Alikuja kwangu, akataka tufanye mapenzi, sikuwa tayari alikasirika sana

Alikuja kwangu, akataka tufanye mapenzi, sikuwa tayari alikasirika sana

Kupenda penda ovyo utakuja kupenda majini 🤨
Ndo hao tunawataka tuwapige shoo mpaka mtupeleke ukweli katikati ya bahari na pete za bahati mtutunuku.

Kuna jamaa alipata zali demu jini akawa anampiga shoo za kibabe mpaka mrembo akadata akamuhonga mwamba pete, akiomba chochote kupitia hiyo pete kinakuja. Mwamba life ilinyooka sana!
 
Ndo hao tunawataka tuwapige shoo mpaka mtupeleke ukweli katikati ya bahari na pete za bahati mtutunuku.

Kuna jamaa alipata zali demu jini akawa anampiga shoo za kibabe mpaka mrembo akadata akamuhonga mwamba pete, akiomba chochote kupitia hiyo pete kinakuja. Mwamba life ilinyooka sana!
Majini yapo kwa umughaka😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣Ameyatumia mpaka kapata ushindi JF.
 
Majini yapo kwa umughaka😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣Ameyatumia mpaka kapata ushindi JF.
Kale ka-kijana ka pale lumumba kanakojiita "SIMBA WA BAHARI" kalikojenga pale pembezoni mwa jengo la CCM makao makuu, umoja wa vijana naye wanamsifu anamiliki hao viumbe ndomana jeuri ila dawa yake inachemka. Akitoboa miaka saba (7) mungu mkubwa na akayachinjie majini yake ngamia.

Kanaonea watu na kuwaletea jeuri na ufala kisa kanamiliki majini na familia yake pia kanadai hakuna wa kuwafanya kitu sirikali hii 😊

Mfikishieni ujumbe wenye short-video clip ya hatua ya mwisho ya maisha ya JFK wa marekani kamanda.
 
U
Kale ka-kijana ka pale lumumba kanakojiita "SIMBA WA BAHARI" kalikojenga pale pembezoni mwa jengo la CCM makao makuu, umoja wa vijana naye wanamsifu anamiliki hao viumbe ndomana jeuri ila dawa yake inachemka. Akitoboa miaka saba (7) mungu mkubwa na akayachinjie majini yake ngamia.

Kanaonea watu na kuwaletea jeuri na ufala kisa kanamiliki majini na familia yake pia kanadai hakuna wa kuwafanya kitu sirikali hii 😊

Mfikishieni ujumbe wenye short-video clip ya hatua ya mwisho ya maisha ya JFK wa marekani kamanda.
Unamsema kaka mwarabu😂😂😂🤣🤣🤣 mzee wa kukwepa kod.....!!!! ukaribu wake na ommy dimpoz watu wanautilia mashaka mkuu.
 
U

Unamsema kaka mwarabu😂😂😂🤣🤣🤣 mzee wa kukwepa kod.....!!!! ukaribu wake na ommy dimpoz watu wanautilia mashaka mkuu.
Namzungumzia yule mdogo wake jeuri ana kovu pembezoni mwa uso ana kakampuni hewa kanaitwa "SIMBA WA BAHARI" a.k.a "bahari iliyo kimya" (geuza kwa kizungu hiyo)
 
Back
Top Bottom