zanzibar mmesahau upemba na uunguja? Je, mtaendelea kwa jeuri gani. Serikali itaweza kuhudumia gharama hizi zilizoongezeka? Kwa pato gani, pato la zanzibar not more than bilioni mia tano kwa mwaka. Then compere na gharama za uendeshaji zilizo ogezekae(polisi, elimu ya juu, takwimu, n.k).kumbuka mnategemea sector ya huduma tu hasa mahoteli na watalii wengi walio kuwa wanaingia zanzibar sio wa direct to znzr ni wale waliokuwa wanakuja mbuga za wanyama na kutazama mlima kilimanjaro ndo walikuwa wanamalizia zanzibar then wanakwea pipa. Zingatia pia, kwa dizaini hii ukivunjika huu muungano ujue wakija means wanakuja kwenye nchi mbili, so gharama zitaongezeka kwao na kuathiri soko la utarii zanz ambalo ndo linachangia kwenye pato la taifa kwa kiasi kikubwa. Ila kubwa zaidi kwani nyie wazanzibari hamjui yanayo endelea huku zanji, kunakampeni za kuwafukuza wapemba unguja? Na ambazo zinashamili sana kila iitwapo leo. U wil spend a lot of time kupambana nyie wenyewe kuliko kujenga nchi.......binafsi siwalaani., bt zanzibar endapo muungano ukivunjika mtatikisika sana na kurecover itawachukuwa mda na msipo angalia you 're going to die. Mnafurahia mauti yenu, sio mbaya lakini