Alikiba unapaswa kuomba RADHI Wakristo

Majitu kwa chuki? Alikiba alikua anauliza NYIE NI WAKRISTO KWELI? YAANI BADALA YA KUWA BIZE NA MSIBBA wao wapi bize kutandika maphotp koitu ambacho si ukristo
Mkuu hupo? Ni kitambo umepotea jamvin. Unazunguka tu kwenye kiti pupwe likikupuliza ofisini picha ya mama ikining'ia mbele yako ukutani kwa juu kidogo.

Ama bado huko mafia unavua Ngadu?
 
Kama mnakula mdudu si mle mpaka mlazimishe na sisi tule😂huoni kama mnatumia nguvu kula mauchafu yenu ?

Kwani mbona mnajishtukia waislamu wakina nan wakila mnadiss sana !?.
Lala wewee
 
HAWA WASWAHILI HAWAMJUI YESU KRISTO WANAMJUA ALA SHETANI WA KUZIM....!!!!!!!
 
Neno kafiri limeandikwa miaka 3000 kabla ya Kuanzishwa kwa UISLAMU na kuja MTUME MCHENZI......
Ndio maana nakuita kubwa jinga asili ya neno Kafiri ni kiarabu na lina maana yake Kilugha na Kisheria .Huwezi kuelewa maana na matumizi sahihi ya hilo neno kama haujui Kiarabu.
 
Ndio maana nakuita kubwa jinga asili ya neno Kafiri ni kiarabu na lina maana yake Kilugha na Kisheria .Huwezi kuelewa maana na matumizi sahihi ya hilo neno kama haujui Kiarabu.

Pole sana mgonjwa

Hujui kiswahili na kimetohoa maneno ya KIARABU?????
 
Endelea kuswali na Majini yako.

TAHIRAaaaa wewe mi nilisha kuona JINGA LAO... OOOO.... OOOO
 
Ebo ! Mimi nilidhani katukana.Kwani Ukiristo ni tusi ? Mimi nildhani ni sifa kuwa mkiristo na kupaswa kujivunia hilo.
 
Hiyo ni tafsiri yako wala neno Kafiri halimaanishi kama ulivyotafsiri wewe,
Kila kiumbe kina haki yake na riziki yake ndio maana Mungu huwapa riziki hata wale wasiomtii,

Nilijua tu usingeweka hapa bandiko nililokuambia coz hilo bandiko halipo.
 
Chifu Lumanyika sisi Wakristo wa kweli hatumaindi vitu vidogo vidogo kama hivyo.
 
Wewe una Matatizo binafsi Kama Sio una stress, Kwahiyo unaona Umemuadhibu?
Alikiba kakosea lakini hilo si jambo la kutilia maanani kias cha kukuumiza ubongo ni Fault ndogo ndogo sana hizo ukiweka Mahaba ya Udini Pembeni hiyo wala si issue ya Kujadili ni ya Kupuuza tu.
 
Acha Majungu, Aliwah kukukataa nini? Mnapenda wanaume mikia ya Mbwa ndo mjione wa thamani.
 
Umeandika kama mtu aliyepeleka akili zake likizo na kutembea na kiwiliwili tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…