cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Tuko hovyo sana badala tupunguze gharama za uendeshaji na tuongeze budget ya maendeleo tulivo vilaza tunaongeza viongozi hewa wakushibisha matumbo yaoNi kuhakikisha viongozi wakubwa wanaendelea kuwa wabunge hata ikibidi kwa kuwaongezea mzigo wananchi kwa kugawa majimbo na kuongeza idadi ya wabunge