Mrs Thabo Bester
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 3,145
- 7,921
Ana mtaji wa wajinga jinga na wwapumbavu..mara ngoma .ujinga mtupu..shenzi kweli kweliHii nchi hadi huruma, viongozi ni wabinafsi sana. Tulia hebu ongonza Mbeya ,eti jimbo kubwa wakati kila mara unafanya sherehe tu. Nimesikia kuna Tuliamarathon sijui. Jitahidi kujenga huduma kwa wananchi.
Wananchi wanahitaji maendeleo na si sherehe kila mara kwa sasa. Maendeleo kwanza, sherehe baadae.