Alinionya "nisiwapende wanawake wa kizazi hiki" lakini sikusikiliza

Alinionya "nisiwapende wanawake wa kizazi hiki" lakini sikusikiliza

aya ya mwisho inaonesha namna gani mwanamke huyo asivyo na akili. 50 alijionea kwa baby mama wake wa kwanza. Mwanamke alitaka pesa ambazo ni nyingi sana. Mwamba akachomoa na kutoa kiasi pungufu ya ile alikua anatoa mwanzo. Mpaka kesho mwanae wa kwanza hana mahusiano na 50. Kisa mama mtu. Na 50 alimwambia hela za child support zikiisha watanitafuta. Na kweli dogo alianza kumtafuta 50 na kubeef na babake. Mwamba hakutaka shida tia block.
wazee wa kataa ndoa zingine point 3 hizi dronedrake
Halafu wana ushetani mwingine wanawake.
Wanapenda sana kujaza watoto sumu waonekane wao bora kwa watoto halafu kina baba wabaya.
Unakuta baba umepambana umemtunza mtoto na umemsomesha mtoto hadi amekua lakini mama anamjaza sumu babaako hajakufanyia lolote na hakujali.Watoto wanafuata kile mama alichosema na kum despise mzee na kumtenga mzee.
😂😂Aiseeee wanangu wasije wakafanya hivi maana wana baba shetani zaidi.
 
Halafu wana ushetani mwingine wanawake.
Wanapenda sana kujaza watoto sumu waonekane wao bora kwa watoto halafu kina baba wabaya.
Unakuta baba umepambana umemtunza mtoto na umemsomesha mtoto hadi amekua lakini mama anamjaza sumu babaako hajakufanyia lolote na hakujali.Watoto wanafuata kile mama alichosema na kum despise mzee na kumtenga mzee.
😂😂Aiseeee wanangu wasije wakafanya hivi maana wana baba shetani zaidi.
Pesa zenu ni zetuuu😂
 
Halafu wana ushetani mwingine wanawake.
Wanapenda sana kujaza watoto sumu waonekane wao bora kwa watoto halafu kina baba wabaya.
Unakuta baba umepambana umemtunza mtoto na umemsomesha mtoto hadi amekua lakini mama anamjaza sumu babaako hajakufanyia lolote na hakujali.Watoto wanafuata kile mama alichosema na kum despise mzee na kumtenga mzee.
😂😂Aiseeee wanangu wasije wakafanya hivi maana wana baba shetani zaidi.
Sana mkuu. Dogo kajazwa ujinga na mamake now anajuta maana baba hajamwandika kwenye mali zake mwamba anamweka mwanae mwingine mbele ya kila mishe zake
 
Mie wala sina shida pesa kitu gani banaa!?
Ila usithubutu kunifanyia ujambazi au kunijazia watoto sumu wanione baba yao mbaya,aisee itawakumba adhabu jumuishi kiasi wewe mwanamke utajuta kwanini nilipata bwana huyu na watoto watajuta kwanini wamepata baba mimi.
Muhimu umekubali miamala unatuma
 
Sana mkuu. Dogo kajazwa ujinga na mamake now anajuta maana baba hajamwandika kwenye mali zake mwamba anamweka mwanae mwingine mbele ya kila mishe zake
Wanawake wajinga sana.
Hii niliona kwa mamakwe wangu wa kwanza,aisee alimjaza chuki mkewangu juu ya baba yake.
Ila nilipokuja kupata the true story aisee yule mama ni nyoka.
Yani alimjaza mwanae sumu za uongo kujisafisha aonekane msafi lawama zirudi kwa baba mtu.
Bahati nzuri Mungu sio hamdala kiuno,alimuumbua vibaya yule mama.
 
Wanawake wajinga sana.
Hii niliona kwa mamakwe wangu wa kwanza,aisee alimjaza chuki mkewangu juu ya baba yake.
Ila nilipokuja kupata the true story aisee yule mama ni nyoka.
Yani alimjaza mwanae sumu za uongo kujisafisha aonekane msafi lawama zirudi kwa baba mtu.
Bahati nzuri Mungu sio hamdala kiuno,alimuumbua vibaya yule mama.
Tupe kisa mkuu
 
Back
Top Bottom