Mahakama sio wajinga.Na kuna child support kasikia kuwa kipato cha tyrese kimeongezeka naye kaenda mahakamani anataka aongezewe child support kutoja dollar 15000 sijui hadi juu huko yani kwa mtoto mmoja tu
Hata bongo talaka zinatuumiza vile vile.US mwanaume kuomba talaka ni sawa kukubali kufilisika, talaka za US sio bongo. Tajiri wa Amazon talaka yake na mkewe imemtoka USD bil 40,hapo bado anatoa Allomony na Child Support na ndio maana Bil Gates,Jeff Benzos,Elon musk hutokuja kusikia wakioa tena baada kuachana wake zao,kwani talaka zimewapukutisha hela nyingi, sema tu wao wanavyanzo vingi vya fedha ila swala kuoa tena vichwani mwao hamna, japo sasa hivi wanatoka vibinti vigori.
Talaka US huwezi fananisha na bongo,kwani huwaga inamwacha mwanaume katika hali mbaya ya kiuchumi. Wanaume wanaombaga talaka ni wale wanaodate na wanawake wenye hali nzuri kifedha,sababu wanajua hawana cha kupoteza,kama Merry J,Britney nk hawa nao wanaume zao wamepiga hela kupitia talaka.
Kibamia cha wengine sio mm. Above 7 inch utawezana na shughuli hii..?Ukiona ni bwawa jua una kibamia
Sio rahisi kihivyo🤣🤣🤣,kwa usawa huu wa kulengana na manati,......Kinachonishangaza huku mtaani wanaume hawapo hivi ambavyo mnajitutumua jf
Ada za chuo zinalipwa, tunatumiwa hadi hela "hii mpe mama" na bado mtu analilia kukuoa☺️🙌
😁😁😁 umejirudi eeh..? Bamia wanazo ila kina sie Muumba alijua kutupa AK47 za kupiga kama ISRAEL vileJikite kwenye mada
Alinionya "nisiwapende wanawake wa kizazi hiki" lakini sikusikiliza
Tumeamua, geisha inatosha mkuu🤣. Mmekuwa changamoto sana kwenye maisha ya wanaume.Ifike sasa conclusion kila asietaka mwanamke kamatia mauzinde wako mmoja kamatia coca wako mmoja tulia....hamna haja ya mipasho daily.
Hata sisi tumewachoka mno bro......Tumeamua, geisha inatosha mkuu🤣. Mmekuwa changamoto sana kwenye maisha ya wanaume.
Sasa mkitufukuza ni nani anaweza kufanya ile shughuli unaipenda kuliko zote 🤣🤣wewe ndio wa kwanza kulia..Hata sisi tumewachoka mno bro......
Nyie sijui mmetokea wapi kwanza, sie Mungu alituumbia viongozi watuongoze, sasa kiongozi gani ni kilizi kama nini sijui....hatutaki kuongozwa na watu wanajilizaliza hadi kwikwi 😹😹 kidogo tu kilio, waone vichwa vyao
Dildo, tango, super vibrator hii unapata orgasm baada ya dakika 30+ achana na orgasm zenu za yanga za dakika mbili.....Sasa mkitufukuza ni nani anaweza kufanya ile shughuli unaipenda kuliko zote 🤣🤣wewe ndio wa kwanza kulia..
Sio kweli hata kidogo, kuna tofauti kubwa kati ya nyama ya asili na nyama za kina Elon Musk. Ile mikono ya kibabe ikipapasa na kuminya lazima upande Sekenke na giant ndogo🤣🤣Dildo, tango, super vibrator hii unapata orgasm baada ya dakika 30+ achana na orgasm zenu za yanga za dakika mbili.....
Ila tuna vifua hatuliilii kama nyie 😹
Ni hiviiii vibrator inawazidi utamu.....kwahiyo mkae kimya msituchoshe na vilio vyenu 🤣Sio kweli hata kidogo, kuna tofauti kubwa kati ya nyama ya asili na nyama za kina Elon Musk. Ile mikono ya kibabe ikipapasa na kuminya lazima upande Sekenke na giant ndogo🤣🤣
Sisi tunalia humu, ila kwa real life wala.
Chungu ni siku katika mwezi wa ramadhani,umedanganya tenaDuh umekimbia fasta sana mkuu toka Zanzibar mpaka Marekani ni umbali mrefu sanaa.
Mimi nimezungumzia hawa niliowataja.
Sio uongo,ni ukweli kwa 100%
Wao wanaita chungu.
Utawasikia wakiulizana "Chungu cha ngapii"
Endelea kusubiri hizo nyakati bado saaana yani bado tuna jeuriNakusubirini P.M 😊
Xi Jinping hii story inaelekea nzuri sana. Hii ilikua kabla jamaa hajaanza kuigiza Fast n Furious au after?
Duh naelewa hivyo kipindi cha mfungo huwa twahesabu hivyo ila sasa hapa huwa wanamaanisha anampikia bwana wa ngapii,basi mkuu nakubali mimi ni mwongo ila ndo nipo hukuChungu ni siku katika mwezi wa ramadhani,umedanganya tena