Alichokifanya huyu jamaa, kweli tutafute pesa sana na usimwache Mungu

Alichokifanya huyu jamaa, kweli tutafute pesa sana na usimwache Mungu

Kwanza kwa Tanzania sahau kabisa,ukijaribu kufanya hivi utaambiwa wewe unafanya kampeni ili umuondoe mbunge/diwani wa hapa utaletewa mizengwe kibao.mmesahau lile sakata za mzee Bakhresa na pale kigamboni fery.

Huku mtaani kwetu umeme ulichelewa kutoka main road ambako umeme umepita mpaka hapa ilikuwa kama 1km,kuna mdau alikuwa kajenga jumba lake zuri kafatilia umeme hadi kaenda dodoma kukutana na katibu wa wizara kuwa yuko tayari apigiwe cost zote atalipa including mafundi ,nguzo hadi transformer ,ila serikali ikamchomolea wanasiasa baadhi walijua angeteka nyota yao.

Lakini tukashukuru tulimdaka Kalemani kipindi hicho akiwa waziri tukamsogezza akashangaa kaya zaidi ya 5000 hazina umeme akampiga mkwara meneja mkoa ndio ikawa heri yetu.

Sometimes huu umaskini wa kwetu unachagizwa na wanasiasa what if kama kila mtz akiwa anajiwea nani utamdanganya akupe kura kwa hongo ya kanga na kofia
 
kwanza kwa Tanzania sahau kabisa,ukijaribu kufanya hivi utaambiwa wewe unafanya kampeni ili umuondoe mbunge/diwani wa hapa utaletewa mizengwe kibao.mmesahau lile sakata za mzee Bakhresa na pale kigamboni fery...
Duuh! ni wapi huko mkuu?

Yani wanasiasa wako radhi kwa chochote ili mradi watetee vyeo vyao! Wako radhi watu kuumia hata kufa yani!

Ona sasa,wamewatesa wananchi kwa sababu za kujinga kabisa
 
Amani kwako.

Ramadan Mubarak.

Hakuna haja ya maneno mengi, huyu ni raia wa nchini Nigeria, aliamua kubadilisha mfumo mzima wa maisha ya kijijini kwao na kujenga (satellite city) kwa fedha zake bila kumdai mwanakijiji apeleke yai au kilo ya mahindi...
ishu inakuja kwa serikali ya huo mji, je wataweza kuzisimamia hizo assets?hapo ndo utata
 
Kenya pia kuna jamaa kama huyo mdiaspora kajenga mji wake ndani ya kijiji chao...

 
Dah..!! Hivi ingekuwaje kama angekuwa amefanya mabaya unayoyasema, LAKINI AWE HAJAJENGA KWAO?
Duniani watu hawataki kusikia habari nzuri.

Ingekuwa habari inaonesha jamaa anaponda mali huko visiwa vya Ibiza na watoto wazuri.

Wengi tungempongeza, " huyu ndio mwanaume, anajua kutumia pesa zake"
 
Angeenda kuwaondoa wale wa makoko Community wanaoishi juu ya maji ingeleta maana sn
 
Amani kwako.

Ramadan Mubarak.

Hakuna haja ya maneno mengi, huyu ni raia wa nchini Nigeria, aliamua kubadilisha mfumo mzima wa maisha ya kijijini kwao na kujenga (satellite city) kwa fedha zake bila kumdai mwanakijiji apeleke yai au kilo ya mahindi.

View attachment 2562559
Kijiji hiki cha Nigeria kiligeuzwa kuwa mji na mtu mmoja anayejulikana kwa majina ya Godwin Maduka.

View attachment 2562561

☝Huyu jamaa kitaaluma ni daktari na aliwahi kugombea Ugavana wa Jimbo la Anambra mnamo 2021.

View attachment 2562562

View attachment 2562563
View attachment 2562564
View attachment 2562565
View attachment 2562566
View attachment 2562567
View attachment 2562568
☝🏾Katika eneo hilo (picha juu) alijenga chuo au kitovu kikubwa cha utafiti wa matibabu barani Afrika, shule, mahakama, kituo cha polisi, hospitali, nyumba za polisi, nyumba za majaji na walimu, makanisa kwenye eneo hilo hapo kijijini.

NB; Hiyo ni pesa ndugu zangu, so tuzitafute.
◽Ukiwa huna pesa hata ndugu hawakusalimii!
Ana akili nzuri.
 
Amani kwako.

Ramadan Mubarak.

Hakuna haja ya maneno mengi, huyu ni raia wa nchini Nigeria, aliamua kubadilisha mfumo mzima wa maisha ya kijijini kwao na kujenga (satellite city) kwa fedha zake bila kumdai mwanakijiji apeleke yai au kilo ya mahind...
Bora hata huyo ako na njia nzuri za kutumia pesa zake za majini.
 
Well, vitu kama benki ya CRDB vimeshakufa, uwanja wa ndege umekufa, Stand ya kimataifa imekufa, Night club sijui ipo, ila je, ulitaka awajengee nini? Maana shule, hospitali zipo.

Kule population ni ndogo, hakuna utakachojenga kikalipa, kikubwa angeweka viwanda vya usindikaji mazao, watu walime na wapate pa kuuza kwa bei nzuri, mazao yaongezewe thamani watu wapate ajira.
Nafkiri kulea asilimia kubwa ni wafugaji angeweka kiwanda Cha kusindika mazao yatokanayo na wanyama mfano kusindika maziwa nyama ngozi n.k
 
ishu inakuja kwa serikali ya huo mji, je wataweza kuzisimamia hizo assets?hapo ndo utata
Wameweza mkuu nimefuatilia, mfano hospitali iliyokabidhiwa kanisa catholic imekifanya kijiji kuwa updated plus movement za watu hadi kutoka mjini wanakuja.

Kuna kitivo cha uchunguzi wa magonjwa hadi wazungu wanakuja hapo kutoa mafunzo na kujifunza so sidhani kama patadoda kama chato!.
 
Back
Top Bottom