kwani umaarufu ni nini??From day one nilivyo skia huyu mlevi nae ni mtu maarufu nikajua kabisa Tanzania inahitaji kujitathimini upya, kuna kila sababu za msingi Paul Makonda akabidhiwe nchi baada ya Magufuli, maana naona Tanzania kuna wapumbafu wengi sana kiasi kwamba kwa level za Uzee wa Magufuli hawezi kukabidhia nazo.....
Yaani...Kwenye kampeni ya tokomeza zero wangeanza na bashite aliyepata miziro
Wale washamba waliovamia mji.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyu waziri ni kabila Gan? Hizi picha zinahitaji moyo kuzitazama
Sent using Jamii Forums mobile app
From day one nilivyo skia huyu mlevi nae ni mtu maarufu nikajua kabisa Tanzania inahitaji kujitathimini upya, kuna kila sababu za msingi Paul Makonda akabidhiwe nchi baada ya Magufuli, maana naona Tanzania kuna wapumbafu wengi sana kiasi kwamba kwa level za Uzee wa Magufuli hawezi kukabidhia nazo.....
Hapana, katizame interview yote. Ile mwandishi alimwambia hebu afanye kama anaigiza wajue ana kipaji hiko ndo akaigizà. Wamekata tu. Ila anajielewa sanaMakonda hajatumia busara
Ila piere pia alizidi dharau,kumuita paparazi takataka haikubaliki
Mmh hapana ndugu jamii ina watu wa kila aina.. Hebu angalia kama kina Mr bin au John Walker... J. Walker mpaka leo ni brand maarufu duniani ya kilevi....
Imagine kama taifa watu kama hawa ndio tegemeo kwanini Pierre konk asipate shavu...? View attachment 1058619View attachment 1058620
Jr[emoji769]