Alichokifanya huyu jamaa, kweli tutafute pesa sana na usimwache Mungu

Alichokifanya huyu jamaa, kweli tutafute pesa sana na usimwache Mungu

Wameweza mkuu nimefuatilia, mfano hospitali iliyokabidhiwa kanisa catholic imekifanya kijiji kuwa updated plus movement za watu hadi kutoka mjini wanakuja.

Kuna kitivo cha uchunguzi wa magonjwa hadi wazungu wanakuja hapo kutoa mafunzo na kujifunza so sidhani kama patadoda kama chato!.
ahaaa basi jambo jema sanaa
 
Back
Top Bottom