libeva
JF-Expert Member
- Mar 25, 2015
- 4,465
- 3,615
Acha kumlisha maneno Lissu, kasema kuwa kesi ni ya mchongo ushahidi unaotolewa mahakamani ni dhaifu mno hivyo akamuomba Rais atumie busara zake. Sio haya wanasiasa uchwara mnayo fanya.Kwa hiyo na wewe una kubali kuwa Lissu kamuombea Msamaha Mbowe? Kama unakubali kwanini ulimpinga Zitto?