Alinionya "nisiwapende wanawake wa kizazi hiki" lakini sikusikiliza

Alinionya "nisiwapende wanawake wa kizazi hiki" lakini sikusikiliza

Aaah taaddab dada,lini nimeanzisha uzi wa kuwasakama wadada!?
Na mleta mada hajaleta mada ya kusakama bali anaeleza ukweli.
Wanawake mnazingua sana aisee.
Tena wengi wenu naweza sema mnajiuza kijanja.
Yani mwanaume akiwa na hela mna take advantage.
Embu chukulia kesi ya Achraf Hakimi ambayo mkewe alidai talaka.
Hakukuwa na concrete reason ya kudai talaka na Hakimi hakumkosea mkewe lolote,ila kwasababu sheria inasema mkitalikiana mali hugawanywa pasu kwa pasu ikaamuriwa hivyo.
Ila bahati mbaya Achraf mali kaandika jina la bimkubwa.
Acheni ujambazi kwa kujificha kichaka cha ndoa.
Wanawake wa sasa majambazi.
Na dawa yenu tutawashenyenta futa hizo na mali hampati.
How many women in the world are doing that? Kwa nini mnatujumuisha wanawake WOTE kwenye tabia mbaya za mtu mmoja mmoja? Ndiyo maana nikasema do you have Bibi, Mama, Shangazi, Mke, Dada, Binti?
 
50 cent alikuwa Hana akili 😃
Ukitaka kuwa mume inabid uwe na akili na maandiko yamesema hivo
Sisi waislam sheria ya kwanza ni utii kama mke hakutii wewe mwanaume ndio tatizo
Ulishindwa Kuishi na mwanamke wewe mwanaume ndio unashida
Kina bill gate. Kina Dr Dre, Kina elon musk kina trump kina jeff wa amazon nk woote walio achana na wake zao hawana akili..? Mpango wa Mungu unakataa haya wanayofanya hawa wanawake. Ukienda kwenye hivo vitabu vya dini hutaka uone mwanamke aliempendea mwanaume pesa na akataka talaka ili avune pesa za mwanaume. Mwanamke amekubali kuolewa na mwana ili avune pesa za mwana. 50 yupo sahihi kwa kizazi cha wanawake wa sasa huko mbele hasa weusi
 
Tupe kisa mkuu
Yule mamkwe amezaa watoto wanne kila mmoja ana baba yake.
X wife alikua watatu kuzaliwa na babaye watatu.
Yule mzee/babamkwe alikubali kusilimu ili amuoe yule mama,kwasababu bamkwe alikua mkristo si unajua wachaga mpaka umbadilishe dini ni mbinde?
Alibadili dini akamuoa yule mama,sasa wakaishi na kuishi,yule bimkubwa alipata mzigua mwenzake huko ambaye muislam mwenzake.
Kule penzi limemkolea akajisahau kama kamsilimisha mchaga huku,at the end akaanzisha vurugu mara ooh mtu mwenyewe dini haufati muislam jina mara ooh sijui vile akadai talaka ndoa ikavunjika.
Yule mzee alidata alipagawa alianza kuwa mlevi hadi akafukuzwa kazi,na alikua daktari wa watoto hospitali ya rufaa.
Ulevi ulipitiliza akaachishwa kazi.
Dada yake na baba mkwe ile kitu ilimuuma,alisitisha huduma zote kwa yule mama na akasema mtoto watamlea wenyewe,mama akagoma akasema mtoto nabaki naye mimi.
Basi yule shangazi mtu akawa anatoa huduma kwa mtoto tu tena zenye limit.
Ile ikawa inamuuma yule mamakwe,mtoto kadri alivyokua anakua akawa anamjaza ujinga kuwa baba yake alikua mlevi na muhuni wa wanawake ndio maana wakaachana.
Na baba yake ana uwezo ila amekataa kuwahudumia na mali kampa dada yake ndio aziendeshe.
Mtoto akakua na ile chuki hadi ukubwani.

Kipindi anakua shangazi yake alitoa nyumba nzuri tu ili akae yeye na mama yake.Mama mtu asivyo na adabu akamleta mwanaume hawajaoana akawa anaishi nae mule ndani.
Yule jamaa alipofariki msiba ukafanyika pale,ndipo shangazi mtu akafahamu kuwa nyumba alotoa kwaajili ya mtoto wa kaka yake wifi yake alikua anaishi na hawara yake.
At the end ugomvi ulienda ukaisha.
Ila baba mkwe alifariki kwa kuungua na moto.


Unaweza ukaona wanawake ni nyoka kiasi gani mkuu.
 
Yule mamkwe amezaa watoto wanne kila mmoja ana baba yake.
X wife alikua watatu kuzaliwa na babaye watatu.
Yule mzee/babamkwe alikubali kusilimu ili amuoe yule mama,kwasababu bamkwe alikua mkristo si unajua wachaga mpaka umbadilishe dini ni mbinde?
Alibadili dini akamuoa yule mama,sasa wakaishi na kuishi,yule bimkubwa alipata mzigua mwenzake huko ambaye muislam mwenzake.
Kule penzi limemkolea akajisahau kama kamsilimisha mchaga huku,at the end akaanzisha vurugu mara ooh mtu mwenyewe dini haufati muislam jina mara ooh sijui vile akadai talaka ndoa ikavunjika.
Yule mzee alidata alipagawa alianza kuwa mlevi hadi akafukuzwa kazi,na alikua daktari wa watoto hospitali ya rufaa.
Ulevi ulipitiliza akaachishwa kazi.
Dada yake na baba mkwe ile kitu ilimuuma,alisitisha huduma zote kwa yule mama na akasema mtoto watamlea wenyewe,mama akagoma akasema mtoto nabaki naye mimi.
Basi yule shangazi mtu akawa anatoa huduma kwa mtoto tu tena zenye limit.
Ile ikawa inamuuma yule mamakwe,mtoto kadri alivyokua anakua akawa anamjaza ujinga kuwa baba yake alikua mlevi na muhuni wa wanawake ndio maana wakaachana.
Na baba yake ana uwezo ila amekataa kuwahudumia na mali kampa dada yake ndio aziendeshe.
Mtoto akakua na ile chuki hadi ukubwani.

Kipindi anakua shangazi yake alitoa nyumba nzuri tu ili akae yeye na mama yake.Mama mtu asivyo na adabu akamleta mwanaume hawajaoana akawa anaishi nae mule ndani.
Yule jamaa alipofariki msiba ukafanyika pale,ndipo shangazi mtu akafahamu kuwa nyumba alotoa kwaajili ya mtoto wa kaka yake wifi yake alikua anaishi na hawara yake.
At the end ugomvi ulienda ukaisha.
Ila baba mkwe alifariki kwa kuungua na moto.


Unaweza ukaona wanawake ni nyoka kiasi gani mkuu.
Mambo kama haya ndiyo yananifanya nisioe

Unapoona mwanamke kaanza kukutafutia visa ujue huna chako hapo stuka
 
Mambo kama haya ndiyo yananifanya nisioe

Unapoona mwanamke kaanza kukutafutia visa ujue huna chako hapo stuka
Ndio maana mimi nilipomuoa huyu mkewangu wasasa nilimpa kauli mbili ngumu.
Nilimwambia mimi ni mtu ambaye halazimishi mapenzi na habembelezi, kwanza sijakulazimisha kuolewa na mimi.
Hivyo ukitaka kaa usipotaka ondoka,maana maisha ya mahusiano hayalazimishwi.
Pili mimi ni muajemi ama mwarabu ama msomali,bimaana mtu wa kisasi alkisasi haqqi.
Sasa ukifanya ujinga usidhani nitaufumbia,nitaulipiza mara elfu yake na nitakufanya ujute wewe hadi kizazi kilichokuzaa.

😂😂😂😂Weee kalivyo kajinga kakaenda kumwambia mamaake hadi nyumbani kakataka kuondoka kwa hofu.
Ila alhamdulillah hazingui,kama akizingua najua namna ya kumpa stahiki yake.
 
Back
Top Bottom