Lovelovie
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 12,582
- 26,053
Kupenda penda ovyo utakuja kupenda majini 🤨Nimekupenda bure😂😂😂😂Nakufananisha na Winnie mandela.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kupenda penda ovyo utakuja kupenda majini 🤨Nimekupenda bure😂😂😂😂Nakufananisha na Winnie mandela.
"Dini ina matokeo mabaya sana ikikolea vichwani/kichwani mwa mpumbavu" ~ anonymousHv yule mzee ana mtoto wa miaka 14 atuozeshe kwanza.Au alikua anaongea tu kufurahisha umati???
Wewe ni mtu katika watu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 umetishaKumbe
Ila huyu mzee sio mjinga,kuna ujumbe alikua anawafikishia walengwa."Dini ina matokeo mabaya sana ikikolea vichwani/kichwani mwa mpumbavu" ~ anonymous
Ndo hao tunawataka tuwapige shoo mpaka mtupeleke ukweli katikati ya bahari na pete za bahati mtutunuku.Kupenda penda ovyo utakuja kupenda majini 🤨
Sio kupenda unakofikiri wewe ?????Nimeoenda majibu yako ya kibabe katika dhaania ila sio katika uhalisia.Kupenda penda ovyo utakuja kupenda majini 🤨
Possibly! Huenda ni kibaraka au ni back to back method ya kupambana na UCHOKO mapema. Ni kuozesha watoto mapema tuIla huyu mzee sio mjinga,kuna ujumbe alikua anawafikishia walengwa.
Majini yapo kwa umughaka😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣Ameyatumia mpaka kapata ushindi JF.Ndo hao tunawataka tuwapige shoo mpaka mtupeleke ukweli katikati ya bahari na pete za bahati mtutunuku.
Kuna jamaa alipata zali demu jini akawa anampiga shoo za kibabe mpaka mrembo akadata akamuhonga mwamba pete, akiomba chochote kupitia hiyo pete kinakuja. Mwamba life ilinyooka sana!
Kuna ujumbe alikua anafikisha vise versa kwa waumini wenzakePossibly! Huenda ni kibaraka au ni back to back method ya kupambana na UCHOKO mapema. Ni kuozesha watoto mapema tu
FactMtu Kama huna hisia nae mwambie s kupotezeana muda
Ooh polee sanaa loveMim ninajua kuheshimu rfk zangu sana..
Yeye hakuonyesha heshima.
Kale ka-kijana ka pale lumumba kanakojiita "SIMBA WA BAHARI" kalikojenga pale pembezoni mwa jengo la CCM makao makuu, umoja wa vijana naye wanamsifu anamiliki hao viumbe ndomana jeuri ila dawa yake inachemka. Akitoboa miaka saba (7) mungu mkubwa na akayachinjie majini yake ngamia.Majini yapo kwa umughaka😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣Ameyatumia mpaka kapata ushindi JF.
Njoo Sinza kumekucha plazaNaaaum nina shibe yako hapa natembea nayo. Nielekeze dukani niilete 😀 😀 😀 😀 😀
Unamsema kaka mwarabu😂😂😂🤣🤣🤣 mzee wa kukwepa kod.....!!!! ukaribu wake na ommy dimpoz watu wanautilia mashaka mkuu.Kale ka-kijana ka pale lumumba kanakojiita "SIMBA WA BAHARI" kalikojenga pale pembezoni mwa jengo la CCM makao makuu, umoja wa vijana naye wanamsifu anamiliki hao viumbe ndomana jeuri ila dawa yake inachemka. Akitoboa miaka saba (7) mungu mkubwa na akayachinjie majini yake ngamia.
Kanaonea watu na kuwaletea jeuri na ufala kisa kanamiliki majini na familia yake pia kanadai hakuna wa kuwafanya kitu sirikali hii 😊
Mfikishieni ujumbe wenye short-video clip ya hatua ya mwisho ya maisha ya JFK wa marekani kamanda.
Nyie ndo wenye kale kaduka kanaitwa "NAVITA" ?!😊Njoo Sinza kumekucha plaza
Namzungumzia yule mdogo wake jeuri ana kovu pembezoni mwa uso ana kakampuni hewa kanaitwa "SIMBA WA BAHARI" a.k.a "bahari iliyo kimya" (geuza kwa kizungu hiyo)U
Unamsema kaka mwarabu😂😂😂🤣🤣🤣 mzee wa kukwepa kod.....!!!! ukaribu wake na ommy dimpoz watu wanautilia mashaka mkuu.
Hapana sioNyie ndo wenye kale kaduka kanaitwa "NAVITA" ?!😊
Ndio huyo huyo kitaani tunamwita kaka mwarabu mzee wa kudhulumu mali za watu😂😂😂Namzungumzia yule mdogo wake jeuri ana kovu pembezoni mwa uso ana kakampuni hewa kanaitwa "SIMBA WA BAHARI" a.k.a "bahari iliyo kimya" (geuza kwa kizungu hiyo)
Mmiliki amefanya investment kubwa sana hapo ila bahati mbaya hakuna output... watu wanapanga fremu miezi sita wanakimbia. Jengo kubwa lakini pako empty! Atleast hiyo bar hapo ndo inachangamsha.Hapana sio