Alichokifanya huyu jamaa, kweli tutafute pesa sana na usimwache Mungu

Alichokifanya huyu jamaa, kweli tutafute pesa sana na usimwache Mungu

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
14,747
Reaction score
24,250
Amani kwako.

Ramadan Mubarak.

Hakuna haja ya maneno mengi, huyu ni raia wa nchini Nigeria, aliamua kubadilisha mfumo mzima wa maisha ya kijijini kwao na kujenga (satellite city) kwa fedha zake bila kumdai mwanakijiji apeleke yai au kilo ya mahindi.

IMG_20230323_132603.jpg

Kijiji hiki cha Nigeria kiligeuzwa kuwa mji na mtu mmoja anayejulikana kwa majina ya Godwin Maduka.

Screenshot_2023_0323_133152.jpg

☝Huyu jamaa kitaaluma ni daktari na aliwahi kugombea Ugavana wa Jimbo la Anambra mnamo 2021.

IMG_20230323_132624.jpg


IMG_20230323_132719.jpg

IMG_20230323_132645.jpg

IMG_20230323_132543.jpg

IMG_20230323_132740.jpg

20230323_131932.jpg

IMG_20230323_132530.jpg
☝🏾Katika eneo hilo (picha juu) alijenga chuo au kitovu kikubwa cha utafiti wa matibabu barani Afrika, shule, mahakama, kituo cha polisi, hospitali, nyumba za polisi, nyumba za majaji na walimu, makanisa kwenye eneo hilo hapo kijijini.

NB; Hiyo ni pesa ndugu zangu, so tuzitafute.
◽Ukiwa huna pesa hata ndugu hawakusalimii!
 
Daah, kapataje hizo pesa hiyo ni yeye ndiye anajua, labda roho imemsuta, kala mgao wa pesa za mafuta ya Nigeria kwa miaka 20 labda, sasa akiangalia akaunti ina Trillion 500 kaficha China, halafu nchini kwake watu wanakosa hata 200 ya chai, roho imemuuma sana
 
Daah, kapataje hizo pesa hiyo ni yeye ndiye anajua, labda roho imemsuta, kala mgao wa pesa za mafuta ya Nigeria kwa miaka 20 labda, sasa akiangalia akaunti ina Trillion 500 kaficha China, halafu nchini kwake watu wanakosa hata 200 ya chai, roho imemuuma sana
Dah..!! Hivi ingekuwaje kama angekuwa amefanya mabaya unayoyasema, LAKINI AWE HAJAJENGA KWAO?
 
Yule aliwajengea visivyo vipaumbele vyao,leo hawanufaiki na uwanja wa ndege,pale ndege utua wakati wa kuzuru kaburini
Well, vitu kama benki ya CRDB vimeshakufa, uwanja wa ndege umekufa, Stand ya kimataifa imekufa, Night club sijui ipo, ila je, ulitaka awajengee nini? Maana shule, hospitali zipo.

Kule population ni ndogo, hakuna utakachojenga kikalipa, kikubwa angeweka viwanda vya usindikaji mazao, watu walime na wapate pa kuuza kwa bei nzuri, mazao yaongezewe thamani watu wapate ajira.
 
Well, vitu kama benki ya CRDB vimeshakufa, uwanja wa ndege umekufa, Stand ya kimataifa imekufa, Night club sijui ipo, ila je, ulitaka awajengee nini? Maana shule, hospitali zipo. Kule population ni ndogo, hakuna utakachojenga kikalipa, kikubwa angeweka viwanda vya usindikaji mazao
Vimekufa sababu havikuwa vipaumbele vyao.
Angewajengea vyuo vya maarifa ya kuwaondoa kwenye umasikini
 
Back
Top Bottom