Alilaumiwa Magufuli kuhusu Maded: Leo Samia afukuza Kazi maded walioruhusu Kadi za CCM kurudishwa

Alilaumiwa Magufuli kuhusu Maded: Leo Samia afukuza Kazi maded walioruhusu Kadi za CCM kurudishwa

Fortilo

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2012
Posts
5,807
Reaction score
17,416
Najiuliza wajibu wa MA DED na DC ni kulazimisha wanachama kubaki CCM?

Chadema mliingia kwenye Maridhiano kichwa kichwa, haya lazima yawatokee puani 2025 kama ilivyokuwa 2020.

Bila kukomaa na Katiba mpya msahau uchaguzi huru na haki.
 

Attachments

  • VID-20230827-WA0021.mp4
    636.6 KB
Najiuliza wajibu wa MA DED na DC ni kulazimisha wanachama kubaki CCM?

Chadema mliingia kwenye Maridhiano kichwa kichwa, haya lazima yawatokee puani 2025 kama ilivyokuwa 2020.

Bila kukomaa na Katiba mpya msahau uchaguzi huru na haki.
Mama anajali sana Kadi za CCM.

Huu ni ujumbe kwa MaDC na DEDs na DASs uchaguzi ujao wasimwangushe.
 
Mwajiri wa serikali ni CCM na mwajiri wa watumishi wa Umma ni Serikali hivyo ni sawa na kusema mwajiri wa watumishi wa Umma ni CCM.
 
Najiuliza wajibu wa MA DED na DC ni kulazimisha wanachama kubaki CCM?

Chadema mliingia kwenye Maridhiano kichwa kichwa, haya lazima yawatokee puani 2025 kama ilivyokuwa 2020.

Bila kukomaa na Katiba mpya msahau uchaguzi huru na haki.
Muda ni mwalimu mzuri tusubiri tuone mwaka kesho uchaguzi wa Serikali za mitaa.
Haya ni maandalizi ya 2025 wapinzani watakaopita ni wale wanaunga mkono muda wote.
 
Hoja ya mama ni kuechepusha maendeleo kwa jina la chama(upinzani), mama kaonyesha a real resilience. Msipende kushabikia yasio na weledi kwani Tanzania ni ya wote sio ya ccm.
Ile tabia ya usipoichagua ccm hampata maendeleo mama kaizika leo mchana kweupee kama mzalendo wa kweli mpe mama maua yake please. Chuki za ufukweni usilete hadi nchi kavu kwa kuona kila kitu kinachotokana na yeye ni kibaya
 
Hoja ya mama ni kuechepusha maendeleo kwa jina la chama(upinzani), mama kaonyesha a real resilience. Msipende kushabikia yasio na weledi kwani Tanzania ni ya wote sio ya ccm.
Ile tabia ya usipoichagua ccm hampata maendeleo mama kaizika leo mchana kweupee kama mzalendo wa kweli mpe mama maua yake please. Chuki za ufukweni usilete hadi nchi kavu kwa kuona kila kitu kinachotokana na yeye ni kibaya
Umeelewa kinachozungumzwa mkuu?

Chuki gani? Kwanini tumchukie Rais wetu.

Suala la watu kurudisha kadi za CCM kwani limeanza leo?

Suala la kupanga miradi kwa upendeleo limeanza leo?

Sasa hiyo hofu ya kurudisha kadi za chama ipoje ba inatoka wapi?
 
Nilishawahi kusema humu ,mama anadhani Tanzania ni Arusha,Mwanza na Kilimanjaro.

Amefikisha safari zaidi ya 12 kutembelea hiyo mikoa wakati Lindi na Mtwara hajawhi kugusa hata siku Moja
 
Anywas.....
Hapo alikua anaongea kama President ama Chair..??
 
Na hao wanao timuliwa, wapo hapo ili kukitumikia chama ama kuitumikia serikali..??
 
Wewe mfuasi wa chama cha Mbowe acha kupotosha. Ukitazama video nzima kilichomkera mama ni DED na DC kuchepusha miradi na kwenda kuipeleka sehemu iliyokuwa haijakusudiwa ili kuwakomoa wananchi wa eneo hilo wanaosemakana wengi wao ni wapinzani. DED na DC walidhani watamfurahisha mama kumbe mama hataki huo ufala wa enzi za mwendakuzimu...

Kasema CCM na wapinzani wote ni watanzania na miradi ipelekwe sehemu iliyokusudiwa na sio kuchepushwa. Wanaorudisha kadi za chama ni wanaCCM walio na hasira baada ya miradi iliyokuwa ipelekwe maeneo yao kuchepushwa. Leo mama kaweka alama ambayo haitakaa ifutike. Kasema hata kama eneo zima lina Wafuasi wa Mbowe mradi upelekwe bila kuchepushwa. 2025 mama atabeba kura zote za upinzani na za CCM.
 
Najiuliza wajibu wa MA DED na DC ni kulazimisha wanachama kubaki CCM?

Chadema mliingia kwenye Maridhiano kichwa kichwa, haya lazima yawatokee puani 2025 kama ilivyokuwa 2020.

Bila kukomaa na Katiba mpya msahau uchaguzi huru na haki.
Hawakutimiza wajibu wao, wa kuwatumikia wananchi bila ubaguzi.
Hizo ni kesi mbili tofauti
 
Na raia wanapo rudisha kadi za chama, ndio inamzuia DED na DAS kusimamia miradi ya maendeleo...??
 
Umeelewa kinachozungumzwa mkuu?

Chuki gani? Kwanini tumchukie Rais wetu.

Suala la watu kurudisha kadi za CCM kwani limeanza leo?

Suala la kupanga miradi kwa upendeleo limeanza leo?

Sasa hiyo hofu ya kurudisha kadi za chama ipoje ba inatoka wapi?
 
Back
Top Bottom