Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na ni sawa tu kwa kweli, huku pia hatulazimishwi kuchanja na ukiingia lazima upimeKaniambia kule ukiingia huulizwi chanjo ila unapimwa kama umeambukizwa hiyo tu inatosha na sio raia toka nje tuu bali hata wao ukitoka jimbo moja kwenda kingine sharti muhimu sio chanjo ila ni kupimwa ikiwa una maambukizi
Siyo kweli, mfano mdogo ni mgodi wa GGML kama huna chanjo uwe mfanyakazi au familia ayeishi nyumba za ndani ya mgodi, mzabuni au unaenda kikazi huruhusiwi kuingiaHata Bongo mbona ni hiari tu, watu wanahamasishwa tu kuchanja ila hatulazimishwi kuchanja.
Ni kweli Mkuu, mm mkewangu aliwakatalia , akawaambia kama hamtaki kumuhudumia mtoto mpk chanjo ya COVID-19 muweke bango wananchi wote wajue. Mwisho wa siku hakuchanja na mtoto akahudumiwa vzrMkuu, huko vijini sasa hivi Serikali ya Tanzania inachanja watu kwa nguvu, mama akipeleka mtoto kliniki hapati huduma hadi mama achanjwe chanjo ya Corona.
Duh!! hizi habari hizi....Ninaye rafiki yangu anayesoma China ambaye yupo huko takribani miaka 3 sasa. Nilipojaribu kumuuliza kuhusu namna serikali ya China inavyofanya kuhamasisha raia wake kuchanja chanjo ya Covid, au kuhakikisha kila raia wake amechanja ili kujikinga na corona.
Yule rafiki yangu ameniambia serikali ya China imetengeneza chanjo na kuiweka kwenye vituo vya Kutolea huduma alafu raia yeyote anayetaka kuchanja aende mwenyewe kwa hiyari yake.
Wala huwezi kukuta afisa au kiongozi wa serikali akisisitizia watu kuchanja. Alichoniambia ni kwamba mkazo mkubwa wamewekeza kwenye kinga. Inavyoonekana wamepuuza kwa kiasi mambo ya chanjo.
Sasa najiuliza huku ndiko corona ilikoanzia, wao wameendelea sana kiteknolojia kuliko sisi, iweje sisi tusisitize suala la chanjo kiwango cha kutaka kulazimishana wakati wazalisha chanjo hawajafikia huko?
Ni kwa nini tunajilazimisha kuchukua chanjo zao hali ya kuwa hata wenye chanjo wenyewe hawaziamini kiwango hiki?
Ni kwa nini serikali yetu inatumia nguvu kubwa sana, ukizingatia alinidokeza nesi mmoja kwamba wamepewa kila mtu kuchanja watu hamsini kwa siku?
...Alichoniambia ni kwamba mkazo mkubwa wamewekeza kwenye kinga. Inavyoonekana wamepuuza kwa kiasi mambo ya chanjo.
Kwahiyo una maanisha corona si hatari kama ukimwi ndio maana watu wanaweza kugomea chanjo za corona?Ikifika chanjo ya ukimwi, je mtaipinga kama mnavyoipinga ya Covid? Nawaulizeni wazinzi je mtaipinga?
Hizo ni taasisi binafsi na zina utaratibu binafsi katika utendaji wao wa kazi. Hata huko China kwenye hotels na baadhi ya taasisi binafsi kuna ulazima wa kuchanja.Siyo kweli, mfano mdogo ni mgodi wa GGML kama huna chanjo uwe mfanyakazi au familia ayeishi nyumba za ndani ya mgodi, mzabuni au unaenda kikazi huruhusiwi kuingia
Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
Kweli kbs ache kutupa habari za uongo china chanjo mpk watoto wanachoma, na wamechoma kuliko huku Tanzania, akili za kuambiwa changanya na zako..Mkuu kwanini uhangaike? Wewe kama hujisikii kuchanja acha tu endelea na mambo mengine, waache wanaotaka kuchanja. Huna haja kuhangaisha nafsi yako
We si unamuamini rafiki yako allyeko China? Inatosha mkuu, achana na mambo ya chanjo we endelea na mengine tu