#COVID19 Alichonihadithia jamaa yangu anayesoma China kuhusu chanjo ya COVID-19, kimenistua

#COVID19 Alichonihadithia jamaa yangu anayesoma China kuhusu chanjo ya COVID-19, kimenistua

Ninaye rafiki yangu anayesoma China ambaye yupo huko takribani miaka 3 sasa. Nilipojaribu kumuuliza kuhusu namna serikali ya China inavyofanya kuhamasisha raia wake kuchanja chanjo ya Covid, au kuhakikisha kila raia wake amechanja ili kujikinga na corona.

Yule rafiki yangu ameniambia serikali ya China imetengeneza chanjo na kuiweka kwenye vituo vya Kutolea huduma alafu raia yeyote anayetaka kuchanja aende mwenyewe kwa hiyari yake.

Wala huwezi kukuta afisa au kiongozi wa serikali akisisitizia watu kuchanja. Alichoniambia ni kwamba mkazo mkubwa wamewekeza kwenye kinga. Inavyoonekana wamepuuza kwa kiasi mambo ya chanjo.

Sasa najiuliza huku ndiko corona ilikoanzia, wao wameendelea sana kiteknolojia kuliko sisi, iweje sisi tusisitize suala la chanjo kiwango cha kutaka kulazimishana wakati wazalisha chanjo hawajafikia huko?

Ni kwa nini tunajilazimisha kuchukua chanjo zao hali ya kuwa hata wenye chanjo wenyewe hawaziamini kiwango hiki?

Ni kwa nini serikali yetu inatumia nguvu kubwa sana, ukizingatia alinidokeza nesi mmoja kwamba wamepewa kila mtu kuchanja watu hamsini kwa siku?
Hebu tutajie aliyekulazimisha kuchanja anaitwa nani, ana nafasi gani serikalini na alisema lini au alitaka kusema lini. Team jiwe mna taaabu sana nyie.
 
Ninaye rafiki yangu anayesoma China ambaye yupo huko takribani miaka 3 sasa. Nilipojaribu kumuuliza kuhusu namna serikali ya China inavyofanya kuhamasisha raia wake kuchanja chanjo ya Covid, au kuhakikisha kila raia wake amechanja ili kujikinga na corona.

Yule rafiki yangu ameniambia serikali ya China imetengeneza chanjo na kuiweka kwenye vituo vya Kutolea huduma alafu raia yeyote anayetaka kuchanja aende mwenyewe kwa hiyari yake.

Wala huwezi kukuta afisa au kiongozi wa serikali akisisitizia watu kuchanja. Alichoniambia ni kwamba mkazo mkubwa wamewekeza kwenye kinga. Inavyoonekana wamepuuza kwa kiasi mambo ya chanjo.

Sasa najiuliza huku ndiko corona ilikoanzia, wao wameendelea sana kiteknolojia kuliko sisi, iweje sisi tusisitize suala la chanjo kiwango cha kutaka kulazimishana wakati wazalisha chanjo hawajafikia huko?

Ni kwa nini tunajilazimisha kuchukua chanjo zao hali ya kuwa hata wenye chanjo wenyewe hawaziamini kiwango hiki?

Ni kwa nini serikali yetu inatumia nguvu kubwa sana, ukizingatia alinidokeza nesi mmoja kwamba wamepewa kila mtu kuchanja watu hamsini kwa siku?
Dunia imejaa sana watu wapumbavu, kwahiyo fanya kilicho nafsini kwako.
 
Kwahiyo una maanisha corona si hatari kama ukimwi ndio maana watu wanaweza kugomea chanjo za corona?

Cjakuelewa baba.

Hapa naunga mkono suala la chanjo, ata mimi nimepata chanjo.

Itakapowasiri chanjo ya ukimwi wa2 watajitokeza kwa wingi kupata,,,,nackia kila baada ya 6months unatumia dawa, itaperekea watu waendelee na ngono hata wakiasirika sawa tuu ilimradi ana2mia dawa ya muda mrefu. Huu ni upumbafu, siungi mkono.
 
Mtoa mada amechemka 😀😀[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hivi KINGA si ndio CHANJO. Chanjo ni kinga sio dawa. Omg watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa. Na hakuna nchi inayolazimisha ila kutafika siku bila kua na chanjo hupati huduma yoyote.
Kwani unapovaa kondomu unajikinga na magonjwa ya zinaa au unakuwa unajichanja. Kwangu mimi naona tofauti baina ya kinga na chanjo.
 
Cjakuelewa baba.

Hapa naunga mkono suala la chanjo, ata mimi nimepata chanjo.

Itakapowasiri chanjo ya ukimwi wa2 watajitokeza kwa wingi kupata,,,,nackia kila baada ya 6months unatumia dawa, itaperekea watu waendelee na ngono hata wakiasirika sawa tuu ilimradi ana2mia dawa ya muda mrefu. Huu ni upumbafu, siungi mkono.
Uliuliza kwamba kama ikija chanjo ya ukimwi wataipinga kama wanavyopinga chanjo ya corona? Ndio nami nikataka kujua kwamba umeuliza kwa kuona kuwa watu wameweza kuipinga chanjo ya corona kwa sababu labda corona si hatari kama ilivyo kwa ukimwi hivyo hatoweza kuwa na jeuri ya kupinga chanjo zake?
 
Wewe jamaa umelazimishwa na nani kuchoma chanjo?
Ukishawahi kufatea na mgambo uchome?
 
Una uhakika na hizi tuhuma ?
Ungeujua mchakato wa kupata chanjo usingeongea hivi, kwa kifupi ni kwamba una taarifa finyu sana juu ya zoezi zima la utoaji wa chanjo ya Covid hapa nchini.
Dada yangu tumbo moja baba mmoja kachanjwa kwa lazima baada ya kupeleka mtoto kliniki. Sina sababu ya kusema uwongo juu ya hili.
 
Ninaye rafiki yangu anayesoma China ambaye yupo huko takribani miaka 3 sasa. Nilipojaribu kumuuliza kuhusu namna serikali ya China inavyofanya kuhamasisha raia wake kuchanja chanjo ya Covid, au kuhakikisha kila raia wake amechanja ili kujikinga na corona.

Yule rafiki yangu ameniambia serikali ya China imetengeneza chanjo na kuiweka kwenye vituo vya Kutolea huduma alafu raia yeyote anayetaka kuchanja aende mwenyewe kwa hiyari yake.

Wala huwezi kukuta afisa au kiongozi wa serikali akisisitizia watu kuchanja. Alichoniambia ni kwamba mkazo mkubwa wamewekeza kwenye kinga. Inavyoonekana wamepuuza kwa kiasi mambo ya chanjo.

Sasa najiuliza huku ndiko corona ilikoanzia, wao wameendelea sana kiteknolojia kuliko sisi, iweje sisi tusisitize suala la chanjo kiwango cha kutaka kulazimishana wakati wazalisha chanjo hawajafikia huko?

Ni kwa nini tunajilazimisha kuchukua chanjo zao hali ya kuwa hata wenye chanjo wenyewe hawaziamini kiwango hiki?

Ni kwa nini serikali yetu inatumia nguvu kubwa sana, ukizingatia alinidokeza nesi mmoja kwamba wamepewa kila mtu kuchanja watu hamsini kwa siku?
Kuna vimrija humo watu wanafyonza
 
Back
Top Bottom