Alichofanya Mkuu wa Mkoa wa Dar, Makonda kwa Pierre Mzee wa Liquid ni udhalilishaji na kinyume cha haki za binadamu

Alichofanya Mkuu wa Mkoa wa Dar, Makonda kwa Pierre Mzee wa Liquid ni udhalilishaji na kinyume cha haki za binadamu

Kwa maneno yako mwenyewe alitakiwa atokee mtu aulize "Ambaye hajawahi kuwa wa Ovyo" asimame amshambulie Pierre Konki!! Hapo ndipo Muandaaji (Jokate) angekumbuka picha zake za Uchi zilizozagaa mitandaoni, Albert Bashite angekumbuka Zero alizopata mara 2 hadi kununua cheti cha Paulo Makonda na kukituia kujiendeleza na huku kampeni ikitaka kutokomeza zero. Hakuna ambaye angemkashifu mwenzake na sherehe ingemalizika kwa amani bila kukwaza mtu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahah hakika mkuu,upo sahihi kwa mtiririko huo hakuna ambaye angeumizwa kwa maneno even huyo waziri{nimesikia kama katajwa waziri hapo} naye asingekuwa na lakusena maana unaweza kuta sometimes hata kushinda uchaguzi uliomuweka madarakani hadi leo ameteuliwa kwenye baraza naye aliiba kura.

Psychological nadhani kuna hii hali ya mtenda kosa kutaka ajijengee yeye mizizi ya uaminifu na uadilifu kwa kuwa-attack wengine ili kupitia wao waonekane bora.hii kitu makonda anayo sana mchunguze tu kila opportunity anayoipata kwenye hadhira hakuna asipoacha makovu.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Wewe ndo unafanya utani!!!

Acha kuwa na mawazo finyu mtoto haimaanishi nibwa kwako tu !!!!!

Mtu kama yule ana influence kubwa kwenye jamii hata mwanao anamtazama na kujikuta anavutiwa kunywa !!! Kuna ma role models saizi wa huyu bwana sasa jarbu ku connect dots !!!

Kwann wasanii wanaoimba nyimbo za hovyo wanafungiwa ??? Think Big ndg

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahyo piere afungiwe mkuu?? Samahani kwa swali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Makonda ni mwenzetu humu JF tulikuwa tunashinda wote humu usiku kucha, ila tangu amepata uteuzi amebadilisha id yake .nadhani arudi jf aje achote busara za great thinker
 
Waweza kuona jinsi au aina ya watz tulionao!!!! Ni aibu kubwa mno kwa watz kushabikia ulevi !!!

Makonda yuko sahihi kama leo hii tunamuona huYu anafaa na kama sababu ni ishu ya kipato kwann jamii inawapigia kelele wachungaji matapeli ???

Je kama ndivyo ilivyo kwann tulimpiga vita na kumuona s wa maaana Nabii Tito????

Ukweli utabaki pale pale watz wengi hatufikiri kwa kina ndio maana tutabaki kulialia wenzetu wanapiga hela !!!

Kwa pierre yeye anaona faida yake lakn jamii tunayoijenga tujiuliza inajifunza nn kwa vitendo vya ulevi wake??? Hv hatuoni huyu jamaa anakundi kubwa la wanaomfuata nyuma na wengi wao ni vijana???? Hata wakubwa hatuoni kila mmja wetu sashv anahangaika kulewa sana ili nawe awe kama Pieere???? Je hata kama havunji sheria za nchi ulevi una impact gani kwa watz???? Tuacheni ushabiki na ukiangalia wengi wanaounga mkono aidha wana chuki na makonda au ni wanachama ama ni watu waliokata tamaa

Full stop!

Sent using Jamii Forums mobile app

Unaongelea nabii ambae anagusa maisha ya watu moja kwa moja?
Unamlinganisha na pierre anaeishi maisha yake binafsi

Obvious utakuwa na tatizo katika ubongo wako.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ndo unafanya utani!!!

Acha kuwa na mawazo finyu mtoto haimaanishi nibwa kwako tu !!!!!

Mtu kama yule ana influence kubwa kwenye jamii hata mwanao anamtazama na kujikuta anavutiwa kunywa !!! Kuna ma role models saizi wa huyu bwana sasa jarbu ku connect dots !!!

Kwann wasanii wanaoimba nyimbo za hovyo wanafungiwa ??? Think Big ndg

Sent using Jamii Forums mobile app

Aache kuvutiwa na baba yake anaerudi alfajiri amelewa akavutiwe na pierre
Teach your kids to sort out things


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alichosema Makonda yuko sawa, matumizi ya lugha ndio tatizo, hili lingesemwa na mtu mwingine ingeonekana sawa tu, shida imekuja aliesema Makonda, kwani nani asiejua kuwa mijitu ya hovyo na mambo ya hovyo ndio yanayopewa kipaumbele? Toka lini ktk jamii yetu Mlevi akaonekana wa maana, media zetu zimekua za hovyo yaani kuna wakulima wana matatizo huko, kuna wavumbuzi na wagunduzi hakuna anejua waliko lkn utashangaa Pierre sijui Ambaruty, Dr. Shika wanakua maarufu na kila saa wanamulikwa na makamera alafu useme sio uhovyo huo, hapa tatizo ni kwakua Kasema Makonda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani huyu kilaza kupata 21 ilikuwa inamshinda aiseee halafu wakumualika kwenye tokomeza zero

Sent from my TECNO K7 using Tapatalk
 
Mungu alivyo wa ajabu anaweza mpa MAKONDA [BABA KEGAN ] mtoto kama huyo PIERRE LIQUID alafu amwite "Tu wa Ovyo"
 
Back
Top Bottom