Alinifanyia kiburi nikamuonyesha ujeuri. The rest is history

Aisee!.

I could't have hold such far. Kuambiwa tu njoo, abdalla kichwa wazi kashatuna. Mwili unawasha.

Mzunguko wa damu ni wa haraka sana. Dakika tatu tu nimeshafika.

Tunatofautiana sana aisee.

I can ignore a woman but not to what is related to pus..sy.
 
Tabia za kususa ni za kike mkuu, huyu jamaa sijui vipi asee
Sasa yeye kupigwa katukio kadoooogoo tuu anakasirika na kususa mazima?🤣🤣
Labda jamaa hakumuelewa manzi??? Mimi ishawai nitokea hii kipindi icho dem mmama hivi sio mkali kiivo kajitongozesha, nikasema sio kesi si nyapu ya bure tumeenda wewe... lakini kila linapokoja suala zima la kunibariki yanaanza matukio. Hadi nikawa najiuliza madem ninao huyu mama kwanini anisumbue?? Nikatemana nae hajawai acha kunitafuta 😅 😅. Hapo manzi alivyomfuata ndio alizingua.
 
Mama J in mission...huchomoki 🤣🤣🤣🤣
 
They will call you all names they feel suits you perfectly, but in reality this is how things should be.

[emoji123]
Wanaume wa Jf ni wanafki balaa wapo tayari kukana jinsia zao ilimradi tu wajipendekeze kwa Wanawake humu. I kiss no frog...Nikikupenda nakupenda kweli ila sitakuruhus unichezee kishisia
 
Wewe ni mjinga. Mpumbavu na mpuuzi. Ulishindwa kumuuliza kwanini hakutokea hiyo siku ya kwanza? Kama alipata emergency? Nyie ndo huwa mnakuja kujinyonga kwa sababu ya misimamo ya kipuuzi kwenye mapenzi. Mjinga kabisa. Na upuuzi wako unajidhihirisha pale unapoleta screenshots za mazungumzo private kati yako na mtu mwingine na kuziweka public. Idiot
 
I counted on people like you...to be here
Huo ni msimamo wangu! Acha kujifabya mtakatifu humu wakati unayako mabaya kibao.
 
Mkuu kwangu mimi haiwezekani siendeshwi na hisia ndio maana alivyonizingua last year nikampotezea. Mwaka huu kajaa nimefanikisha. Siwezi kuumizwa hisia na mwanamke I'm Alpha male
 

Ukiwa hivyo usioe kabisa
 
Watu tunaisotea mbunye hadi miaka 5 na tunavumilia wewe masaa tu umesusa dunia hii ina maajabu yake
 
Ukiwa hivyo usioe kabisa
Mkuu mimi naudhaifu wa kutaka Ukweli tu. Yaani mtu akinidanganya hata kitu kidogo hua nasikia kuchanganyikiwa maana mimi ni mtu mmoja muelewa sana na nisie mind. Just niambie tu kwamba hiki haiwezekani nitaelewa haijalishi ni jambo kubwa namna gani . I'll just reply Sawa haina shida..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…