Ni humo humo kiongozi.hata hao akina wema wanaharibu jamii yetu kwa ujumla.lakini angalia media zinavyowafuata na kuwakuza kana kwamba wana mchango wa maana katika jamii..yote haya yakemewe.Sasa kamati ya Afcon kuwaweka kina wema ili iweje???? Wema malaya yule mtumia Bhangi anahamasisha nini kwenye jamii????
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani leo kuanza kumpost mtu kaunda gari kwa kutumia vyuma aisee ni kurudishana nyuma kimawazoo...!! Huyo ndugu yako kama anaweza kuunda magari apate nafasi kwenye kampuni zenye hizo kazii.. Ila sio taifa lianze kumpa Promo mtu anaefanya kitu kilichofanywa mwaka 1800 huko.. Piere umaarufu wake umekuja tu na utapitaa kama kina Dr shika na Mkuu wa mkoa wa tabora so hili Lisiwaumize sana mioyoo jamani...Unadhani marekani ilianza kwa kutengeneza marcedes Benz sio.......
It's true huwezi unga vyuma ukapata gari ila Kuna watu wako tayari kumpa msaada wa elimu mtu huyo ili afanye makubwa zaidi kwa taifa hapo baadae
Hao watu watamuonaje Kama media ziko bize na Mambo ya kina peire
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani umaarufu ni nini??
Na nani anapaswa kuwa maarufu??
Hivi Kim Kardashian si maarufu??..do you think ni mtu wa maana sana dunia hii??
Acheni chuki nyie..kuwa maarufu sio lazima iwe kwa uzuri..hata kwa ubaya mtu anaweza kuwa maarufu
Pablo escobar si alikuwa maarufu??
Usimjibu mpumbavu atajiona mwenye hekima, jibu zuri sanaThanks all the same
Jr[emoji769]
HakutakiwaYaani Sisi Tanzania sijui nani katuroga.akili zetu zimefungwa kabisa.sijui ndo maksudi yaani watu wapo busy kuutetea huu upuuzi unaofanywa na hizi media.alafu mbona huyo mlevi.ndo kama kisingizio cha makonda kukosea . wakati yeye kasemea mfumo mzima unakuza vitu vya ajabu na kuacha vitu vya msingi
Anajiita Waziri wa Kaskazini katibu
[emoji120][emoji120][emoji120]Usimjibu mpumbavu atajiona mwenye hekima, jibu zuri sana
kaona piere anamfunika kwa kiki sasa roho inamuuma huyo jamaa anawivu kike kweli hatiki kumuona mwenzio anatoboaView attachment 1058576"watu kama wakina Pierre sijui,watu wa hovyo hovyo ndio wanakua maarufu watu wa maana hawajulikani,tunajenga jamii ya watu gani?"
Haya ndio maneno ya Makonda wakati anahutubia kwenye tamasha la tokomeza zero Kisarawe,lililofanyika jana Mlimani City,ambalo pia Pierre alikuwa moja kati ya watu waliohudhuria.
Hivi mtu kama Pierre kuwa maarufu yeye inamuuma nini? anaposema ni mtu wa hovyo katika lipi? kati ya Pierre na hao wasanii wake ambao daily wanshinda makahamani kwa kesi za hovyo hovyo,wanatukanana mitandaoni live,wanavujisha picha za ngono mitandaoni,wanabadili wanawake/mabwana kila uchwao na bado anawahusudu na kuwaona wa maana nani ni wa hovyo sasa?
Muache mzee wa watu aingize kipato chake kihalali,ilimradi havunji sheria za nchi.
Swala la hisa naweza kukubaliana na wewe mkuu, maana unaambiwa hata masafa wasafi fm Dar 88.9 yalipatikana kimagumashu watu walikuwa wanaenda tcra kuomba masafa wanaambiwa yamejaa.
Sasa angalia redio mpya imepewa 88.9, wakati zipo zilizotangulia lakini wakapelekwa 100 nukta kadhaa huko mbeleni.
Mifano yako huwezi kulinganisha na Tanzania, huyo Escobar yupo wapi?Kwani umaarufu ni nini??
Na nani anapaswa kuwa maarufu??
Hivi Kim Kardashian si maarufu??..do you think ni mtu wa maana sana dunia hii??
Acheni chuki nyie..kuwa maarufu sio lazima iwe kwa uzuri..hata kwa ubaya mtu anaweza kuwa maarufu
Pablo escobar si alikuwa maarufu??
Yaah mkuu hapo sawa... kusiwe na standardNi humo humo kiongozi.hata hao akina wema wanaharibu jamii yetu kwa ujumla.lakini angalia media zinavyowafuata na kuwakuza kana kwamba wana mchango wa maana katika jamii..yote haya yakemewe.
Naomba uelewe hoja ya makondo ilivyokuwa haikuwa kumsema huyo piere.bali kamchukua kama mfano.. yeye kakemea mfumo mzima unaotetetea ujinga na kukuza vitu visivyokuwa vya maanaHakutakiwa
Kuongea vile hadharani
Wakati mwenyewe ypo kama mualikwa na DC
Kwani mwenye jiji mbona wakina diamond anawalewa ujinga mangapi wanafanya kwenye media
Tena wengine wanapiga picha wko na madem
Tofauti tofauti na bado anaambatana nao
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
acha uongo eti uunganishe vyuma upate gariPiere fala tuu sioni sababu ya media kumshobokea..........
Kuna vijana huko vijijini wanajitahidi kuunganisha vyuma wapate magari, media ndio zingetakiwa zipromite idea zao wapate msaada nk. (Innovative ideas zipo mtaani kibao media hazina mda wa kuzireveal kwa jamii).
Matokeo yake tuko bize na Mambo ya kijinga sana..........
Mimi ni mtumia gambe Sanaa ila kwa huyu bwana piere sijawahi muelewa hata kidogo.......Na wanaompromote Ni wajinga flani wasiojitambua
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani Hittler sio maarufu???? Kwani mbona umaarufu wa piere unawaumaa sana Kuliko umaarufu wa Amber rutty????[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mifano yako huwezi kulinganisha na Tanzania, huyo Escobar yupo wapi?
Watanzania tunahitaji kujitathimini, hizi n akili za kilevi.