Alinifanyia kiburi nikamuonyesha ujeuri. The rest is history

Nakubaliana na wewe.

Ila sasa umesema mnakaa ushuani lakini huo mwandiko wa

1. Mungo
2. Kimia

🤣🤣
 
Nothing new in this story....hupendi kudanganywa kwani wewe ni nani? So far so good unasumbuliwa na utoto. Kwa misimamo.hiyo utalia sana.
Dunia ya sasa haipendi watu wafuatao.
1. Wapole sana
2. Wenye misimamo sana

Nature will deal with you very fast.
 
Wakati huo kuna manzi niliiombaga mtunyenye enzi hizo tunafuata mafundisho ya ubatizo ikanitoa nje lakini dhamira ilikua bado ipo, ikapita miaka ikaolewa nikakuta ina watoto kama 5 ilibidi niiombe ikakubali nikapiga tu bila tatizo usisusie chakula sio tabia nzuri
 
Wanaume wa Jf ni wanafki balaa wapo tayari kukana jinsia zao ilimradi tu wajipendekeze kwa Wanawake humu. I kiss no frog...Nikikupenda nakupenda kweli ila sitakuruhus unichezee kishisia
I tip my hat for you, one legend to another.
 
"perfidious malcontent" google wakanambia "do you mean......."
 
Interesting...

How old are you?..
Kama hupendi kuongopewa na wanawake..utaweza ndoa kweli?
Wanawake na uongo ni samaki na maji...
K siku hizi zimeshuka thamani haki ya mungu! Enzi hizo tunaita bidhaa adimu, huyu jamaa asingeliona paja la mwanamke! Hawa wanawake walitulaza Milango wazi na Mbu kututafuna unamsubiri na haji, kesho yake anakucheka lakini mwanaume hukati tamaa hadi uipate K yake!
 
Heshima kwako. Haswaa wanawake wa leo. Unamwambia wakat exposure anayo ameipata from ur fellow high level men. Tatiz la men ambalo ni la kimaumbile cant settle in Feelings. Vikilipuka vimelipuka. [emoji13]No shame no caring no what.
 
Wanaume wa Jf ni wanafki balaa wapo tayari kukana jinsia zao ilimradi tu wajipendekeze kwa Wanawake humu. I kiss no frog...Nikikupenda nakupenda kweli ila sitakuruhus unichezee kishisia
Sahii kabisa,
Michezo ya hisia Ni yakipuuz Sana
Ndo chanzo Cha maumivu kwny mahusiano
Akishakupenda udhaifu wako anakuchezea km toy
 
Wala sina uwezo wa kufanya jambo la kumuumiza kimwili mtu. Ila Never lie to me... nachukia uongo kuliko
Kila binadamu ana philosophy yake na outstand inayosimama kama identity yake haswa men.

Hakuna kosa lolote ulilofanya hapo. Kuna mazingira yanamfanya mtu azoee hali fulani mfano kupotezewa muda kudanganywa kuzungushwa kwa kuwa hana njia ya kujitetea. So kama Mungu amekujalia hali njema kwann usumbuke?

Ndio mana kuna migahawa ya mtaani ya MacDonald ama hotels nyota tofauti ukiorder kitu kisha kikachelewa saa nzima utaona sawa?
 
Kam umemgonga uyo mwanamke,
Hapo hamna ujanja wowote umefanya,
Yeye ndio lilikua Lengo lake hilo umgonge,
Ni sawa kupiga bomu mochwari ujisifie umeua,umeonesha udhaifu Sana.

Mwanaume mwenye misimamo haendeshwi na nyege, unasusa, afu eti baadae unakula ndo nn sasa?

Ukiamua kususa, Susa Moja kwa moja kieleweke[emoji4]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…