Alikufa tar 24/7 na alizaliwa tar 24/7 na zote zikiwa ni Ijumaa

Duu poleni 24/7 tarehe yangu ya kuzaliwa kuna Uzi mmoja nlikua namtafuta pacha wangu kumbe kashatangulia mbele ya haki
 
Weee bidada lile jukwaa uloniad cjaiona mpk leo nifah

Sasa hivi upepo upo siasani mwaya, subiri uchaguzi ukishaisha ndio tutatafutana kwenye yale 'mambo' yetu na nitakuelewesha vizuri hilo swali lako.
 
Last edited by a moderator:
pole sana...

ila kuna "unproven theory" about days za kuzaliwa na days za kufa...miezi na siku zinakuwa na tabia za kushabihiana...
 
Manaake hatorudi tena.na wewe jiandae ife mikononi.mwa Yesu
 

Marehemu alikuwa anakupa unabii ! Fungua Kanisa upige hela !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…