Mlimuulizia Mbowe,Lissu na wengine na wakawepo.Mkamtaka na Pambalu?🤣🤣🤣Ni jambo la kushangaza na kustua kidogo kuona chama kikuu cha upinzani kinàandaa maandamano ambayo wahudhuriaji wakubwa ni vijana lakini hatukuona mwenyekiti wa taifa wa baraza la vijana John Pambalu akijiusisha kwa lolote kuanzia kwenye hamasa mpaka ushiriki.
Chadema kuna shida kubwa sana.
Polisi waligeuka kuwa wafuasi na waliwakilisha vizuri sana, kwenye pande zote za jijiIlikuwa ni aibu kubwa sana kwa chama kukosa wafuasi wa kuandamana.
pambalu alishaga wekwa ndani wakampumulia kisogoni mahabusu sugu hajaribu tena anapaogopa kama ukomaNi jambo la kushangaza na kustua kidogo kuona chama kikuu cha upinzani kinàandaa maandamano ambayo wahudhuriaji wakubwa ni vijana lakini hatukuona mwenyekiti wa taifa wa baraza la vijana John Pambalu akijiusisha kwa lolote kuanzia kwenye hamasa mpaka ushiriki.
Chadema kuna shida kubwa sana.
muda mrefu wame mpididyDuh mwenyekiti wa bavicha amefanyiwa michezo ya pdidy?
Kwa tunao mfahamu dogo john , ni kijana kutoka humble background sio mtu wa vurugu tangu akiwa IHUNGO BOYS HIGH SCHOOL.Ni jambo la kushangaza na kustua kidogo kuona chama kikuu cha upinzani kinàandaa maandamano ambayo wahudhuriaji wakubwa ni vijana lakini hatukuona mwenyekiti wa taifa wa baraza la vijana John Pambalu akijiusisha kwa lolote kuanzia kwenye hamasa mpaka ushiriki.
Chadema kuna shida kubwa sana.
Akili za yuvisissiem bhana ni uchafu sana,uwa hamna hoja zaidi ya kuchafuana tuDuh mwenyekiti wa bavicha amefanyiwa michezo ya pdidy?
pambalu alishaga wekwa ndani wakampumulia kisogoni mahabusu sugu hajaribu tena anapaogopa kama ukoma
Mwandikie barua ya kumuuliza hayo maswali.Nadhani atakujibu.Pambalu alikuwa wapi?
Nae aliogopa polisi?
Polisi sio watu?Maandamano yalikosa watu. Chadema kimeingia kwenye aibu ya mwaka.
kama mwenyekiti wenu na blenda ya shiloleDuh mwenyekiti wa bavicha amefanyiwa michezo ya pdidy?
Pambalu ni mwenyekiti wa vijana Taifa. Kwa nini kakimbia maandamano?Mlimuulizia Mbowe,Lissu na wengine na wakawepo.Mkamtaka na Pambalu?🤣🤣🤣