KabisaMimi naona umefanya jambo sahihi kabisa kwa kuwa huyo mwanamke hujamzushia ni kweli kaingiza mwanaume ndani......
Hao wanaosema hayakuhusu achana nao na ndio hao hao wanaleta nyuzi humu kulalamikia wanawake zao.....
Kumhudumia mwanamke ni jambo kubwa sana linalotaka heshima.....kumleta mwanaume sehemu unayolala na mwanaume wako ni dharau za kiwango kikubwa
Hata kama unaonekana mbeya haina shida lakini umemuokoa mwanaume mwenzio kwenye dhahama..........
Kama na yeye alidiriki kufanya yasiyo mhusu ili kukuharibia basi na wewe umefanya jambo la maana......
Yeye katumia umalaya wako kukuachanisha na mpenzi wako na wewe ukatumia umalaya wake kumuachanisha......
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatari na nusuHio uliompiga huyo kizabizabina wa Kiiraki ndio ile inaitwa "MWANA UKOME".
Kama ushawahi kucheza video game ya Mortal Kombat, kipengele cha Mwisho baada ya kumshinda mpinzani wako kuna kipengele kinaitwa "FATALITY" hapo unamsambaratisha pande nne zote za dunia[emoji23].
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alimpata kigamboni baada ya kumaliza chuo, sasa amerudi mbwinde kule ambako wanachuo wanaogopwa, tofautisha mazingira, mazingira ndio yalimuwezesha kupata huyo mwarabu pamoja kujiweka sawa maana boom lilimsaidia kupata viwalo, anaenda kijijini hana ajira ujue akipata mafuta ya nazi ya kupata anamshukuru Mungu, lazima apauke na hapo inategemeana na kijiji, vijiji vingine hata maji ni ya shida hata kuoga, wanaoga kwa bajeti, atawapata wachunga ng'ombe huko
ππππKigamboni to mbweni kweli umbeya unawasha sana teena usiku.
Mtakatwa hivyo vidude siku moja nyiee endeleeni tuππHili ndo la msingi! Ukifumaniwa na demu wako hakikisha mchepuko unakua salama salimini!
Bora unikate shingo aisee maana ikikatwa maisha hayana maana tenaMtakatwa hivyo vidude siku moja nyiee endeleeni tuππ
πππππMlinzi kaacha lindo kwa Elfu 30 π,chakushangaza Kaenda kulekule kwa bosi wake.
Ongeza Gahawa βοΈβοΈβοΈβοΈ
Kwahiyo bora kutetea mchepuko kuliko mpenzi wako,. Hii naona haijakaa sawa, Hiyo siku nitamkata nyegere zake haki ya naniπ€π€Bora unikate shingo aisee maana ikikatwa maisha hayana maana tena
Hapo lengo sio kuonesha nani ni bora zaidi na anafaaa kutetewa, nachomaanisha ni namna ya kumtetea huyo mdada asidhurike Wala kuumizwa Kwa namna yeyote!Kwahiyo bora kutetea mchepuko kuliko mpenzi wako,. Hii naona haijakaa sawa, Hiyo siku nitamkata nyegere zake haki ya naniπ€π€
Duuh,. Means mpaka umeleta mwanamke mwingine ndani umuhofii mpenzi wako ( shortly humpendi )Hapo lengo sio kuonesha nani ni bora zaidi na anafaaa kutetewa, nachomaanisha ni namna ya kumtetea huyo mdada asidhurike Wala kuumizwa Kwa namna yeyote!