Alilaumiwa Magufuli kuhusu Maded: Leo Samia afukuza Kazi maded walioruhusu Kadi za CCM kurudishwa

Alilaumiwa Magufuli kuhusu Maded: Leo Samia afukuza Kazi maded walioruhusu Kadi za CCM kurudishwa

Wewe mfuasi wa chama cha Mbowe acha kupotosha. Ukitazama video nzima kilichomkera mama ni DED na DC kuchepusha miradi na kwenda kuipeleka sehemu iliyokuwa haijakusudiwa ili kuwakomoa wananchi wa eneo hilo wanaosemakana wengi wao ni wapinzani. DED na DC walidhani watamfurahisha mama kumbe mama hataki huo ufala wa enzi za mwendakuzimu...

Kasema CCM na wapinzani wote ni watanzania na miradi ipelekwe sehemu iliyokusudiwa na sio kuchepushwa. Wanaorudisha kadi za chama ni wanaCCM walio na hasira baada ya miradi iliyokuwa ipelekwe maeneo yao kuchepushwa. Leo mama kaweka alama ambayo haitakaa ifutike. Kasema hata kama eneo zima lina Wafuasi wa Mbowe mradi upelekwe bila kuchepushwa. 2025 mama atabeba kura zote za upinzani na za CCM.

Safi sana. Umeeleweka Chief
 
Najiuliza wajibu wa MA DED na DC ni kulazimisha wanachama kubaki CCM?

Chadema mliingia kwenye Maridhiano kichwa kichwa, haya lazima yawatokee puani 2025 kama ilivyokuwa 2020.

Bila kukomaa na Katiba mpya msahau uchaguzi huru na haki.

Mods huu ni upotoshaji. Rais alikerwa na maamuzi ya DC na DED kutopeleka mradi eneo moja kwa madai kuwa wananchi wa eneo hilo ni wapinzani.
 
Najiuliza wajibu wa MA DED na DC ni kulazimisha wanachama kubaki CCM?

Chadema mliingia kwenye Maridhiano kichwa kichwa, haya lazima yawatokee puani 2025 kama ilivyokuwa 2020.

Bila kukomaa na Katiba mpya msahau uchaguzi huru na haki.
Maana yake hawatimizi wajibu wao vizuri na hivyo wananchi kuichukia serikali na chama tawala hadi kufikia hatua ya kurudisha kadi.
 
Mleta mada umekata hicho kipande "out of contents", mbona hukuanzia kwenye "syndicate" alipomnyanyua mkuu wa mkoa wa Mtwara?

Pia hukuona alipokemea kuwa wananchi wameshindwa kusikilizwa na kuhudumiwa huko? Mbona hujasema kwanini katimuliwa? wamehamisha miradi? "wamepeleka kwenye haja ndogo wamewacha kwenye haja kubwa". Hilo limekuwa gumu kwako kulisema?


View: https://www.youtube.com/live/3wNvApj1UUo?si=oY41JTlqFc2Pbxq6
 
Mleta mada umekata hicho kipande "out of contents", mbona hukuanzia kwenye "syndicate" alipomnyanyua mkuu wa mkoa wa Mtwara?

Pia hukuona alipokemea kuwa wananchi wameshindwa kusikilizwa na kuhudumiwa huko? Mbona hujasema kwanini katimuliwa? wamehamisha miradi? "wamepeleka kwenye haja ndogo wamewacha kwenye haja kubwa". Hilo limekuwa gumu kwako kulisema?


View: https://www.youtube.com/live/3wNvApj1UUo?si=oY41JTlqFc2Pbxq6

Suala la Kurudisha Kadi ni kweli au si kwel?
Je wamefukuzwa kwa utendaji mbovu au wananchi kurudisha kadi za CCM( kwa mujibu kwa clip)?
 
Kweli kabisa, sababu za kurudisha kadi ni nini? Hujazisikia?

Kuna watu wanaomba kazi serikalini ili wakajijenge wao badala ya wananchi. Kumbuka hilo.
Sawa,

Lakini kwani watumishi wa Umma ni wafanyakazi wa CCM?

Ambao hawana kadi wanarudisha nini?
 
Umeelewa kinachozungumzwa mkuu?

Chuki gani? Kwanini tumchukie Rais wetu.

Suala la watu kurudisha kadi za CCM kwani limeanza leo?

Suala la kupanga miradi kwa upendeleo limeanza leo?

Sasa hiyo hofu ya kurudisha kadi za chama ipoje ba inatoka wapi?
Acha kupotosha wewe. Cha muhimu jua mama atashinda kwa kishindo 2025. Huenda akapata kura kwa 99%
 
Wewe mfuasi wa chama cha Mbowe acha kupotosha. Ukitazama video nzima kilichomkera mama ni DED na DC kuchepusha miradi na kwenda kuipeleka sehemu iliyokuwa haijakusudiwa ili kuwakomoa wananchi wa eneo hilo wanaosemakana wengi wao ni wapinzani. DED na DC walidhani watamfurahisha mama kumbe mama hataki huo ufala wa enzi za mwendakuzimu...

Kasema CCM na wapinzani wote ni watanzania na miradi ipelekwe sehemu iliyokusudiwa na sio kuchepushwa. Wanaorudisha kadi za chama ni wanaCCM walio na hasira baada ya miradi iliyokuwa ipelekwe maeneo yao kuchepushwa. Leo mama kaweka alama ambayo haitakaa ifutike. Kasema hata kama eneo zima lina Wafuasi wa Mbowe mradi upelekwe bila kuchepushwa. 2025 mama atabeba kura zote za upinzani na za CCM.
Umenena ukweli kabisa mkuu
 
Wateule wa rais wanaishi kama digi digi yani muda wowote mtu unatimuliwa, hawana amani ya moyo mana hawana uhakika wa kesho yao kwenye kazi. Heri yetu sisi ambao hatuna hizo kazi lakini tuna amani ya moyo.
 
Najiuliza wajibu wa MA DED na DC ni kulazimisha wanachama kubaki CCM?

Chadema mliingia kwenye Maridhiano kichwa kichwa, haya lazima yawatokee puani 2025 kama ilivyokuwa 2020.

Bila kukomaa na Katiba mpya msahau uchaguzi huru na haki.
Waraka wa TEC
 
Watumbuliwe kabsa,wameshindwa kukilinda chama ,nakutangaza miradi mbalimbali iliyotekelezwa na Raisi kupitia chama chamapinduzi
 
Hoja ya mama ni kuechepusha maendeleo kwa jina la chama(upinzani), mama kaonyesha a real resilience. Msipende kushabikia yasio na weledi kwani Tanzania ni ya wote sio ya ccm.
Ile tabia ya usipoichagua ccm hampata maendeleo mama kaizika leo mchana kweupee kama mzalendo wa kweli mpe mama maua yake please. Chuki za ufukweni usilete hadi nchi kavu kwa kuona kila kitu kinachotokana na yeye ni kibaya
Wewe na yeye wote mnauelewa mfinyu sana.... Pumbavu
 
Wewe mfuasi wa chama cha Mbowe acha kupotosha. Ukitazama video nzima kilichomkera mama ni DED na DC kuchepusha miradi na kwenda kuipeleka sehemu iliyokuwa haijakusudiwa ili kuwakomoa wananchi wa eneo hilo wanaosemakana wengi wao ni wapinzani. DED na DC walidhani watamfurahisha mama kumbe mama hataki huo ufala wa enzi za mwendakuzimu...

Kasema CCM na wapinzani wote ni watanzania na miradi ipelekwe sehemu iliyokusudiwa na sio kuchepushwa. Wanaorudisha kadi za chama ni wanaCCM walio na hasira baada ya miradi iliyokuwa ipelekwe maeneo yao kuchepushwa. Leo mama kaweka alama ambayo haitakaa ifutike. Kasema hata kama eneo zima lina Wafuasi wa Mbowe mradi upelekwe bila kuchepushwa. 2025 mama atabeba kura zote za upinzani na za CCM.
Fact
 
Tusikae kimya sasa kusubiri miaka 10 ijayo Rais wetu aandike Kitabu cha kujutia kuingia mkataba huu mbovu wa Bandari, tumkosoe mapema ili akija kuandika kitabu hicho aseme nilishauriwa ila nilikataa Ushauri"-Baba Paroko wetu leo 27/08/2023
 
Back
Top Bottom