chabuso,
..kabla NECTA[baraza la mitihani] haijaanzishwa, wanafunzi wa TANGANYIKA na ZANZIBAR walikuwa wanafanya mitihani ya EAST AFRICAN EXAMINATION COUNCIL.
..miaka ya nyuma zaidi wanafunzi walikuwa wakifanya mitihani ya CAMBRIDGE LOCAL EXAMINATION SYNDICATE.
..swali la kujiuliza ni kwanini Zanzibar haikuanzisha baraza lake la mitihani baada ya kujitoa kwenye East African Examination Council??
NB:
..Prof.Issa Shivji ni mzaliwa wa Kilosa, Tanganyika.
cc: KVM
Hiki kitu kinachoitwa EAST AFRICAN EXAMINATION COUNCIL hakikutumika Tanzania. Mitihani ya CAMBRIDGE LOCAL EXAMINATION SYNDICATE ilifanyika Tanzania kwa mara ya mwisho mwaka 1970. Mwaka 1971 ndipo mitihani ya Baraza la Mitihani Tanzania ndipo ilipoanza.