Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
kakudanganya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu tutajie aliyekulazimisha kuchanja anaitwa nani, ana nafasi gani serikalini na alisema lini au alitaka kusema lini. Team jiwe mna taaabu sana nyie.Ninaye rafiki yangu anayesoma China ambaye yupo huko takribani miaka 3 sasa. Nilipojaribu kumuuliza kuhusu namna serikali ya China inavyofanya kuhamasisha raia wake kuchanja chanjo ya Covid, au kuhakikisha kila raia wake amechanja ili kujikinga na corona.
Yule rafiki yangu ameniambia serikali ya China imetengeneza chanjo na kuiweka kwenye vituo vya Kutolea huduma alafu raia yeyote anayetaka kuchanja aende mwenyewe kwa hiyari yake.
Wala huwezi kukuta afisa au kiongozi wa serikali akisisitizia watu kuchanja. Alichoniambia ni kwamba mkazo mkubwa wamewekeza kwenye kinga. Inavyoonekana wamepuuza kwa kiasi mambo ya chanjo.
Sasa najiuliza huku ndiko corona ilikoanzia, wao wameendelea sana kiteknolojia kuliko sisi, iweje sisi tusisitize suala la chanjo kiwango cha kutaka kulazimishana wakati wazalisha chanjo hawajafikia huko?
Ni kwa nini tunajilazimisha kuchukua chanjo zao hali ya kuwa hata wenye chanjo wenyewe hawaziamini kiwango hiki?
Ni kwa nini serikali yetu inatumia nguvu kubwa sana, ukizingatia alinidokeza nesi mmoja kwamba wamepewa kila mtu kuchanja watu hamsini kwa siku?
Nabii wa uongoMkuu, huko vijini sasa hivi Serikali ya Tanzania inachanja watu kwa nguvu, mama akipeleka mtoto kliniki hapati huduma hadi mama achanjwe chanjo ya Corona.
[emoji23][emoji23]foreni yake itafika kibahaIkifika chanjo ya ukimwi, je mtaipinga kama mnavyoipinga ya Covid? Nawaulizeni wazinzi je mtaipinga?
Dunia imejaa sana watu wapumbavu, kwahiyo fanya kilicho nafsini kwako.Ninaye rafiki yangu anayesoma China ambaye yupo huko takribani miaka 3 sasa. Nilipojaribu kumuuliza kuhusu namna serikali ya China inavyofanya kuhamasisha raia wake kuchanja chanjo ya Covid, au kuhakikisha kila raia wake amechanja ili kujikinga na corona.
Yule rafiki yangu ameniambia serikali ya China imetengeneza chanjo na kuiweka kwenye vituo vya Kutolea huduma alafu raia yeyote anayetaka kuchanja aende mwenyewe kwa hiyari yake.
Wala huwezi kukuta afisa au kiongozi wa serikali akisisitizia watu kuchanja. Alichoniambia ni kwamba mkazo mkubwa wamewekeza kwenye kinga. Inavyoonekana wamepuuza kwa kiasi mambo ya chanjo.
Sasa najiuliza huku ndiko corona ilikoanzia, wao wameendelea sana kiteknolojia kuliko sisi, iweje sisi tusisitize suala la chanjo kiwango cha kutaka kulazimishana wakati wazalisha chanjo hawajafikia huko?
Ni kwa nini tunajilazimisha kuchukua chanjo zao hali ya kuwa hata wenye chanjo wenyewe hawaziamini kiwango hiki?
Ni kwa nini serikali yetu inatumia nguvu kubwa sana, ukizingatia alinidokeza nesi mmoja kwamba wamepewa kila mtu kuchanja watu hamsini kwa siku?
Kwahiyo una maanisha corona si hatari kama ukimwi ndio maana watu wanaweza kugomea chanjo za corona?
Kwani unapovaa kondomu unajikinga na magonjwa ya zinaa au unakuwa unajichanja. Kwangu mimi naona tofauti baina ya kinga na chanjo.Mtoa mada amechemka 😀😀[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hivi KINGA si ndio CHANJO. Chanjo ni kinga sio dawa. Omg watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa. Na hakuna nchi inayolazimisha ila kutafika siku bila kua na chanjo hupati huduma yoyote.
Uliuliza kwamba kama ikija chanjo ya ukimwi wataipinga kama wanavyopinga chanjo ya corona? Ndio nami nikataka kujua kwamba umeuliza kwa kuona kuwa watu wameweza kuipinga chanjo ya corona kwa sababu labda corona si hatari kama ilivyo kwa ukimwi hivyo hatoweza kuwa na jeuri ya kupinga chanjo zake?Cjakuelewa baba.
Hapa naunga mkono suala la chanjo, ata mimi nimepata chanjo.
Itakapowasiri chanjo ya ukimwi wa2 watajitokeza kwa wingi kupata,,,,nackia kila baada ya 6months unatumia dawa, itaperekea watu waendelee na ngono hata wakiasirika sawa tuu ilimradi ana2mia dawa ya muda mrefu. Huu ni upumbafu, siungi mkono.
Kinga sio lazima iwe chanjo kinga ni njia yoyote ya kuzuia usipate ugonjwaKwani kinga ni nini na chanjo ni nini?
Dada yangu tumbo moja baba mmoja kachanjwa kwa lazima baada ya kupeleka mtoto kliniki. Sina sababu ya kusema uwongo juu ya hili.Una uhakika na hizi tuhuma ?
Ungeujua mchakato wa kupata chanjo usingeongea hivi, kwa kifupi ni kwamba una taarifa finyu sana juu ya zoezi zima la utoaji wa chanjo ya Covid hapa nchini.
Kuna vimrija humo watu wanafyonzaNinaye rafiki yangu anayesoma China ambaye yupo huko takribani miaka 3 sasa. Nilipojaribu kumuuliza kuhusu namna serikali ya China inavyofanya kuhamasisha raia wake kuchanja chanjo ya Covid, au kuhakikisha kila raia wake amechanja ili kujikinga na corona.
Yule rafiki yangu ameniambia serikali ya China imetengeneza chanjo na kuiweka kwenye vituo vya Kutolea huduma alafu raia yeyote anayetaka kuchanja aende mwenyewe kwa hiyari yake.
Wala huwezi kukuta afisa au kiongozi wa serikali akisisitizia watu kuchanja. Alichoniambia ni kwamba mkazo mkubwa wamewekeza kwenye kinga. Inavyoonekana wamepuuza kwa kiasi mambo ya chanjo.
Sasa najiuliza huku ndiko corona ilikoanzia, wao wameendelea sana kiteknolojia kuliko sisi, iweje sisi tusisitize suala la chanjo kiwango cha kutaka kulazimishana wakati wazalisha chanjo hawajafikia huko?
Ni kwa nini tunajilazimisha kuchukua chanjo zao hali ya kuwa hata wenye chanjo wenyewe hawaziamini kiwango hiki?
Ni kwa nini serikali yetu inatumia nguvu kubwa sana, ukizingatia alinidokeza nesi mmoja kwamba wamepewa kila mtu kuchanja watu hamsini kwa siku?
Hee, haya bwanaDada yangu tumbo moja baba mmoja kachanjwa kwa lazima baada ya kupeleka mtoto kliniki. Sina sababu ya kusema uwongo juu ya hili.
na chanjo?Kinga sio lazima iwe chanjo kinga ni njia yoyote ya kuzuia usipate ugonjwa