Alichokifanya leo Makonda ndo Jambo analoweza zaidi. Naionea huruma Tanzania

Alichokifanya leo Makonda ndo Jambo analoweza zaidi. Naionea huruma Tanzania

Ukienda China kuna mfumo wa mikoa kama kwetu. Wao wanaita Provinces, na tofauti yao na sie ni kuwa wao mikoa yao ni mikoa ya kiuchumi ( Economic provinces) wakati sie mikoa yetu ni mikoa ya kisiasa (political provinces)

Wanapotushinda China ni watu wanaoteuliwa kuongoza hizo provinces. Kwao wanateua watu wenye uwezo na mawazo makubwa ya kiuchumi unaweza sema watu creative na innovative ambao wamesoma, wana exposure na wana uelewa mkubwa wa masuala ya kiuchumi na kidunia.

Provinces za China zinashindana kiuchumi, hawa wanaanzisha viwanda wa mafriji hawa wanaanzisha viwanda vya washing machines. Ili mradi siku ya mwisho provinces moja iwe zaidi ya nyingine kiuchumi na kimaendeleo.


Leo Mkuu wa Mkoa wa Arusha kapewa mic aongee kwenye tukio la Kumbukumbu cha kifo cha Sokoine. Pamoja na kumuelezea Sokoine , kwa watu wenye akili walitegemea ni kitu gani ambacho atakiongea katika kuelezea namna ambavyo ataweka mipango kabambe ili Jiji lile liwe namba moja kiuchumi Tanzania.

Tofauti na hayo Makonda ameelezea kuweka baiskeli za polisi, camera za usalama barabarani mambo ambayo unaweza sema kuwa ni just petty issues!

Mbaya zaidi kama kawaida yake, ametoa vitisho kwa watu eti wanaomsema Rais Samia.

Napenda kuwaambia wana JF huyu ndo makonda sasa na alilofanya leo ndo mambo anayoweza. Ufitini, uchonganishi, kujipendekeza na kujifanya yeye ndo anayempenda zaidi kiongozi wake kuliko mtu yeyote yule ili angalau aendelee kupata vyeo na kuishi kupitia hivyo vyeo.

Alivyo Makonda ndo walivyo watu na vijana wengi kuanzia Chama cha Mapinduzi hadi sehemu nyingine. Hawana muda wa kuonesha uwezo wao kwenye mambo ya msingi bali kujipendeleza kwa watu wenye nafasi ili waendelee kula.

Naionea huruma Tanzania. Kesho yetu inasikitisha hakika.

Kauli ya Makonda kuwataja wanaomchafua Rais Samia, soma Paul Makonda atishia kuwataja wanaolipa watu 'Kumtukana Rais Samia mitandaoni', wamo Mawaziri
Nami nakushangaa kuilinganisha Tanzania na Uchina bora ungeilinganisha na nchi mojawapo ya Afrika. Halafu Province si mkoa. Mkoa ni Region.
Mwacheni Makonda afanye kazi yake au ndiyo wewe Waziri uliyetajwa?
Atawanyosha !!
 
Ukienda China kuna mfumo wa mikoa kama kwetu. Wao wanaita Provinces, na tofauti yao na sie ni kuwa wao mikoa yao ni mikoa ya kiuchumi ( Economic provinces) wakati sie mikoa yetu ni mikoa ya kisiasa (political provinces)

Wanapotushinda China ni watu wanaoteuliwa kuongoza hizo provinces. Kwao wanateua watu wenye uwezo na mawazo makubwa ya kiuchumi unaweza sema watu creative na innovative ambao wamesoma, wana exposure na wana uelewa mkubwa wa masuala ya kiuchumi na kidunia.

Provinces za China zinashindana kiuchumi, hawa wanaanzisha viwanda wa mafriji hawa wanaanzisha viwanda vya washing machines. Ili mradi siku ya mwisho provinces moja iwe zaidi ya nyingine kiuchumi na kimaendeleo.


Leo Mkuu wa Mkoa wa Arusha kapewa mic aongee kwenye tukio la Kumbukumbu cha kifo cha Sokoine. Pamoja na kumuelezea Sokoine , kwa watu wenye akili walitegemea ni kitu gani ambacho atakiongea katika kuelezea namna ambavyo ataweka mipango kabambe ili Jiji lile liwe namba moja kiuchumi Tanzania.

Tofauti na hayo Makonda ameelezea kuweka baiskeli za polisi, camera za usalama barabarani mambo ambayo unaweza sema kuwa ni just petty issues!

Mbaya zaidi kama kawaida yake, ametoa vitisho kwa watu eti wanaomsema Rais Samia.

Napenda kuwaambia wana JF huyu ndo makonda sasa na alilofanya leo ndo mambo anayoweza. Ufitini, uchonganishi, kujipendekeza na kujifanya yeye ndo anayempenda zaidi kiongozi wake kuliko mtu yeyote yule ili angalau aendelee kupata vyeo na kuishi kupitia hivyo vyeo.

Alivyo Makonda ndo walivyo watu na vijana wengi kuanzia Chama cha Mapinduzi hadi sehemu nyingine. Hawana muda wa kuonesha uwezo wao kwenye mambo ya msingi bali kujipendekeza kwa watu wenye nafasi ili waendelee kula.

Naionea huruma Tanzania. Kesho yetu inasikitisha hakika.

Kauli ya Makonda kuwataja wanaomchafua Rais Samia, soma Paul Makonda atishia kuwataja wanaolipa watu 'Kumtukana Rais Samia mitandaoni', wamo Mawaziri
Mimi pia nikishangazwa na upumbavu aliouongea ila nilijua tu lazima ataongea utumbo
 
Ukienda China kuna mfumo wa mikoa kama kwetu. Wao wanaita Provinces, na tofauti yao na sie ni kuwa wao mikoa yao ni mikoa ya kiuchumi ( Economic provinces) wakati sie mikoa yetu ni mikoa ya kisiasa (political provinces)

Wanapotushinda China ni watu wanaoteuliwa kuongoza hizo provinces. Kwao wanateua watu wenye uwezo na mawazo makubwa ya kiuchumi unaweza sema watu creative na innovative ambao wamesoma, wana exposure na wana uelewa mkubwa wa masuala ya kiuchumi na kidunia.

Provinces za China zinashindana kiuchumi, hawa wanaanzisha viwanda wa mafriji hawa wanaanzisha viwanda vya washing machines. Ili mradi siku ya mwisho provinces moja iwe zaidi ya nyingine kiuchumi na kimaendeleo.


Leo Mkuu wa Mkoa wa Arusha kapewa mic aongee kwenye tukio la Kumbukumbu cha kifo cha Sokoine. Pamoja na kumuelezea Sokoine , kwa watu wenye akili walitegemea ni kitu gani ambacho atakiongea katika kuelezea namna ambavyo ataweka mipango kabambe ili Jiji lile liwe namba moja kiuchumi Tanzania.

Tofauti na hayo Makonda ameelezea kuweka baiskeli za polisi, camera za usalama barabarani mambo ambayo unaweza sema kuwa ni just petty issues!

Mbaya zaidi kama kawaida yake, ametoa vitisho kwa watu eti wanaomsema Rais Samia.

Napenda kuwaambia wana JF huyu ndo makonda sasa na alilofanya leo ndo mambo anayoweza. Ufitini, uchonganishi, kujipendekeza na kujifanya yeye ndo anayempenda zaidi kiongozi wake kuliko mtu yeyote yule ili angalau aendelee kupata vyeo na kuishi kupitia hivyo vyeo.

Alivyo Makonda ndo walivyo watu na vijana wengi kuanzia Chama cha Mapinduzi hadi sehemu nyingine. Hawana muda wa kuonesha uwezo wao kwenye mambo ya msingi bali kujipendekeza kwa watu wenye nafasi ili waendelee kula.

Naionea huruma Tanzania. Kesho yetu inasikitisha hakika.

Kauli ya Makonda kuwataja wanaomchafua Rais Samia, soma Paul Makonda atishia kuwataja wanaolipa watu 'Kumtukana Rais Samia mitandaoni', wamo Mawaziri
Naomba nimpe pole ndugu Pascal Mayalla na kumkumbusha kuwa hawa ndio aina ya viongozi tulio nao katika taifa hili baada ya miaka zaidi ya 50 na ndio wanaowapeleka tanzania katika nchi ya ahadi ambayo sijui wataifiki baada ya miaka mingapi
 
Nchi yetu tunashida kiasi, haiwezekani RC mbele ya viongozi wakuu wa nchi anaongea serious allegations vile,na anarudi kwake kulala huku akifurahi......wakati maBoss wa TISS,IGP,CDF na wengine wote wapo na wakakaa kimya bila kumchukua mtu huyo anayewajua wahaini kwaajili ya mahojiano....... inasikitisha sana mfumo wetu wa utawala kuwa hivi 😔
 
Nchi yetu tunashida kiasi, haiwezekani RC mbele ya viongozi wakuu wa nchi anaongea serious allegations vile,na anarudi kwake kulala huku akifurahi......wakati maBoss wa TISS,IGP,CDF na wengine wote wapo na wakakaa kimya bila kumchukua mtu huyo anayewajua wahaini kwaajili ya mahojiano....... inasikitisha sana mfumo wetu wa utawala kuwa hivi 😔
Eti yeye ndo anaongea kama mtoa taarifa wa Rais wakati Rais ana mifumo yake ya kupata taarifa.

Daaah hii nchi ingekuwa gari watu wengine tungeshuka si kwa ujinga huu
 
Mfumo mzima wa uongozi wa Tanzania ni wa kunyenyekea na kujipendekeza kwa bosi ili uonwe na upandishwe.

Mfumo huu uliasisiwa na Mwalimu, angalau Mkapa alijitahidi kuangalia umahiri wa kitaaluma na utendaji kazi.

CCM imepandikiza mfumo huu kwenye maisha ya Watanzania kiasi kwamba sasa imekuwa ni "part & parcel" ya maisha ya wengi wetu.

Kwani tunaishi kwa hisani ya CCM ama ya Mwenyezi Mungu!!??
Na kuna genge limeajiriwa na kumwagwa Jf, ni wengi kama ndege wa kwelea kwelea ili ma great thinkers tuhangaike nalo.
Ni kumsifia Rais kwa sifa za kushangaza, mpaka Jf imekosa hadhi kabisa.
 
Nchi yetu tunashida kiasi, haiwezekani RC mbele ya viongozi wakuu wa nchi anaongea serious allegations vile,na anarudi kwake kulala huku akifurahi......wakati maBoss wa TISS,IGP,CDF na wengine wote wapo na wakakaa kimya bila kumchukua mtu huyo anayewajua wahaini kwaajili ya mahojiano....... inasikitisha sana mfumo wetu wa utawala kuwa hivi 😔
Yaani
 
RC Makonda kaharibu vibaya tena leo, lowest IQ of its kind, uchonganishi tu, fitina, kujipendekeza, uchawa, na mbaya zaidi ni kumchonganisha Mh. Rais na mawaziri wake, hii mbaya sana, na kujionyesha yeye ndio mwema sana, yaani ndio.Mwana wa Mama Samia, hii attitude mbaya sana, huyu sio kiongozi hata kidogo
 
Back
Top Bottom