Alichokifanya leo Makonda ndo Jambo analoweza zaidi. Naionea huruma Tanzania

Alichokifanya leo Makonda ndo Jambo analoweza zaidi. Naionea huruma Tanzania

Ukienda China kuna mfumo wa mikoa kama kwetu. Wao wanaita Provinces, na tofauti yao na sie ni kuwa wao mikoa yao ni mikoa ya kiuchumi ( Economic provinces) wakati sie mikoa yetu ni mikoa ya kisiasa (political provinces)

Wanapotushinda China ni watu wanaoteuliwa kuongoza hizo provinces. Kwao wanateua watu wenye uwezo na mawazo makubwa ya kiuchumi unaweza sema watu creative na innovative ambao wamesoma, wana exposure na wana uelewa mkubwa wa masuala ya kiuchumi na kidunia.

Provinces za China zinashindana kiuchumi, hawa wanaanzisha viwanda wa mafriji hawa wanaanzisha viwanda vya washing machines. Ili mradi siku ya mwisho provinces moja iwe zaidi ya nyingine kiuchumi na kimaendeleo.


Leo Mkuu wa Mkoa wa Arusha kapewa mic aongee kwenye tukio la Kumbukumbu cha kifo cha Sokoine. Pamoja na kumuelezea Sokoine , kwa watu wenye akili walitegemea ni kitu gani ambacho atakiongea katika kuelezea namna ambavyo ataweka mipango kabambe ili Jiji lile liwe namba moja kiuchumi Tanzania.

Tofauti na hayo Makonda ameelezea kuweka baiskeli za polisi, camera za usalama barabarani mambo ambayo unaweza sema kuwa ni just petty issues!

Mbaya zaidi kama kawaida yake, ametoa vitisho kwa watu eti wanaomsema Rais Samia.

Napenda kuwaambia wana JF huyu ndo makonda sasa na alilofanya leo ndo mambo anayoweza. Ufitini, uchonganishi, kujipendekeza na kujifanya yeye ndo anayempenda zaidi kiongozi wake kuliko mtu yeyote yule ili angalau aendelee kupata vyeo na kuishi kupitia hivyo vyeo.

Alivyo Makonda ndo walivyo watu na vijana wengi kuanzia Chama cha Mapinduzi hadi sehemu nyingine. Hawana muda wa kuonesha uwezo wao kwenye mambo ya msingi bali kujipendekeza kwa watu wenye nafasi ili waendelee kula.

Naionea huruma Tanzania. Kesho yetu inasikitisha hakika.

Kauli ya Makonda kuwataja wanaomchafua Rais Samia, soma Paul Makonda atishia kuwataja wanaolipa watu 'Kumtukana Rais Samia mitandaoni', wamo Mawaziri
kwaiyo wakuu mnasema kumweka makonda ..
......ni bora tumweke mwijaku amoe mama shikamoo za kutosha .......hotuba ya mwijaku itajaa shikamoo kwa rais mawazir mpaka wafanya usafi ......
 
Makonda ana tofauti gani na Samia ?

Pamoja ya kwamba mengi uliyo andika kuhusu China ni uzushi tu.
Ww Unaelimishwa kuhusu China na utaratibu wake kimaendeleo hutaki inawezekana ww hujui mambo ya kimataifa,unapoelimishwa kubali,ni ukweli usiopingika kwamba tunahitaji Economic regions kuliko political regions huo ndio ukweli,vijana wengi hawana ajira na mfumo wa Elimu ni uleule mbovu na hauna tija kwa watanzania.CCM inaharibu sana nchi hii lkn ipo siku inakuja
 
Ww Unaelimishwa kuhusu China na utaratibu wake kimaendeleo hutaki inawezekana ww hujui mambo ya kimataifa,unapoelimishwa kubali,ni ukweli usiopingika kwamba tunahitaji Economic regions kuliko political regions huo ndio ukweli,vijana wengi hawana ajira na mfumo wa Elimu ni uleule mbovu na hauna tija kwa watanzania.CCM inaharibu sana nchi hii lkn ipo siku inakuja
Sijui hata umeandika nini ? Hii ndio elimu yenyewe unayo izungumzia au kuna nyingine ?

Economic regions, political regions nini hiki ?

Au unazungumzia SEZs ?
 
Ukienda China kuna mfumo wa mikoa kama kwetu. Wao wanaita Provinces, na tofauti yao na sie ni kuwa wao mikoa yao ni mikoa ya kiuchumi ( Economic provinces) wakati sie mikoa yetu ni mikoa ya kisiasa (political provinces)

Wanapotushinda China ni watu wanaoteuliwa kuongoza hizo provinces. Kwao wanateua watu wenye uwezo na mawazo makubwa ya kiuchumi unaweza sema watu creative na innovative ambao wamesoma, wana exposure na wana uelewa mkubwa wa masuala ya kiuchumi na kidunia.

Provinces za China zinashindana kiuchumi, hawa wanaanzisha viwanda wa mafriji hawa wanaanzisha viwanda vya washing machines. Ili mradi siku ya mwisho provinces moja iwe zaidi ya nyingine kiuchumi na kimaendeleo.


Leo Mkuu wa Mkoa wa Arusha kapewa mic aongee kwenye tukio la Kumbukumbu cha kifo cha Sokoine. Pamoja na kumuelezea Sokoine , kwa watu wenye akili walitegemea ni kitu gani ambacho atakiongea katika kuelezea namna ambavyo ataweka mipango kabambe ili Jiji lile liwe namba moja kiuchumi Tanzania.

Tofauti na hayo Makonda ameelezea kuweka baiskeli za polisi, camera za usalama barabarani mambo ambayo unaweza sema kuwa ni just petty issues!

Mbaya zaidi kama kawaida yake, ametoa vitisho kwa watu eti wanaomsema Rais Samia.

Napenda kuwaambia wana JF huyu ndo makonda sasa na alilofanya leo ndo mambo anayoweza. Ufitini, uchonganishi, kujipendekeza na kujifanya yeye ndo anayempenda zaidi kiongozi wake kuliko mtu yeyote yule ili angalau aendelee kupata vyeo na kuishi kupitia hivyo vyeo.

Alivyo Makonda ndo walivyo watu na vijana wengi kuanzia Chama cha Mapinduzi hadi sehemu nyingine. Hawana muda wa kuonesha uwezo wao kwenye mambo ya msingi bali kujipendekeza kwa watu wenye nafasi ili waendelee kula.

Naionea huruma Tanzania. Kesho yetu inasikitisha hakika.

Kauli ya Makonda kuwataja wanaomchafua Rais Samia, soma Paul Makonda atishia kuwataja wanaolipa watu 'Kumtukana Rais Samia mitandaoni', wamo Mawaziri
Makonda ni Sokoine wa Karne hii 🐒

Sokoine hakupendwa na wavivu hata kidogo, alikua hafurahishi mtu...

alisema na kutenda.
kwa sababu ya utendaji wake wa wazi hakupendwa mpaka alipo kufa 🐒

Makonda na Sokoine ni twins 🐒
 
Sijui hata umeandika nini ? Hii ndio elimu yenyewe unayo izungumzia au kuna nyingine ?

Economic regions, political regions nini hiki ?

Au unazungumzia SEZs ?
Ukielekezwa na mtu wa kwanza huelewi then akaja mtu pili huelewi ujue ww ni kilaza tu.
 
Ukienda China kuna mfumo wa mikoa kama kwetu. Wao wanaita Provinces, na tofauti yao na sie ni kuwa wao mikoa yao ni mikoa ya kiuchumi ( Economic provinces) wakati sie mikoa yetu ni mikoa ya kisiasa (political provinces)

Wanapotushinda China ni watu wanaoteuliwa kuongoza hizo provinces. Kwao wanateua watu wenye uwezo na mawazo makubwa ya kiuchumi unaweza sema watu creative na innovative ambao wamesoma, wana exposure na wana uelewa mkubwa wa masuala ya kiuchumi na kidunia.

Provinces za China zinashindana kiuchumi, hawa wanaanzisha viwanda wa mafriji hawa wanaanzisha viwanda vya washing machines. Ili mradi siku ya mwisho provinces moja iwe zaidi ya nyingine kiuchumi na kimaendeleo.


Leo Mkuu wa Mkoa wa Arusha kapewa mic aongee kwenye tukio la Kumbukumbu cha kifo cha Sokoine. Pamoja na kumuelezea Sokoine , kwa watu wenye akili walitegemea ni kitu gani ambacho atakiongea katika kuelezea namna ambavyo ataweka mipango kabambe ili Jiji lile liwe namba moja kiuchumi Tanzania.

Tofauti na hayo Makonda ameelezea kuweka baiskeli za polisi, camera za usalama barabarani mambo ambayo unaweza sema kuwa ni just petty issues!

Mbaya zaidi kama kawaida yake, ametoa vitisho kwa watu eti wanaomsema Rais Samia.

Napenda kuwaambia wana JF huyu ndo makonda sasa na alilofanya leo ndo mambo anayoweza. Ufitini, uchonganishi, kujipendekeza na kujifanya yeye ndo anayempenda zaidi kiongozi wake kuliko mtu yeyote yule ili angalau aendelee kupata vyeo na kuishi kupitia hivyo vyeo.

Alivyo Makonda ndo walivyo watu na vijana wengi kuanzia Chama cha Mapinduzi hadi sehemu nyingine. Hawana muda wa kuonesha uwezo wao kwenye mambo ya msingi bali kujipendekeza kwa watu wenye nafasi ili waendelee kula.

Naionea huruma Tanzania. Kesho yetu inasikitisha hakika.

Kauli ya Makonda kuwataja wanaomchafua Rais Samia, soma Paul Makonda atishia kuwataja wanaolipa watu 'Kumtukana Rais Samia mitandaoni', wamo Mawaziri
Duh!...hao ndio viongozi wetu
 
Nchi yetu tunashida kiasi, haiwezekani RC mbele ya viongozi wakuu wa nchi anaongea serious allegations vile,na anarudi kwake kulala huku akifurahi......wakati maBoss wa TISS,IGP,CDF na wengine wote wapo na wakakaa kimya bila kumchukua mtu huyo anayewajua wahaini kwaajili ya mahojiano....... inasikitisha sana mfumo wetu wa utawala kuwa hivi 😔
Ccm yako hiyo....
 
RC Makonda kaharibu vibaya tena leo, lowest IQ of its kind, uchonganishi tu, fitina, kujipendekeza, uchawa, na mbaya zaidi ni kumchonganisha Mh. Rais na mawaziri wake, hii mbaya sana, na kujionyesha yeye ndio mwema sana, yaani ndio.Mwana wa Mama Samia, hii attitude mbaya sana, huyu sio kiongozi hata kidogo
Yule BASHITE kwa ile IQ yake ndogo,cheo angalau anachotakiwa kuwa nacho ni UKUU wa KAYA..period
 
Back
Top Bottom