Alie jiposti status akiwa chini ya kifusi ameokolewa

Naomba picha ya Mwanamke kabeba hata msumeno pale kwenye kifusi anakata nondo watu watoke
Nisome tena, utanielewa. Nia ni kuwaokoa haijalishi nani amewaokoa. Tunachotaka ndugu zetu watoke wakiwa hai. Haya ya mwanamke na mwanaume baadaye, tukiwa kwenye furha kuwa wameokolewa. Kwasasa hapana huu ushindani, kuna watu vimewalamba huko, wanaunganisha wanawake wote.
 
Mimi naeleza ukweli wao walivo , na mawazo yao yalivo , usimuamini, mwanamke duniani hapa utaumia
Kuna kaukweli, maana hela zao hasa wafanyakazi waliioolewa sijui huwa zinaenda wapi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚. Maana kila kitu ni ME. Jambo zito hili πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
πŸ˜…kuna baadhi ya waanga wana Act kama ni sifa
 
Mdomo huo🀨
Wanawake wa sasa mmekua wajuaji sana na kuhisi kila kitu mnaonewa na viburi juu, hebu bakini kwenye uanamke wenu familia zinaharibika sababu kubwa ni ujuaji wenu na kudai dai haki mwisho wa siku mnaishia kuzurura mitaani
 
Bila shaka aliekoment hivyo atakua "proudly to be ....
 
Hahaha Wanawake weeee Wanawake waaaa haya nendeni mkabebe sululu pale kifusi kiishe sio kusubiria kulia wakati mambo mengine mnataka muende sawa na Wanaume
 
Maovu yaliletwa duniani na mwanamke bhana. Eve.
 
Yaani acha tu dear, nilisoma na nikarudia. Maana yake sikuipata. Ila Mwenyezi Mungu, hakukosea kutuumba.
vaeni mavazi yawapasayo. Binafsi mwanamke aliyevaa suruali huwa hanivutii hata kidogo!
na kusema "kuna suruali ya kike" maana yake ni sawa na kusema "gauni la kiume"

JESUS IS LORD &SAVIOR
 
Kweli ni laana,sasa anapiga picha anaonesha vidole viwili kama demu ndo maana yake nn
 
Kuna kaukweli, maana hela zao hasa wafanyakazi waliioolewa sijui huwa zinaenda wapi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚. Maana kila kitu ni ME. Jambo zito hili πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Acheni kugenelalize, kuna wanawake wengi wanatoa pesa kwa waume zao. Hela za wake zetu tunazila sana! Kikubwa usimuombe na asikuzidi uwezo. Lazima uishi nao kiakili.
 
Duh, tulitaka kupoteza mwananchi mwenzetu! Mungu awaokoe wote!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…