Hoja ya mama ni kuechepusha maendeleo kwa jina la chama(upinzani), mama kaonyesha a real resilience. Msipende kushabikia yasio na weledi kwani Tanzania ni ya wote sio ya ccm.
Ile tabia ya usipoichagua ccm hampata maendeleo mama kaizika leo mchana kweupee kama mzalendo wa kweli mpe mama maua yake please. Chuki za ufukweni usilete hadi nchi kavu kwa kuona kila kitu kinachotokana na yeye ni kibaya