Hakainde
JF-Expert Member
- Jul 30, 2020
- 2,401
- 2,872
Siyo kweli. Samia ni Muislam na Awamu ya Sita hata kama atatawala muhula mmoja. Hawezi kuja Rais wa Awamu ya 7 Muislam bali lazima awe MkristoMkuu ikitokea kwamba rais Samia asingombee japo hatuombei iwe,Basi atakayemrithi toka CCM lazima awe muislamu elewa hivyo.