Alikiba, Harmonize na Diamond meza moja Ikulu

Alikiba, Harmonize na Diamond meza moja Ikulu

Nahisi kuna ndugu zangu wamepiga shot isiyo muiclude Diamond Platnumz.

Ila ndugu yao Millard imebidi ampost leo kwa channel yake hamna jinsi.
 
Sizan kama kuna uingiliano kwenye kuvaa na kuwa na pesa unaweza kuwa na hela na usjue kuvaa kwaiyo tulia mkuu..nilicho kuwa namaaanisha kuhusu Ali n kwamba bwana Alli ni msanii mkubwa sana kuna time hatakiwi kujieka ivyo kawaida kawaida
Angalia mavazi ya wasanii wa mbele kina kanye west hasa wakiwa katika hafla kubwa kubwa

Mavazi sio kitu pekee kinacho mpa thamani mtu
 
Nasty C ni msouth Africa huyu mwenye breach
samahi kidogo sio Nigeria ni msouth
Naeto C ni mnajeria nayemzungumzia.Nadhan kaacha mziki maana babake ana hela kama kina davido au DJ cuppy.
Screenshot_20200712-151317_Google~2.jpeg
Screenshot_20200712-151831_Chrome~2.jpeg
 
Kwenye hiyo hafla nimegundua cream yote ya watu maarufu Tz wapo sisiemu. Mwananchi kama hujashiriki kuanzia juzi Dodoma hadi leo jua wewe ni hohehahe.
Hohehae wa nchi hii wataendelea kuwa hohehoe MILELE NA MILELE.

Na sasa taasisi na watu wanaojifanya wanajua KUWATETEA Tumewadhibiti KIKAMILIFU
 
Wanakuza Mambo
Hao Mbona Ni Watu Wenye Maelewano
Hii Ni Kama Ile Issue Ya Muongoza Njia, Jasiri Na Poul Makonda
[emoji3][emoji16]
awa watu kwa picha ya kawaida ninavyoona awana ushkaji wala uadui kwa sasa ila mwanzo walikuwa na migogoro asa kilichopo kila mtu anajikuta juu zaid ya mwenzie anaogopa kuanza shobo
 
Back
Top Bottom