Swala la hisa naweza kukubaliana na wewe mkuu, maana unaambiwa hata masafa wasafi fm Dar 88.9 yalipatikana kimagumashu watu walikuwa wanaenda tcra kuomba masafa wanaambiwa yamejaa.Kuna watu hawajui Wasafi media ni ya nani...
Ukweli ni kwamba Makonda ana zaidi ya 50% hisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Weka hapa hiyo video nzima.Yaah video nzima haipo vile...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mkuu haya mambo hayaa
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa ndo kikiii...Hakuna kitu kama hicho, aliulizwa mbona inasemekana hana makazi analala kwa Lily mmiliki wa Liquid ndiyo hiyo Piere akapanic.
Waandishi wa habari ni wapuuzi kwanini unafunga safari kwenda kumuhoji mtu ameshika bia mkononi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwakweli nimemkubali sana makonda kwa kile alichokemea media na waandishi kutoa promo kwa walevi na wababaishaji kama dr shika.
Sasa naelewa kwanini magufuli alimteua.
Pongezi sana Rais wetu magufuli kuchagua viongozi makini
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hii chai haina sukari na imezidi majani imekua chungu kama sifongo.Kuna watu hawajui Wasafi media ni ya nani...
Ukweli ni kwamba Makonda ana zaidi ya 50% hisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa leo Uunganishe vyuma upate gari unataka Iwe habari mpyaa serious????[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Watanzania bhnaa...Piere fala tuu sioni sababu ya media kumshobokea..........
Kuna vijana huko vijijini wanajitahidi kuunganisha vyuma wapate magari, media ndio zingetakiwa zipromite idea zao wapate msaada nk. (Innovative ideas zipo mtaani kibao media hazina mda wa kuzireveal kwa jamii).
Matokeo yake tuko bize na Mambo ya kijinga sana..........
Mimi ni mtumia gambe Sanaa ila kwa huyu bwana piere sijawahi muelewa hata kidogo.......Na wanaompromote Ni wajinga flani wasiojitambua
Sent using Jamii Forums mobile app
Heko heko makondaView attachment 1058576"watu kama wakina Pierre sijui,watu wa hovyo hovyo ndio wanakua maarufu watu wa maana hawajulikani,tunajenga jamii ya watu gani?"
Haya ndio maneno ya Makonda wakati anahutubia kwenye tamasha la tokomeza zero Kisarawe,lililofanyika jana Mlimani City,ambalo pia Pierre alikuwa moja kati ya watu waliohudhuria.
Hivi mtu kama Pierre kuwa maarufu yeye inamuuma nini? anaposema ni mtu wa hovyo katika lipi? kati ya Pierre na hao wasanii wake ambao daily wanshinda makahamani kwa kesi za hovyo hovyo,wanatukanana mitandaoni live,wanavujisha picha za ngono mitandaoni,wanabadili wanawake/mabwana kila uchwao na bado anawahusudu na kuwaona wa maana nani ni wa hovyo sasa?
Muache mzee wa watu aingize kipato chake kihalali,ilimradi havunji sheria za nchi.
Aliye toa promo na kunywa bia kwa nusu bei alikuwa piere?Kwakweli nimemkubali sana makonda kwa kile alichokemea media na waandishi kutoa promo kwa walevi na wababaishaji kama dr shika.
Sasa naelewa kwanini magufuli alimteua.
Pongezi sana Rais wetu magufuli kuchagua viongozi makini
Sent from my iPhone using JamiiForums
Usinywe mkuu,Hii chai haina sukari na imezidi majani imekua chungu kama sifongo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Heko heko makonda
Alichokifanya Makonda ni kitu sahihi na ni jambo la ushujaa ambalo limekuwa katika mioyo ya watanzania wengi.bila kukosea hata hapa kuna uzi tulilijadili hili suala la kujenga taifa la wajinga.Tanzania imekuwa ikifanywa jamii ya wajinga.na haya yamekuwa yakichochewa na waandishi wapuuzi wachache.Nasema sijawahi kuupenda mfumo wa uongozi wa Makonda ila kwa la jana.Ninakupongeza kwa dhati yangu.
Asante kwa kukemea upuuzi huu ambao umeanza kushika kasi katika jamii yetu.. baadhi ya waandishi kuacha vitu vya msingi na kukuza upuuzi.anzia kwa bwana Shika,na huyo dada aliyeweka video za ufirauni mtandaoni. Mpaka kwa huyu mlevi.juzi alitumiwa mpaka na wadau kuhamasisha ushindi wa taifa stars.. kweli kwa vigezo vipi, tujiulize.je wachezaji wa zamani waliofuzu Afcon Kwa mara ya kwanza hawakuwepo ama wadau wanaojitoa kwa ajili ya mpira wa nyumbani hawakuwepo..huo ni mwendelezo wa kutetea upuuzi.kwa kulikemea hili jambo nakuunga mkono bwana Makonda.Alafu uje uwageukie hawa waandishi wa taarifa za habari wa YouTube channel.hawa ndio vyanzo vikuu vya kukuza ujinga huu katika jamii.na hata kupotosha watoto wadogo wanaokua.
Ni kawaida sana ya watu wapumbavu kama wewe kujibu kwa matusi.inchi hii ina watu dizaini yako wengi sana,hipenda kuongea yasiyo wahusu na wakiambiwa huishia kutoa kashifa na matisi.Acheni ungese....hivi bashite aliposema wanywe nusu bei uadhani watoto wetu hawakusikia? Au hawaoni
Sent using my Nokia Torch
Unadhani marekani ilianza kwa kutengeneza marcedes Benz sio.......Sasa leo Uunganishe vyuma upate gari unataka Iwe habari mpyaa serious????[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Watanzania bhnaa...
Sent using Jamii Forums mobile app