Alichoniambia mdogo wangu nawaza mpaka sasa nimekosa la kujibu, naombeni msaada wenu

Alichoniambia mdogo wangu nawaza mpaka sasa nimekosa la kujibu, naombeni msaada wenu

Muulize kwanza ujue ana tatizo gani na alienda hospital gani. Kama ameenda hospital za ovyo ,aende NSK Hospital Arusha aonane na Dkt Lekundayo au St Thomas Hospital Arusha aonane na Dkt Msuya ,wote ni m gynecologists wabobezi na wamesaidia watu wengi , So aende huko kwanza then mengine aone itakuaje
 
Kinachokushinda Nini?
Acha ujinga.
Na ukila usinogewe
 
Mdogo wangu alinifuata wiki moja iliyopita akitaka nimsaidie jambo moja. Huyu mdogo wangu ameoa, ana mke kwa muda wa miaka 4. Anatafuta mtoto naye hawajapata ata kidogo, sasa amekuja kwangu wiki iliyopita anasema anaomba nitembee na mke wake apate mtoto.

Sikuamini macho yagu kabisa, nikaona kama naota vile! Kumuuuliza tena anasema ni kweli ameamua kabisa. Amuulize zile siku za kupata mimba kisha amueleweshe saana mimi nikalale naye apate mimba.

Nimewaza sana sijui nimsaidiaje huyu bwana mdogo, maana yupo na hakika kabisa kabisa. Nimemuuliza je, kwanini asimshirikishe mkewe hilo jambo? Akainijibu nikitaka anaweza muita waje wote tu. Hilo jambo sasa sielewi, je, kweli nimlale mke wa mdogo wangu ili apate mimba? Sielewi maana ni kama ndoto kabisa!

Na mke mwenyewe ni mzuri sana kabisa. Je, nimlale? Je, nifanyeje na mdogo wangu ananikumbusha kila mara kuwa kaka nisaidie jambo langu?
Kaka jambo hili si la kuleta hapa,huyo ni mdogo wako wa danu do the needful
 
Mdogo wangu alinifuata wiki moja iliyopita akitaka nimsaidie jambo moja. Huyu mdogo wangu ameoa, ana mke kwa muda wa miaka 4. Anatafuta mtoto naye hawajapata ata kidogo, sasa amekuja kwangu wiki iliyopita anasema anaomba nitembee na mke wake apate mtoto.

Sikuamini macho yagu kabisa, nikaona kama naota vile! Kumuuuliza tena anasema ni kweli ameamua kabisa. Amuulize zile siku za kupata mimba kisha amueleweshe saana mimi nikalale naye apate mimba.

Nimewaza sana sijui nimsaidiaje huyu bwana mdogo, maana yupo na hakika kabisa kabisa. Nimemuuliza je, kwanini asimshirikishe mkewe hilo jambo? Akainijibu nikitaka anaweza muita waje wote tu. Hilo jambo sasa sielewi, je, kweli nimlale mke wa mdogo wangu ili apate mimba? Sielewi maana ni kama ndoto kabisa!

Na mke mwenyewe ni mzuri sana kabisa. Je, nimlale? Je, nifanyeje na mdogo wangu ananikumbusha kila mara kuwa kaka nisaidie jambo langu?
Sasa kama ameshakuomba Umkazie ( Umtie ) Mkewe kinachokushangaza hapo ni nini? Acha Ubwege ( Ungende ) sawa?

Kama vipi tutumie basi Namba yake ya Simu ili tukutangulie Kumtia ( Kumkaza ) na tumpe Mimba anayoitaka.
 
Mpelekee moto huyo shemu

Kizuri kula na nduguyo

Ila hapa kuna maswali ya kujiuliza:
Vipi ikiwa shemu yako ndo ana tatizo la kupata mimba?

Vipi kama wewe na shemu yako mkanogewa je, ndo utakuwa mchezo wenu?
 
Mdogo wangu alinifuata wiki moja iliyopita akitaka nimsaidie jambo moja. Huyu mdogo wangu ameoa, ana mke kwa muda wa miaka 4. Anatafuta mtoto naye hawajapata ata kidogo, sasa amekuja kwangu wiki iliyopita anasema anaomba nitembee na mke wake apate mtoto.

Sikuamini macho yagu kabisa, nikaona kama naota vile! Kumuuuliza tena anasema ni kweli ameamua kabisa. Amuulize zile siku za kupata mimba kisha amueleweshe saana mimi nikalale naye apate mimba.

Nimewaza sana sijui nimsaidiaje huyu bwana mdogo, maana yupo na hakika kabisa kabisa. Nimemuuliza je, kwanini asimshirikishe mkewe hilo jambo? Akainijibu nikitaka anaweza muita waje wote tu. Hilo jambo sasa sielewi, je, kweli nimlale mke wa mdogo wangu ili apate mimba? Sielewi maana ni kama ndoto kabisa!

Na mke mwenyewe ni mzuri sana kabisa. Je, nimlale? Je, nifanyeje na mdogo wangu ananikumbusha kila mara kuwa kaka nisaidie jambo langu?
Kuna maandiko yanakataza jambo hilo..

Walawi 18:
6 Mtu yeyote miongoni mwenu asimkaribie mwenziwe aliye wa jamaa yake ya karibu ili kumfunua utupu; mimi ndimi BWANA.
16 Usifunue utupu wa mke wa nduguyo; maana, ni utupu wa nduguyo.

Afadhali kama mnaweza kumudu gharama mpelekeni hospital apandikizwe mimba (In Vitro Fertilization)
 
Mdogo wangu alinifuata wiki moja iliyopita akitaka nimsaidie jambo moja. Huyu mdogo wangu ameoa, ana mke kwa muda wa miaka 4. Anatafuta mtoto naye hawajapata ata kidogo, sasa amekuja kwangu wiki iliyopita anasema anaomba nitembee na mke wake apate mtoto.

Sikuamini macho yagu kabisa, nikaona kama naota vile! Kumuuuliza tena anasema ni kweli ameamua kabisa. Amuulize zile siku za kupata mimba kisha amueleweshe saana mimi nikalale naye apate mimba.

Nimewaza sana sijui nimsaidiaje huyu bwana mdogo, maana yupo na hakika kabisa kabisa. Nimemuuliza je, kwanini asimshirikishe mkewe hilo jambo? Akainijibu nikitaka anaweza muita waje wote tu. Hilo jambo sasa sielewi, je, kweli nimlale mke wa mdogo wangu ili apate mimba? Sielewi maana ni kama ndoto kabisa!

Na mke mwenyewe ni mzuri sana kabisa. Je, nimlale? Je, nifanyeje na mdogo wangu ananikumbusha kila mara kuwa kaka nisaidie jambo langu?
Totally bad idea bro!!!,ukifanya hicho. Kitu,hiyo ndoa ya mdogo wako kwishney,things will never be the same again,huyo mtoto akizaliwa,utakuwa unamuangaliaje?atakuita baba mkubwa,ndani ya moyo unajua ni mwanao!??ebu fikiria amekuwa mkubwa,very blight shuleni,Kawa tajiri kama Mond!!!manufaa yote yanaenda kwa mdogo wako,utaweza vumilia au utafunguka Dunia ijue??
Ni Bora mdogo wako atafute mtoto wa kulea,au apige mke chini tu
 
Nimecheka sana[emoji23][emoji23]. Naona wamemsaidia kurekebisha maneno.
Jamani lakini si kaeleweka! Siku hizi viswahili viko vingi sana,kuna hadi Kiswahili cha Kirundi au cha Kikongo ndiyo utacheka!!![emoji38][emoji3]
 
Back
Top Bottom