Alinionya "nisiwapende wanawake wa kizazi hiki" lakini sikusikiliza

Alinionya "nisiwapende wanawake wa kizazi hiki" lakini sikusikiliza

Buni miradi, utajiongezea sifa kwa jamaa.... Siku akizinduka kwenye hicho kizungumkuti atakuuliza "miaka yote nakuhonga, nini umefanya?!"

By-the way... Kuniuliza nataka nipewe unanikosea ephen 😭

Rijal, msomi, uchumi unasoma angalau si haba, sina cha kupoteza, siwapi priority wanawake na mashemeji wenye matashtiti na mapashupashu kama wewe wakinikalia on-target nawakula ile mbaya! 😋👍
Wewe ndiye ulitaka tufike huku!
Dunia ya sasa hivi kila mtu atafute pesa zake lakini pesa zenu ni zetu usisahau hilo☺️

Nawaunga mkono wadada wanaotafuta pesa❤️
 
Asilimia kubwa ya wanawake ni viumbe wa hovyo sana kuwahi kutokea. Binafsi nipo kwenye great regreat imenikumba last week, siongeu vizuri na shemeji yenu. Sisi wote ni walimu, sisi wote tumeoana tukiwamayatima kwa wazazi wote, sisi wote tumelelewa na ndugu toka utoto, yeye alilelewa kwa bibi na baadae baba yake alioa so alilelewa na mama wakambo, she was a good mom to her.
Tulivyooana tulielewana kila tunachopata tunaleta mezani tunatoa matumizi binafsi kinachobaki tunafanyia maendeleo. Tumeenda hivo kwa miaka 10 ya ndoa. Mm ndo nina kipato kikubwa takriban mara 3 yake kwa maana ya mshahara coz ni mwk wa chuo x yy ni wa sec.
Sasa mwaka juz tulifikia uamzi wa kuhamia mkoa y kutoka mkoa x tulipokua tunafanya kazi. Huwa muda wote tunaishi kwenye bank loan na kila tunapokopa huwa tunajenga
So nikachukua loan bank kama 25mil nikamjengea numba ya kuishi mkoa y ili watoto na yeye wasiishi nyumba ya kupanga coz walishazoea kuishi kwao na mkoa y nyumba nilikuta zinabei sababu ni jijini tofauti na mkoa x. Nyumba ikaisha ikabaki baadhi ya finishing nikamwambia naye akakope 5mil tukafanya finishing, japo haikumaliza ila ilitosha kufanya watu waishi. Kweny mkopo mm huwa nachukua 3 yrs so huwa nakatwa nabaki na 1/3 tu, tuna watoto3 wote wapo shule tena private so huwa napambana hasa kuhakikishanalipa ada na huku huwa simhusishi napambana tu mwwnyewe. Pia huwa kila mwezi naboost matumizi ya kwake mkoa y kwani mm bado nipo mkoa x. Ss mwaka juzi alikopa kama 1mil hivi bila mm kujua nikaja kustuka slip yake ina den lingine nikamkaba akasema hajakopa nlivomwonesha slip akasema alikuwa na mgonjwa, ni kweli na mm nlituma hela ya matibabu, sikumwamini coz 1mil ni nyingi naye sio mtoto pekee ana kaka zake, tukalumbana nikapotezea. Wiki jana nimekuja kupitia slip yake nakuta ana deni la 6mil on top ya deni la 5mil toka nmb, ana mabot na crdb ukijumlisha yanafika kama 20mil ila kati hayo deni la 6 mil silijui na sijui hela yake ametumia kwa kazi ganimaana yake kila akipanda mshahara alikuwa anaenda kukopa na wakati tunakopa alikuwa na gross ya lak7 sasa ana gros ya lak9.
Ikumbukwe mkopo siri wa mwanzo nilimwonya asijekurudia kukopa bila kunishirikisha, sababu mwisho wa siku mzigo unanirudia mm ambaye lazima nicover kila kiasi anachokatwa kwa maana rahisi mm ndo mlipaji wa hili deni.
Kingine kinachonipa shida next of keen ni nani?, maana once akifa hatuombei hivo kuna mrithi wa mali na madeni ambaye kwa vyovyote vile nimke ama mume, ameweka ni nani, na nani huwa anasain kama mtu wake wa karibu. Hapa tumenuniana, nawaza hata kuchukua maamuzi magumu sana ya kumpandisha cheo coz haanisikilizi, hana huruma na hustle zangu. Possibly anajenga ama kuna mwamba anamkula amemkopea
Pole sana mkuu,hawa watu ni pasua kichwa sana,wapende lakini tumia akili ya ziada huku ukimshirikisha sana Mungu,kukuingiza kwenye ma BP ni rahisi sana kwakuwa ni vitu vitakavyokuwa vinakuumiza maisha yako yote,mara nyingi mwanzoni wanakuwa ni watu wazuri sana,lakini wakishaanza kupata kipato hali huwa inabadilika,mostly wana makundi yao kama wanawake huwa wanadanganyana sana,kundi lingine ni huko kwenye salon zao,kule wanakutana na maharamia ambao tayari yameshafail kwenye ndoa zao kwahiyo kazi yao kubwa ni kuvuruga za wale wasiojitambua,Mungu kwanza mkuu everything with time kitakaa sawa...
 
Hii nimeiona!!! Haipiti siku mwanaume na mapumbu yake anaanzisha thread kusakama wanawake!!! Sijui hawana Bibi, Mama, Shangazi, Mke, Dada, Binti?? Waione Zemanda Natafuta Ajira Kosugi na wanaume wote wenye tabia hizo.
Aaah taaddab dada,lini nimeanzisha uzi wa kuwasakama wadada!?
Na mleta mada hajaleta mada ya kusakama bali anaeleza ukweli.
Wanawake mnazingua sana aisee.
Tena wengi wenu naweza sema mnajiuza kijanja.
Yani mwanaume akiwa na hela mna take advantage.
Embu chukulia kesi ya Achraf Hakimi ambayo mkewe alidai talaka.
Hakukuwa na concrete reason ya kudai talaka na Hakimi hakumkosea mkewe lolote,ila kwasababu sheria inasema mkitalikiana mali hugawanywa pasu kwa pasu ikaamuriwa hivyo.
Ila bahati mbaya Achraf mali kaandika jina la bimkubwa.
Acheni ujambazi kwa kujificha kichaka cha ndoa.
Wanawake wa sasa majambazi.
Na dawa yenu tutawashenyenta futa hizo na mali hampati.
 
Kinachonishangaza huku mtaani wanaume hawapo hivi ambavyo mnajitutumua jf

Ada za chuo zinalipwa, tunatumiwa hadi hela "hii mpe mama" na bado mtu analilia kukuoa☺️🙌
Kunywa Pepsi big hapo Kwa mangi 😀😀
Nami nawasubir wabishe tuwape evidence kuwa wanaume NJ watu wema wantupenda na kutujali mno 😂😂
 
Asilimia kubwa ya wanawake ni viumbe wa hovyo sana kuwahi kutokea. Binafsi nipo kwenye great regreat imenikumba last week, siongeu vizuri na shemeji yenu. Sisi wote ni walimu, sisi wote tumeoana tukiwamayatima kwa wazazi wote, sisi wote tumelelewa na ndugu toka utoto, yeye alilelewa kwa bibi na baadae baba yake alioa so alilelewa na mama wakambo, she was a good mom to her.
Tulivyooana tulielewana kila tunachopata tunaleta mezani tunatoa matumizi binafsi kinachobaki tunafanyia maendeleo. Tumeenda hivo kwa miaka 10 ya ndoa. Mm ndo nina kipato kikubwa takriban mara 3 yake kwa maana ya mshahara coz ni mwk wa chuo x yy ni wa sec.
Sasa mwaka juz tulifikia uamzi wa kuhamia mkoa y kutoka mkoa x tulipokua tunafanya kazi. Huwa muda wote tunaishi kwenye bank loan na kila tunapokopa huwa tunajenga
So nikachukua loan bank kama 25mil nikamjengea numba ya kuishi mkoa y ili watoto na yeye wasiishi nyumba ya kupanga coz walishazoea kuishi kwao na mkoa y nyumba nilikuta zinabei sababu ni jijini tofauti na mkoa x. Nyumba ikaisha ikabaki baadhi ya finishing nikamwambia naye akakope 5mil tukafanya finishing, japo haikumaliza ila ilitosha kufanya watu waishi. Kweny mkopo mm huwa nachukua 3 yrs so huwa nakatwa nabaki na 1/3 tu, tuna watoto3 wote wapo shule tena private so huwa napambana hasa kuhakikishanalipa ada na huku huwa simhusishi napambana tu mwwnyewe. Pia huwa kila mwezi naboost matumizi ya kwake mkoa y kwani mm bado nipo mkoa x. Ss mwaka juzi alikopa kama 1mil hivi bila mm kujua nikaja kustuka slip yake ina den lingine nikamkaba akasema hajakopa nlivomwonesha slip akasema alikuwa na mgonjwa, ni kweli na mm nlituma hela ya matibabu, sikumwamini coz 1mil ni nyingi naye sio mtoto pekee ana kaka zake, tukalumbana nikapotezea. Wiki jana nimekuja kupitia slip yake nakuta ana deni la 6mil on top ya deni la 5mil toka nmb, ana mabot na crdb ukijumlisha yanafika kama 20mil ila kati hayo deni la 6 mil silijui na sijui hela yake ametumia kwa kazi ganimaana yake kila akipanda mshahara alikuwa anaenda kukopa na wakati tunakopa alikuwa na gross ya lak7 sasa ana gros ya lak9.
Ikumbukwe mkopo siri wa mwanzo nilimwonya asijekurudia kukopa bila kunishirikisha, sababu mwisho wa siku mzigo unanirudia mm ambaye lazima nicover kila kiasi anachokatwa kwa maana rahisi mm ndo mlipaji wa hili deni.
Kingine kinachonipa shida next of keen ni nani?, maana once akifa hatuombei hivo kuna mrithi wa mali na madeni ambaye kwa vyovyote vile nimke ama mume, ameweka ni nani, na nani huwa anasain kama mtu wake wa karibu. Hapa tumenuniana, nawaza hata kuchukua maamuzi magumu sana ya kumpandisha cheo coz haanisikilizi, hana huruma na hustle zangu. Possibly anajenga ama kuna mwamba anamkula amemkopea
Daaaahhh! Pole sana brother Kaka! Kwakweli hapa unahitaji watu wenye hekima kubwa na busara tele kukupa ushauri mpaka ufikie Consensus.

Swala la kutoa utamu nje na mpaka kufikia kumgharamia huyo mwizi wetu linawezekana... Ushushushu wa hali ya juu unahitajika hapo kabla ya yote.

Keep ya' head up!
 
Back
Top Bottom