Alichokisema Ismail Jussa baada ya Tume kutoa Rasimu ya Katiba...

Alichokisema Ismail Jussa baada ya Tume kutoa Rasimu ya Katiba...

Jamani huu muungano utavunjika lini mie nimewachoka hawa waliberali uuvunjike tu wazanzibari warudi kwao wakaendeleze ushoga na usagaji!
 
hayo ni maamuzi yetu wazanzibari si maamuzi ya jusa wala nini. Binafsi napenda uhuru wa znz.

Hv wazenji wote wakiamuriwa waludi kwao patawatosha?maana wamezaana sana huku Bara ! Ni bora wajitambue Kuwa endapo watajitenga itakula kwao kwani wazenji waliopo Bara watahesabika Kama Raia wa kigeni watalipia viza na vibali vya kuishi na kufanya kazi Umeme na Chakula tutawapandishia bei na Bara itanufaika zaidi ya Zenji wanavyofikiri Wamesahu Kuwa karafuu inalimwa Moro na inaweza kulimwa kwa wingi huku bara na ikawa bora zaidi .zenji tambueni bara ni Nchi tajiri sana mnapaswa muwe
 
Methali : usiache mbachao kwa msala upitao
 
Inaonekana wenzetu wa CUF wana dhamira ya kuvunja muungano kwa sababu wanazozijua wenyewe.Awali walisema wanataka serikali tatu.Suala la serikali tatu limekubaliwa kwenye rasimu ya katiba mpya; sasa wanataka mamlaka katika kila kitu (maana yake wanataka kujitenga).

Wewe unaposema unataka mamlaka kamili kwenye;

1. Mambo ya Nje.

2. Uraia na Uhamiaji.

3. Sarafu na Benki Kuu.

4. Ushuru wa Forodha na Ushuru wa Bidhaa.

5. Usajili wa Vyama vya Siasa.


unakusudia nini zaidi ya kusema unataka kujitenga? je ikiwa mambo yao yote wanayotaka yatolewe kwenye muungano yatakubaliwa ; basi watueleze ni nini kitabaki kwenye muungano.


Hata hivyo watu wa bara tumewabembeleza sana hawa watu lakini kadiri tunavyowabembeleza ndivyo wanavyotutunishia misuli.Sasa mimi nadhani kama vipi let them go! Hata hivyo mimi naona kama kwenye muungano ni kama tunawa accomodate wazanzbar kama ndugu zetu tu lakini zaidi ya hapo hakuna la zaidi.Sasa huu utaratibu haupendezi kwa kweli.

cc Mzee Mwanakijiji
 
Last edited by a moderator:
Methali usiache mbachao kwa msala upitao
 
Inaonekana wenzetu wa CUF wana dhamira ya kuvunja muungano kwa sababu wanazozijua wenyewe.Awali walisema wanataka serikali tatu.Suala la serikali tatu limekubaliwa kwenye rasimu ya katiba mpya; sasa wanataka mamlaka katika kila kitu (maana yake wanataka kujitenga).

Wewe unaposema unataka mamlaka kamili kwenye;

1. Mambo ya Nje.

2. Uraia na Uhamiaji.

3. Sarafu na Benki Kuu.

4. Ushuru wa Forodha na Ushuru wa Bidhaa.

5. Usajili wa Vyama vya Siasa.


unakusudia nini zaidi ya kusema unataka kujitenga? je ikiwa mambo yao yote wanayotaka yatolewe kwenye muungano yatakubaliwa ; basi watueleze ni nini kitabaki kwenye muungano.


Hata hivyo watu wa bara tumewabembeleza sana hawa watu lakini kadiri tunavyowabembeleza ndivyo wanavyotutunishia misuli.Sasa mimi nadhani kama vipi let them go! Hata hivyo mimi naona kama kwenye muungano ni kama tunawa accomodate wazanzbar kama ndugu zetu tu lakini zaidi ya hapo hakuna la zaidi.Sasa huu utaratibu haupendezi kwa kweli.

cc Mzee Mwanakijiji
Pato jipya linakuja wakijitenga tu Wazenji wote watakuwa Raia wa kigeni watalipia viza vibali vya kuishi na kufanya kazi bara Pia Umeme na chakula watalipia kwa bei stahili huwa wanajidanganya Kuwa kujitenga watakuwa matajiri Kama Dubai lakini wamesahau bara ni nchi Tajiri na imejaa Madini,Gesi,na Rasirimali kibao zimejaa na Bara bila zenji inawezekana
 
Last edited by a moderator:
go go zanzibar. Go in one piece. Hivi unakazana kumwelimisha jusa unadhani atakuelewa. Wakati mtu anachumbia ukimwambia lo lote kuhusu mchumba hakuelesi ni mpaka amweke ndani ndo unasikia, lo, laiti ningewasikiliza ndugu zangu. Unakuwa umechelewa. Let zenj go. Go,go zanzibar, go in peace and in one piece.


Sent from my blackberry 9860 using jamiiforums
..naiona unguja na pemba zikianza kujitenga taratiiibu,mark my words...
 
Zumari limeliya Zanzibar bara wamenuna. We are walking away from hili kero muungano tall and proud.

mwiba huingilia ulipotokea sijui mnajivunia kipi sasa kwa mfano hilo jeshi lenu la polisi wanaokula urojo hao.
 
mwalimu nyerere alisema baada ya hatua moja itazaliwa hatua nyingine kitakachofuata ni unguja na pemba kila mtu na hamsini zake.
 
Japo sijasoma alichosema, nikuulize yeye ni nani katika watu m45?
 
Nadhani hawa Wazenj wanafurahia hata kisichostahili kufurahia.Sina uhakika muundo wa Serikali ya Muungano utakuwaje lakini kama Tanganyika itakuwa na Rais wake ni wazi kabisa Rais wa Muungano atakuwa anaelea tu hapo juu kwa maana ya kwamba hatakuwa na nguvu na ushawishi wa kutosha toka sehemu zote mbili.Na kama Jussa hatakuwa makini basi ategemee Serikali ya Jamhuri watu wa Pemba.
 
Zanzibar tutasimama kwenye hoja hadi tufike pale tutakapo . Mungu ibariki Zanzibar
nchi kadogo tunalisumbua bonge la nchi .
Tembo lazima atamtapika chura alie mmeza

Mungu wape ujasiri wazanzibari waendelee kukomaa hata wakivunja vichwa potelea mbali watoke salama tupumue! Nadharia ya pepo walionayo vichwani mwao wakaiishi! Ila bili ya umeme mlipe! Msije mkaanza oo mkataba ulifungwa wakati wa Muungano! Lipeni
 
kwani bara ina uchumi gani wa kujiendesha? kutwa kiguu na njia mkipita mkiomba nchini mwa watu, mara leo china kesho uae kesho italy uturuki. mara mkataba huu na ule mugawe aedhi zenu. eti watajiendeshaje hemu waachieni muone. bdo mumewangangania
usiwe unafikiria kw makal. io

Nchi za kiafrika zote haziwezi kusimama bila kuomba misaada nje, ambayo kimsingi ni haki yetu kuipata kutokana na ukweli kuwa mafanikio ya nchi zao ni michango ya rasilimali zetu Afrika. Napenda kukuunga mkono, kutokana na uliberali wenu mtapata misaada kirahisi sana mkiwa peke yenu kutoka katika mataifa yanayowamezea mate "kuwamega", kwani sharti la shuruti mmegwe ndipo msaidiwe haliwatishi, mnalichukulia poa! Si mnakumbuka wakati Waziri Mkuu wa Uingereza alipotoa lile sharti la kuridhia ushoga na usagaji kama sharti la misaada mlilitamanije?
 
Honestly!
Tanganyika bila ya Zanzibar haiwezekani, kama nimemuelewa sawasawa Warioba basi hakutakuwa na serikali ya Tanganyika bali ya Tanzania bara! hivyo Zanzibar bado ipo katika ndoto zao wala hailekei kuwa watarudi tena katika jina la Tanganyika.

Bila ya shaka itakuwa ni kikundi cha watu fulani waliokula kiapo cha kutolirudia tena jina la Tanganyika na ndio sasa wanaowakokota Wataanzania wote!
Mkuu, hoja za kuwa na mamlaka kamili haziwezi kutetewa na majina ya zamani na sasa.
Hayo ni majina tu, hayana maana.

Jusa anajisifu kwa kurudishiwa mambo yanayokula zaidi kuliko yanayozalisha.
Elimu ya Juu - viwavi jeshi.
Jeshi la polisi - viwavi jeshi

hiyo ni expenditure mkuu, hakuna revenue hapo.
 
Jussa ni mwehu wa madaraka! Hataridhika mpaka awe waziri kiongozi wa zanzibar na akifa Seif awe Gavana wa Zanzibar
 
Sasa kwa msururu huo, kuna muungano hapo? Mambo mengine haya ni vichekesho, kwani huu muungano wa nini hasa? Mi naona unatujazia Wapemba Buguruni, bora uvunjike warudi kwao wakakazane kwenye mikarafuu
naona nikupe elimu ya uraia ya bure. tukiona wapemba huku bara, tunawachukulia kama wageni. hiyo siyo sahihi. wapemba ni moja ya kabila za Tanzania bara. wazazi wao walikuja kabla ya muungano. walio wengi wamezaliwa huku bara. hata kule znz hawaruhusiwi kupiga kura. wanahesabiwa ni wabara japo asili yao ni visiwani. kwa wale waliyo na ndoto kuwa muungano ukivunjika itabidi wapemba wote warudi znz wanaota ndoto ya mchana. watabaki huku bara na biashara zao pamoja na majumba yao yakiwemo maghorofa. achana na fikra mgando za kizamani. soma vizuri aina za uraia za hapa TZ
 
Sasa kwa msururu huo, kuna muungano hapo? Mambo mengine haya ni vichekesho, kwani huu muungano wa nini hasa? Mi naona unatujazia Wapemba Buguruni, bora uvunjike warudi kwao wakakazane kwenye mikarafuu
kiswahili kina raha yake.........jamhuri ya Zanzibar sio tusi.........lakini Jamhuri ya TANGANYIKA utata mtupu.....
 
naona nikupe elimu ya uraia ya bure. tukiona wapemba huku bara, tunawachukulia kama wageni. hiyo siyo sahihi. wapemba ni moja ya kabila za Tanzania bara. wazazi wao walikuja kabla ya muungano. walio wengi wamezaliwa huku bara. hata kule znz hawaruhusiwi kupiga kura. wanahesabiwa ni wabara japo asili yao ni visiwani. kwa wale waliyo na ndoto kuwa muungano ukivunjika itabidi wapemba wote warudi znz wanaota ndoto ya mchana. watabaki huku bara na biashara zao pamoja na majumba yao yakiwemo maghorofa. achana na fikra mgando za kizamani. soma vizuri aina za uraia za hapa TZ
aina za uraia zinasemaje mkuu.........
 
Jusa ni mwehu flani tu, anajidanganya na kuwadanganya waznz, hana uzalendo wwte, anadhani kuvunja muungano ndio cuf kuingia madarakani??? Znz ina uchumi gani wa kujiendesha

Angalau nimesoma hoja ya maana toka kwako for the first time! Ni kweli Juha anawadanganya.
 
Back
Top Bottom