Labda tumshauri aende ICJ au awe ana jitangazia matokeo mapemaHuyo hakielewi kabisa
Kura zake hazijatosha anaona wivu anatafuta mabifu ya kijinga kabisa ili apate kiki baada ya kuona shoo ya jana haijapigiwa debe ma kuiga alivyosema hawezi fanya anafanya jukwaani siku hizi.
Lazima walimtema nahisi alidai viti vingi kama staa mkubwa Afrika sijuo duniani na kwa jina lake lilivuo dogo akapigwa chini.
Eheheheheeeeee pwilo peterchoka njoeni mumsikie jamaa yenu hukuuuu!!!maaaanineeeerrrrr alivyoshinda tuzo sita peke yake alihonga ili wenzie wasipate?!
sijapaniki kabisa.hahahahaha bloooooo naona kama umepanick hiviii kamu dauni kwanzaa
Raha sana kuwa team ushindi, piga keleleeeeeeeee Afrika nzima imezizima sahv kila kona ni Mondi bin Awards bado kodogo utamuona kwenye Guiness world record
Hiyo kali hadi mwanamke wake amempa maneno hayo duh
Kweli anatia aibu, lazima anajiuliza kwa huyu niliona nini mie kwa aibu hii.
Watu tulisemaga anapenda kutaguta bifu wengi wakasemaga ni mashabiki si mnaona sasa anachokifanya kashindwa kuvumilia halafu kesho ataanza kualalamika, hao wa Naija wakiona hiki watamfikiriaje anastaili kujitia aibu.
Wanamuziki wengi wanamaisha yao na pesa inaendelea kuimba wameacha kushindana na wengine yeye wivuuuuuuuu
Labda tumshauri aende ICJ au awe ana jitangazia matokeo mapema
Leo anatamani masaa yarudi nyuma hasiposti tena ushuuzi wake
Alafu sitaki kuamini kama Kiba ni hopeless kiasi . Ana video gani au ngoma gani?
Useless.
Tanzania amini msiamini huko nje Diamond anafanya fitina mbaya sana huyu jamaa, anazuiwa kwa connection zake na pesa uchwara zake anazuia ngoma za kiba zisipigwe huko mtv na soundcity na suala si geni, tuzo nazo ndio usiseme eti Nasema nawe ni wimbo bora wa mwaka ujinga ujinga tu
Ila baada ya kupost uzuzu wake huo cha moto amekiona, manake kala kichambooooo, cha mbwa mwitu, hapo alipo now anapumua kwa msaada ya diclofenac, BUT HONESTLY THIS GUY NEED A DOKTA, haiwezekani juzi tu hapa akijishauwe kuwa yeye na mziki wake wanathani kuliko tuzo, leo alalamikie kuhujumiwa, NO NO NO! THIS DUDE NEED A CHECKUP, labda lile vumbi lilikokuwa kwenye kiti limemuathiri ubongo on process ya kulifuta kwa namna flani.
Tanzania amini msiamini huko nje Diamond anafanya fitina mbaya sana huyu jamaa, anazuiwa kwa connection zake na pesa uchwara zake anazuia ngoma za kiba zisipigwe huko mtv na soundcity na suala si geni, tuzo nazo ndio usiseme eti Nasema nawe ni wimbo bora wa mwaka ujinga ujinga tu