Alikuwa wapi kiongozi wa BAVICHA taifa, John Pambalu wakati wa maandamano?

Alikuwa wapi kiongozi wa BAVICHA taifa, John Pambalu wakati wa maandamano?

Ni jambo la kushangaza na kustua kidogo kuona chama kikuu cha upinzani kinàandaa maandamano ambayo wahudhuriaji wakubwa ni vijana lakini hatukuona mwenyekiti wa taifa wa baraza la vijana John Pambalu akijiusisha kwa lolote kuanzia kwenye hamasa mpaka ushiriki.

Chadema kuna shida kubwa sana.
Ww ulikuwa wapi? maana yalikuwa ni maandanao ya wananchi wote.
 
Alikua nyuma ya keyboard amelala kwao anaandika mtandaoni " Leo hadi kieleweke samia Must Go"
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
1:Mdude
2😛ambalu
3:sativa
4:maria
5:Martin maranja
Akili za kuambiwa changanya na Zako
 
H
Ni jambo la kushangaza na kustua kidogo kuona chama kikuu cha upinzani kinàandaa maandamano ambayo wahudhuriaji wakubwa ni vijana lakini hatukuona mwenyekiti wa taifa wa baraza la vijana John Pambalu akijiusisha kwa lolote kuanzia kwenye hamasa mpaka ushiriki.

Chadema kuna shida kubwa sana.
Huyu ni Erythrocyte alijificha uvunguni mwa kitanda cha Mbowe.
 
Pambalu ni mwenyekiti wa vijana Taifa. Kwa nini kakimbia maandamano?

Bora yeye mnyika anasema muda wa maandamano alikuwa kwenye ibada kanisani analiombea taifa 😂😂
Hata hunu JF alikimbia, hakuna chama hapo.
 
Back
Top Bottom