Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Apambane na wanaomzunguka jikoni kwake hao maDED na DCs wako masafa huko wanayajulia wapi ya bandari, Ngorongoro na mikataba ya kihuni wanayotengeneza ili kujilimbikizia utajiriAnakwambia hawezi kustahamili kadi kurudishwa huku anaimba R4 sijui Resilience... hawa watu wamechoka.