Alikiba unapaswa kuomba RADHI Wakristo

ili iwe fundisho na onyo kwa mastaa wengine wenye mashabiki mchanganyiko wa dini mbalimbali wasithubuti kataja taja dini fulani wasiyoiabudu katika mukhtadha usioeleweka
Kabisa aisee umenena vyema... Mastaa wasitaje Dini za watu zisizokuwa zao hovyo
 
Write your reply...OSMAN TAMTHLIA NINI KIKO NYUMA YAKE?ILE TAMTHLIA IPO KWAJILI YA KUITUKANA UKRISTO NAKUITA MAKAFIRI.AZAM WANA AGENDA YAO NYUMA YA TAMTHLIA ZILE ZA KITURUKI
 
Write your reply...OSMAN TAMTHLIA NINI KIKO NYUMA YAKE?ILE TAMTHLIA IPO KWAJILI YA KUITUKANA UKRISTO NAKUITA MAKAFIRI.AZAM WANA AGENDA YAO NYUMA YA TAMTHLIA ZILE ZA KITURUKI
Basi ndio maana hata hawa wanapata wavaa kanzu wameanza kejeli kwa ukristo
 
Vaa pampasi unanuka kwanza 😁
Najua mimba ndio inakusumbua... Wanawake mkishapataga mimba mnaanza maudhi madogo madogo mara kutaka radi iliyochemshwa mara kutaka mawingu yaliyokaangwa mara kutuambia waume zenu tunanuka
 
Najua mimba ndio inakusumbua... Wanawake mkishapataga mimba mnaanza maudhi madogo madogo mara kutaka radi iliyochemshwa mara kutaka mawingu yaliyokaangwa mara kutuambia waume zenu tunanuka
Acha kujieleza juma lokole mie nishakwambia vaa pampasi au unataka nikufukue tena au unataka ya alikiba akakuingize range msenge wew
 
Kwa nini vitu vidogo hivi mnachukulia serious namna hii?
ukiwa star kauli zako huwa very sensitive, na inabidi upate elimu ya kuongea kulingana eneo ulipo na aina ya watu unaongea nao. Kauli yako ina athari chanya au hasi. Pia namna ya kuvaa nako ni vilevile kama kuongea
 
Mleta mada ni Ile aina ya watu wanaojisifu kuwa wasomi na huita waislamu km watu wa Elimu ya madrasa ...amesukumwa na mihemko nongwa ,chuki na hasadi tu.
 
acheni kurekodi watu misibani na kwenye ajali huo.sio uungwana
 
Kuwa maarufu haimaanishi ujinga unaondoka kichwani. Kumbuka huyo ni zero brain tu. Hana elimu, hana la maana zaidi ya kuimba mambo ya kikafir ambayo ata dini yake haitaki. Ni sawa mi niseme waislam ndio wanaongoza kwa uchafuzi wa maadili nchini. Angalia wasanii, watu maarufu wengi ni dini gani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…