Alikiba unapaswa kuomba RADHI Wakristo

Alikiba unapaswa kuomba RADHI Wakristo

Umeona ulivo msenge hata kusoma jina langu na kutambua dini hujui wew kweli madafu ya vinyeo yamekuharibu kichwa soon tutaingiza maji ya chumvi na mianzi
Sasa kwani hakuna muislamu anayeweza kutumia username ya kikristo.... Na mkristo akatumia username ya kiislamu... Hivyo ni vitu vya kawaida sana mitandaoni
 
Mbona kama ni mpuuzi fulani hivi aliyelewa sifa? Ukiwa staa ondoa mipaka ya dini yako maana utakuwa na mashabiki wa dini mbalimbali acha kutoa maneno ya kuudhi dhidi ya dini nyingine kwa kuwa huko pia una mashabiki. Kwanza hata kuonesha kujinasibisha zaidi na dini yako wakati una mashabiki wengi na wasio na dini ni ujuha. Labda wale specific artist kama waiba qaswida na injili wale wana mashabiki wa huko kwenye uinjili na ukaswida, hata hao wanaweza kuwa na mashabiki wasio wa dini yao. Mastaa waheshimu dini zote za mashabiki wao
Kwa nini vitu vidogo hivi mnachukulia serious namna hii?
 
Sasa Wife ni swali gani hilo unaniuliza... Kwanzia leo unatakiwa ibadirishe Jina uitwe "Mke Wa Chief Lumanyika"... hayo mambo ya kutumia majina ya wazungu achana nayo... Njoo uwe mke wa Chief hapa
Nakuja usiku huu ili nikupanue na ulivo na mnato ntakupiga hadi niitoe damu tena nikija nikukute umeinama kabisa
 
Nakuja usiku huu ili nikupanue na ulivo na mnato ntakupiga hadi niitoe damu tena nikija nikukute umeinama kabisa
Sasa Demu wangu unaleta kauli gani hizi... Mimi ndio natakiwa kukupachikia Tangu, nikukune hilo tako nyororo... Hili tako halijapakwa wese siku nyingi ndio maana unaleta makasiriko mitandaoni kutukana kwenye comment section
 
Toka lini ukadinda endelea kujiingiza sindano hizo na gololi
Umejuaje kama nina sindano kama uwa sikupachikii ukuni... Wewe ni mchumba tu, ukuni ni lazima upachikiwe hata kwa kubakwa
 
Siku za hivi karibuni kumetokea Msiba wa msanii wa kike wa Bongofleva Haitham. Na mazishi hayo yamefanyika jijini Dar es salaam na kuhudhuriwa na watu mashuhuri na wasanii mbalimbali na mmoja wao akiwa msanii Ali Kiba.

Wakati wa mazishi kuna kitendo ambacho kimetokea ambacho kimepeleka Ali Kiba kutoa kauli ambayo sio nzuri au inayoonekana kudharirisha Dini ya Wakristo. Mimi binafsi kama Chief Lumanyika nimechukia sana na kupelekea kwenda kwenye Account yake ya instagram na kumu-unfollow hili nisiwe naona post zake.

View: https://youtu.be/C3rMRxBCXRU?si=giuRLLh1MAzofSfh
Kitendo hicho cha kukashifu Dini ya Wakristo kimetokea ambapo kwenye Video watu wanaonekana wapo kwenye mazishi na hatua za kuzika mwili wa marehemu ambapo Ali Kiba aliona kama anarekodiwa na watu, ambapo akaonekana kustaajabishwa na kutoa kauli ya "Nyie ni wakristo?", Akiwauliza vijana ambao ndio walikuwa wakimrekodi Ali Kiba hapo msibani.

Kutumia neno "Nyie ni wakristo", ni Disrespect na ni kitendo cha kumaanisha kuwa Dini ya wakristo ndio ya wafanya uovu, au ya watu wasiofaa, au ya watu wa ovyo. Kwamba Wakristo sio watu wa kuheshimu Mazishi. Cha kushangaza Tanzania ni nchi yenye Dini nyingi wakiwemo wapagani, lakini kitendo cha yeye kusema moja kwa moja kuwa nyie ni wakristo bila ya kujua hao watu anaowauliza ni Dini gani ni kutokuheshimu Dini ya kikristo. Kwa sababu Tukio hilo lingeweza kufanywa na mtu yeyote hata ambaye ni Muislamu ambaye ni wa Dini yake, budha au mpagani.

Kauli hii ya Ali Kiba pia imezua hoja mitandaoni kupelekea watu kuchukizwa na Kauli hii, na moja ya account ambayo nimeona watu wamechukua ni kwenye Instagram page ya Bongotrending Habari.

Hakuna sehemu yoyote kwenye Dini ya wakristo wanaposema tuwarekodi watu kwenye mazishi au wakiwa msibani. Hivyo hata ikitokea mkristo anarekodi mazishi, basi hiyo ni hulka yake binafsi na haina uhusiano wowote na Dini ya kikristo.

Ali Kiba anapaswa kuomba Radhi au Wakristo tuanze kuzisusia nyimbo zake kama jinsi wasanii wa Marekani na nchi nyingine wanavyofanyiwa wakizingua. Mimi staki kumuona tena, nimefuta hata nyimbo zake.

Samahani sana, aijaliona tatizo tena hata sauti yake haiutoka kwa vibaya.

Mambo mengine yapo kichwani mwako tu. Pengine walifanya kitendo ambacho hakipo kwenye maadili ya maziko ya Kiislam. Taizo ni nini?

Sasa mimi nakuuliza, wewe Muislam?
 
Sasa Demu wangu unaleta kauli gani hizi... Mimi ndio natakiwa kukupachikia Tangu, nikukune hilo tako nyororo... Hili tako halijapakwa wese siku nyingi ndio maana unaleta makasiriko mitandaoni kutukana kwenye comment section
Nashukuru kwa miguno uliyonipatia na kiuno kunikatia, endelea bado natoa goli sasa hivi la 6 hili ***** naona unatoa mavi ngoja nikuachie pesa ya pampasi
 
Mpake mama yako
Sasa Demu wangu unaleta kauli gani hizi... Mimi ndio natakiwa kukupachikia Tangu, nikukune hilo tako nyororo... Hili tako halijapakwa wese siku nyingi ndio maana unaleta makasiriko mitandaoni kutukana kwenye comment section
 
Siku za hivi karibuni kumetokea Msiba wa msanii wa kike wa Bongofleva Haitham. Na mazishi hayo yamefanyika jijini Dar es salaam na kuhudhuriwa na watu mashuhuri na wasanii mbalimbali na mmoja wao akiwa msanii Ali Kiba.

Wakati wa mazishi kuna kitendo ambacho kimetokea ambacho kimepeleka Ali Kiba kutoa kauli ambayo sio nzuri au inayoonekana kudharirisha Dini ya Wakristo. Mimi binafsi kama Chief Lumanyika nimechukia sana na kupelekea kwenda kwenye Account yake ya instagram na kumu-unfollow hili nisiwe naona post zake.

View: https://youtu.be/C3rMRxBCXRU?si=giuRLLh1MAzofSfh
Kitendo hicho cha kukashifu Dini ya Wakristo kimetokea ambapo kwenye Video watu wanaonekana wapo kwenye mazishi na hatua za kuzika mwili wa marehemu ambapo Ali Kiba aliona kama anarekodiwa na watu, ambapo akaonekana kustaajabishwa na kutoa kauli ya "Nyie ni wakristo?", Akiwauliza vijana ambao ndio walikuwa wakimrekodi Ali Kiba hapo msibani.

Kutumia neno "Nyie ni wakristo", ni Disrespect na ni kitendo cha kumaanisha kuwa Dini ya wakristo ndio ya wafanya uovu, au ya watu wasiofaa, au ya watu wa ovyo. Kwamba Wakristo sio watu wa kuheshimu Mazishi. Cha kushangaza Tanzania ni nchi yenye Dini nyingi wakiwemo wapagani, lakini kitendo cha yeye kusema moja kwa moja kuwa nyie ni wakristo bila ya kujua hao watu anaowauliza ni Dini gani ni kutokuheshimu Dini ya kikristo. Kwa sababu Tukio hilo lingeweza kufanywa na mtu yeyote hata ambaye ni Muislamu ambaye ni wa Dini yake, budha au mpagani.

Kauli hii ya Ali Kiba pia imezua hoja mitandaoni kupelekea watu kuchukizwa na Kauli hii, na moja ya account ambayo nimeona watu wamechukua ni kwenye Instagram page ya Bongotrending Habari.

Hakuna sehemu yoyote kwenye Dini ya wakristo wanaposema tuwarekodi watu kwenye mazishi au wakiwa msibani. Hivyo hata ikitokea mkristo anarekodi mazishi, basi hiyo ni hulka yake binafsi na haina uhusiano wowote na Dini ya kikristo.

Ali Kiba anapaswa kuomba Radhi au Wakristo tuanze kuzisusia nyimbo zake kama jinsi wasanii wa Marekani na nchi nyingine wanavyofanyiwa wakizingua. Mimi staki kumuona tena, nimefuta hata nyimbo zake.

Mimi ni Mkristo 100% kutokea Dhehebu la Katoliki na mpaka sasa nafuta Kosa mnalomuandama nalo Msanii Ali Kiba sijaliona na sana sana tu naona Uswahili, Wivu, Chuki na Ushamba ndiyo Unawagharimu baadhi / wengi wenu Mnaomshambulia Kienyeji hapa
 
Mimi ni Mkristo 100% kutokea Dhehebu la Katoliki na mpaka sasa nafuta Kosa mnalomuandama nalo Msanii Ali Kiba sijaliona na sana sana tu naona Uswahili, Wivu, Chuki na Ushamba ndiyo Unawagharimu baadhi / wengi wenu Mnaomshambulia Kienyeji hapa
Hawana akili vijana wana wivu chuki na nyege
 
Samahani sana, eijqli9na tatizo tenanhata sauti yake haiiut9ka kwa vibaya.

Mambo mengine yapo kichwani mwako tu. Pengine walifanya kitendo ambacho hakipo kwenye maadili ya maziko ya Kiislam. Taizo ni nini?

Sasa mimi nakuuliza, wewe Muislam?
Kwanza paragraph yako ya kwanza maneno hayaeleweki sijui ni Kifaransa au kikongo...

Hiyo paragraph ya pili naomba kujibu kama ifuatavyo: ukisikiliza hiyo kauli vizuri Ali Kiba anasema "Nyinyi wakristo nyinyi?" Anaonekana anawashutumu kwa kuwaita Wakristo kwa kuuliza kutokana na kitendo walichofanya... Sasa swali ni kuwa kwa nini atumie neno wakristo kuonya kitendo au kuhamaki kitendo kinachofanywa na hao vijana hila hali hajui Dini zao halisi ni zipi, kumbuka aliyefariki ni muislamu, lakini yeye hakutaka kujua kama hao ni waislamu wenzake bali akafocus na kuwa ni wakristo... Vile vile Dini ambazo zinazoweza kupiga video msibani ni nyingi hata waislamu wenyewe wameonekana mara kadhaa wakichukua video msibani,. Mbona hakutaka kuuliza kwa ujumla kuwa "Nyinyi ni Dini gani" kwa nini anyooke moja kwa moja kwa wakristo kama vile ni Dini ya watenda maovu
 
Kwa hiyo huo ndiyo ukristo?
Huyo jamaa kanijia kwa matusi, siwezi kumremba... Nimeamua kuishi naye kibingwa... Hata kama mimi ni mkristo siwezi kukubali kutukanwa kizembe
 
Nashukuru kwa miguno uliyonipatia na kiuno kunikatia, endelea bado natoa goli sasa hivi la 6 hili ***** naona unatoa mavi ngoja nikuachie pesa ya pampasi
Bado unabweka tu Mama yoyooo.... Basi ngoja nikupakie Mkongo nikufirimbe vizuri icho kidonda cha makalioni... Mke unatakiwa uwe submissive kwa mume wako, lasivyo Mkongo utakuhusu kila siku mpaka makalio yachubuke
 
Majitu kwa chuki? Alikiba alikua anauliza NYIE NI WAKRISTO KWELI? YAANI BADALA YA KUWA BIZE NA MSIBBA wao wapi bize kutandika maphotp koitu ambacho si ukristo
Wewe unasikia vizuri kweli au ndio unamtetea mvaa makobozi mwenzio
 
Hii isikuzwe sana na wala sio kitu mbaya hajatukana kauliza
Kosa ni kuuliza kwa kutolea mfano Dini ya wakristo... Kwa wataalamu wa lugha ya kiswahili, namna alivyouliza swali ni kumaanisha Wakristo ndio uwa hawaheshimu mazishi
 
Back
Top Bottom