Dr Restart
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 4,949
- 24,046
Kaongopewa na yeye kaongopa na kususa pia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] eti anamkomoa demu..Watoto wa mboga sana bwana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuchomeshwa mahindi kawaida sana kwa mwanaume, wewe una element za ukike.
Tabia za kususa ni za kike mkuu, huyu jamaa sijui vipi asee
Labda jamaa hakumuelewa manzi??? Mimi ishawai nitokea hii kipindi icho dem mmama hivi sio mkali kiivo kajitongozesha, nikasema sio kesi si nyapu ya bure tumeenda wewe... lakini kila linapokoja suala zima la kunibariki yanaanza matukio. Hadi nikawa najiuliza madem ninao huyu mama kwanini anisumbue?? Nikatemana nae hajawai acha kunitafuta 😅 😅. Hapo manzi alivyomfuata ndio alizingua.Sasa yeye kupigwa katukio kadoooogoo tuu anakasirika na kususa mazima?🤣🤣
Mama J in mission...huchomoki 🤣🤣🤣🤣MTOA MADA KUNA KITU HUJAKIJUA KHS WANAWAKE
a) Wanawake ni naturally born masters of manipulation,
b) Wanawake Ni naturally born emotional intelligence officers.
c) wanawake Ni naturally born masters of playing mind games
Namaanisha nn,
Wanawake Wanajua vizur jins ya kuchekecha akili zetu ili tuingie kwny mfumo wao wanaotaka, watucontroll na kutimiza malengo yao either ya kiuchumi,kimapenz n.k
Huyo mwanamke wako Ni manipulative in nature, anapenda sana michezo ya kucheza akili na attention ya mwanaume.
Kiuhalisia,
Ukiingia kwny mfumo wake Kama una roho nyepesi hutoboi nakuapia, atakutesa Sana kihisia maana anaenjoy kuona unataabika kwa ajili yake.
Ntalifafanua hili kutokana na mazingira ya Uzi wako ulivotiririka,
1. Binti keshafanya intelligence ya kutosha na kajua unapenda mazoezi, ka-time Muda muafaka mzur mtakaokutana na kweli mmekutana kwny viunga ulivyoelezea.
2. Akavaa kimazoezi kukutamanisha akijua kabisa wanaume ni dhaifu kwa mavazi yale, Tunatamani kwanza,mapenz huja baadae.
3. Cha haraka haraka akakuletea havar za mbususu kijanja akijua kabisa wanaume tuna udhaifu wa mbususu za burebure, akakutamanisha ili uingie kwny mfumo.
4. Ulipoingia kwny mfumo,
akafanya kusudi kukuzingua uku mkiendelea na mawasiliano ili uumie na kila saa umuwazie yeye, ukiwa na matumain ya kupewa siku nyngn
5. Siku nyngn tena akakunyima kusudi ili uzidi kukaa ukimuwazia yet Ili mapenz yako kwake yazidi kukolea
6. Alipoona umemblock, akajua ile mbinu yake haijatick, anapaswa kurudi square one. Apo ndipo alipokuja kwako ili mwende ukamchakate.
7. Umemzingua ukamfungia vioo,
Amejua kabisa umekasirika na ulipania sana, hajaacha kukutafuta Wala hatokoma kukutafuta nakwambia mkuu.
Caution:
[emoji117]Huyu Binti Yuko ktk misheni maalum,
[emoji117]Kama sio mapenz kakupenda anatafuta gia muanzishe mahusiano
[emoji117]Basi Atakua katumwa(Honeypot trap)
HUYU BINTI HATA UKIINGIA NAE KWNY MAHUSIANO, USISEME ULIMTONGOZA.
yeye ndo kakutongoza Wewe, maana anajua vzr kucheza na akili yako back&forth.
My take:
Never under estimate power of woman in mission, mwanamke akiamua Jambo lake huchomoki, otherwise uwe jasusi Kama yy au zaidi yake [emoji1431]
Wanaume wa Jf ni wanafki balaa wapo tayari kukana jinsia zao ilimradi tu wajipendekeze kwa Wanawake humu. I kiss no frog...Nikikupenda nakupenda kweli ila sitakuruhus unichezee kishisiaThey will call you all names they feel suits you perfectly, but in reality this is how things should be.
[emoji123]
Wala sina uwezo wa kufanya jambo la kumuumiza kimwili mtu. Ila Never lie to me... nachukia uongo kulikoMwenyezi Mungu akujalie partner sahihi utakapoamua kutulia
Maana watu Kama wewe hamchelewagi kufanya maamuzi machungu kwa wengine
I counted on people like you...to be hereWewe ni mjinga. Mpumbavu na mpuuzi. Ulishindwa kumuuliza kwanini hakutokea hiyo siku ya kwanza? Kama alipata emergency? Nyie ndo huwa mnakuja kujinyonga kwa sababu ya misimamo ya kipuuzi kwenye mapenzi. Mjinga kabisa. Na upuuzi wako unajidhihirisha pale unapoleta screenshots za mazungumzo private kati yako na mtu mwingine na kuziweka public. Idiot
Mkuu kwangu mimi haiwezekani siendeshwi na hisia ndio maana alivyonizingua last year nikampotezea. Mwaka huu kajaa nimefanikisha. Siwezi kuumizwa hisia na mwanamke I'm Alpha maleMTOA MADA KUNA KITU HUJAKIJUA KHS WANAWAKE
a) Wanawake ni naturally born masters of manipulation,
b) Wanawake Ni naturally born emotional intelligence officers.
c) wanawake Ni naturally born masters of playing mind games
Namaanisha nn,
Wanawake Wanajua vizur jins ya kuchekecha akili zetu ili tuingie kwny mfumo wao wanaotaka, watucontroll na kutimiza malengo yao either ya kiuchumi,kimapenz n.k
Huyo mwanamke wako Ni manipulative in nature, anapenda sana michezo ya kucheza akili na attention ya mwanaume.
Kiuhalisia,
Ukiingia kwny mfumo wake Kama una roho nyepesi hutoboi nakuapia, atakutesa Sana kihisia maana anaenjoy kuona unataabika kwa ajili yake.
Ntalifafanua hili kutokana na mazingira ya Uzi wako ulivotiririka,
1. Binti keshafanya intelligence ya kutosha na kajua unapenda mazoezi, ka-time Muda muafaka mzur mtakaokutana na kweli mmekutana kwny viunga ulivyoelezea.
2. Akavaa kimazoezi kukutamanisha akijua kabisa wanaume ni dhaifu kwa mavazi yale, Tunatamani kwanza,mapenz huja baadae.
3. Cha haraka haraka akakuletea havar za mbususu kijanja akijua kabisa wanaume tuna udhaifu wa mbususu za burebure, akakutamanisha ili uingie kwny mfumo.
4. Ulipoingia kwny mfumo,
akafanya kusudi kukuzingua uku mkiendelea na mawasiliano ili uumie na kila saa umuwazie yeye, ukiwa na matumain ya kupewa siku nyngn
5. Siku nyngn tena akakunyima kusudi ili uzidi kukaa ukimuwazia yet Ili mapenz yako kwake yazidi kukolea
6. Alipoona umemblock, akajua ile mbinu yake haijatick, anapaswa kurudi square one. Apo ndipo alipokuja kwako ili mwende ukamchakate.
7. Umemzingua ukamfungia vioo,
Amejua kabisa umekasirika na ulipania sana, hajaacha kukutafuta Wala hatokoma kukutafuta nakwambia mkuu.
Caution:
[emoji117]Huyu Binti Yuko ktk misheni maalum,
[emoji117]Kama sio mapenz kakupenda anatafuta gia muanzishe mahusiano
[emoji117]Basi Atakua katumwa(Honeypot trap)
HUYU BINTI HATA UKIINGIA NAE KWNY MAHUSIANO, USISEME ULIMTONGOZA.
yeye ndo kakutongoza Wewe, maana anajua vzr kucheza na akili yako back&forth.
My take:
Never under estimate power of woman in mission, mwanamke akiamua Jambo lake huchomoki, otherwise uwe jasusi Kama yy au zaidi yake [emoji1431]
Mkuu kwangu mimi haiwezekani siendeshwi na hisia ndio maana alivyonizingua last year nikampotezea. Mwaka huu kajaa nimefanikisha. Siwezi kuumizwa hisia na mwanamke I'm Alpha male
Mwanaume hakutakiwa kuteseka kisa mapenzi, kutokujitambua na upumbavu ndio kunawafanya kuwa hivyo
By default wanadamu tulipoumbwa kila jinsia ilipewa majukumu yake, jukumu la viumbe wenye jinsia ya kiume (wanaume) wameumbwa kutawala jinisia ya kike (kike) katika kila Nyanja na jinsia ya kike imeumbwa kutawaliwa na jinisa me. Sio maneno yangu bali ni maneno ya vitabu vyote vya dini Quran na...www.jamiiforums.com
Mkuu mimi naudhaifu wa kutaka Ukweli tu. Yaani mtu akinidanganya hata kitu kidogo hua nasikia kuchanganyikiwa maana mimi ni mtu mmoja muelewa sana na nisie mind. Just niambie tu kwamba hiki haiwezekani nitaelewa haijalishi ni jambo kubwa namna gani . I'll just reply Sawa haina shida..Ukiwa hivyo usioe kabisa