Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Labda waibe kuraUitishwe hata sasa hivi....Sugu anapigwa kweupeeeeee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda waibe kuraUitishwe hata sasa hivi....Sugu anapigwa kweupeeeeee
Bila CCM kuondoka mambo kama haya ni kawaida. Utamlamlaumu spika lakini kumbuka mbwa akiwa na tabia mbaya anayelaumiwa ni mwenye mbwa. Kwa upande mwingine nakubali viongozi wetu ni reflection yetu lakini kwani kina Samia wana kazi gani? Kazi ya rais ni ku-break visual cycle za ujinga kama hivi.Haya hivi sisi wananchi ,huyu Speaker anaetaka jimbo ligawanywe,kwanza anaweka mzigo kwa wananchi,hapo linaongezeka Shangingi jingine,mshahara wa mbunge,mafao 300M +
Hizo zingesaidia sana wananchi.Halafu jamani huko majimboni si kuna watendaji wengine? Huyu Speaker anaonyesha dharau, anapost video kama hiyo kweli?
Ni kweli... lakini ni lazima tupate pa kuanzia ili tuweze ku-break hii visual cycle, na viongozi wa ngazi za juu ndiyo wanatakiwa kuwa na maono ya kurekebisha... Opss kumbe hata wao waliingia kwa bahati mbayaHuwezi kuwa na jamii ya hovyo halafu ikazaa viongozi wazuri. Never
Sawa Mkuu.Hakuna jambo binafsi kwa mtumishi wa umma.
Kama unataka ubinafsi,usiwe mtumishi wa umma.
Nkwimba tuliza mshono. Mbeya hatutaki tena vurugu za kijingaSawa Masanja.
Eti..mtoto ukizungumza nae kitu uzima mtaelewana kweli?Sasa kama wanaleta utoto kwanini nae asilete utoto?
Kwamba sugu hayupo kwa ajili ya wananchi bali ni Tulia tu. Hana akiliKiufupi dada Tulia Sugu ana wewe hata uende kugombea kwenu Rungwe Sugu atakufata
Hatukumchagua alipitishwa na jiwe Baada ya kubaka uchaguziHaya hivi sisi wananchi ,huyu Speaker anaetaka jimbo ligawanywe,kwanza anaweka mzigo kwa wananchi,hapo linaongezeka Shangingi jingine,mshahara wa mbunge,mafao 300M +
Hizo zingesaidia sana wananchi.Halafu jamani huko majimboni si kuna watendaji wengine? Huyu Speaker anaonyesha dharau, anapost video kama hiyo kweli?
Sugu rais wa mbeyaSugu Kwa mbeya ajipange Sana aisee
Tanzania kuna wananchi?!!!ni misukule yao tu ndio maana wanafanya wanavyotaka tu.Na hapo kitaandaliwa kikundi cha MACHAWA,kutaka kuhararisha huo ujinga.Haya hivi sisi wananchi ,huyu Speaker anaetaka jimbo ligawanywe,kwanza anaweka mzigo kwa wananchi,hapo linaongezeka Shangingi jingine,mshahara wa mbunge,mafao 300M +
Hizo zingesaidia sana wananchi.Halafu jamani huko majimboni si kuna watendaji wengine? Huyu Speaker anaonyesha dharau, anapost video kama hiyo kweli?