carnage21
JF-Expert Member
- Jan 24, 2023
- 591
- 1,382
Kabisa,sugu hana nafasi huyoo[emoji2956][emoji2956]
Shwari kabisaaa....
Mbeya ilikuwa kama Khartoum vile....Mh.Tulia aendelee tu.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa,sugu hana nafasi huyoo[emoji2956][emoji2956]
Shwari kabisaaa....
Mbeya ilikuwa kama Khartoum vile....Mh.Tulia aendelee tu.....
Hakuna dharau aliyoionyesha.....Haya hivi sisi wananchi ,huyu Speaker anaetaka jimbo ligawanywe,kwanza anaweka mzigo kwa wananchi,hapo linaongezeka Shangingi jingine,mshahara wa mbunge,mafao 300M +.Hizo zingesaidia sana wananchi.Halafu jamani huko majimboni si kuna watendaji wengine ?Huyu Speaker anaonyesha dharau,anapost video kama hiyo kweli ?
Off coz huyu Madam brain yake ipo juu sana na uwenda is Soo powerful woman who is unseen... Kiufupi amemdharau akimkumbusha sisi ndio sisi na ....... Sisi so amefurahi... Well napitaHuyu ndo Speaker/Rais wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ila nimeamini viongozi wetu ndo reflection ya wananchi. Speaker yupo hivi, wananchi je?
Sugu mweupe tu kwa mh.Tulia....Kabisa,sugu hana nafasi huyoo
Aliyempa uspika huyu mama nadhani hakumjuaHuyu ndo Speaker/Rais wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ila nimeamini viongozi wetu ndo reflection ya wananchi. Speaker yupo hivi, wananchi je?
Huyu ndo Speaker/Rais wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ila nimeamini viongozi wetu ndo reflection ya wananchi. Speaker yupo hivi, wananchi je?
Huyu ndo Speaker/Rais wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ila nimeamini viongozi wetu ndo reflection ya wananchi. Speaker yupo hivi, wananchi je?
Sawa,ni social media yes.Ila speaker kupost dharau kama hiyo hapana kwa kweli.Nkwimba una yako tu.....
Hiyo ni SOCIAL MEDIA...kwa hiyo mh.Spika si binadamu wa kufanya naye matani ?!!!!
Mmmh msukuma una tabu wewe[emoji1787][emoji1787]
Mbona umechelewa sana kumjua , sisi wengine tumeamua kuheshimu jf tu , lakini tukifunguka humu itakuwa balaaHaya hivi sisi wananchi ,huyu Speaker anaetaka jimbo ligawanywe,kwanza anaweka mzigo kwa wananchi,hapo linaongezeka Shangingi jingine,mshahara wa mbunge,mafao 300M +.Hizo zingesaidia sana wananchi.Halafu jamani huko majimboni si kuna watendaji wengine ?Huyu Speaker anaonyesha dharau,anapost video kama hiyo kweli ?
Wewe huyo ni speaker,kila anachofanya tunamuangalia.Ni kiongozi huyo .Ni public figure.Ni kwanini umeamua kuhusianisha maisha binafsi ya mtu na kutaka kulifanya kama suala la umma? Account ya social media ni jambo lake binafsi. Kwahiyo anayofanya kwenye account yake ni jambo lake binafsi na si lazima liwe na maslahi kwa umma. Mkuu, kwani hiyo account imeandikwa' Tulia' au ' Spika wa Bunge?'
You're too stiff my dear.....Sawa,ni social media yes.Ila speaker kupost dharau kama hiyo hapana kwa kweli.
Mbeya Mjini uchaguzi ukiwa haki bin haki Tulia hata atembee uchi hashindi kwa kidume na anajua hivyo ndio maana Kesha Anza kulialiaUitishwe hata sasa hivi....Sugu anapigwa kweupeeeeee
Hana kiburi usemacho.....Tulia ni wale watu wenye kiburi. Ni wale viongozi ambao wanaona mtake msitake mtamfanya nini. Ukimsikiliza vizuri kuna muda kiburi chake kiko wazi wazi kwa sababu anajua hakuna wa kumfanya chochote. Nadhani ni video ya kumcheka sugu
Anatucheka wananchi ,maana hoja yake inalenga kuongeza mzigo kwa wananchi.Tulia ni wale watu wenye kiburi. Ni wale viongozi ambao wanaona mtake msitake mtamfanya nini. Ukimsikiliza vizuri kuna muda kiburi chake kiko wazi wazi kwa sababu anajua hakuna wa kumfanya chochote. Nadhani ni video ya kumcheka sugu
Acha kutisha na kuongopa Atupele.....[emoji1787][emoji1787]Mbona umechelewa sana kumjua , sisi wengine tumeamua kuheshimu jf tu , lakini tukifunguka humu itakuwa balaa