Alinionya "nisiwapende wanawake wa kizazi hiki" lakini sikusikiliza

Alinionya "nisiwapende wanawake wa kizazi hiki" lakini sikusikiliza

Mambo haya yanafikirisha na kuogofya kwa kiwango kikubwa..kwamba wanawake wanaoweza kupenda hakuna kabisa au we don't love them right???

Maana isiwe tuna point fingers kwa wanawake kumbe Sisi wenyewe ndio msingi wa uharibifu,tunaenda kutengeneza Jamii ya kiduanzi isiyo jali hisia za wengine, now bila kusema nani kafanya nini, chanzo cha haya yote ni nini????
Chanzo ni PESA mkuu

Hata mimi kuna mbwa ziliniumiza ila sa hv nikikutana nazo zinaleta shobo, nikizicheki zimechakaa ile mbaya
 
Mzee wa kupambania anajisifu yeye haongi ila anasponsor mchakato wa demu kuliwa

Kwanini huo mchakato wasitumie pesa za mwanamke au zao wote cz raha wote wanapata!

Watajibana lakini mwisho wa siku hela zao ni zetu na zetu ni zetu tu😂
Mchakato wa kuila nalipia ili niichape vizuri bila masimango 🤣

Kuna siku nilikaza nikatumia za mwanamke nikakosa uhuru kabisa ila hakuwa na noma wala nini

Hiyo za mwanaume zenu labda kwa simps
 
Asilimia kubwa ya wanawake ni viumbe wa hovyo sana kuwahi kutokea. Binafsi nipo kwenye great regreat imenikumba last week, siongeu vizuri na shemeji yenu. Sisi wote ni walimu, sisi wote tumeoana tukiwamayatima kwa wazazi wote, sisi wote tumelelewa na ndugu toka utoto, yeye alilelewa kwa bibi na baadae baba yake alioa so alilelewa na mama wakambo, she was a good mom to her.
Tulivyooana tulielewana kila tunachopata tunaleta mezani tunatoa matumizi binafsi kinachobaki tunafanyia maendeleo. Tumeenda hivo kwa miaka 10 ya ndoa. Mm ndo nina kipato kikubwa takriban mara 3 yake kwa maana ya mshahara coz ni mwk wa chuo x yy ni wa sec.
Sasa mwaka juz tulifikia uamzi wa kuhamia mkoa y kutoka mkoa x tulipokua tunafanya kazi. Huwa muda wote tunaishi kwenye bank loan na kila tunapokopa huwa tunajenga
So nikachukua loan bank kama 25mil nikamjengea numba ya kuishi mkoa y ili watoto na yeye wasiishi nyumba ya kupanga coz walishazoea kuishi kwao na mkoa y nyumba nilikuta zinabei sababu ni jijini tofauti na mkoa x. Nyumba ikaisha ikabaki baadhi ya finishing nikamwambia naye akakope 5mil tukafanya finishing, japo haikumaliza ila ilitosha kufanya watu waishi. Kweny mkopo mm huwa nachukua 3 yrs so huwa nakatwa nabaki na 1/3 tu, tuna watoto3 wote wapo shule tena private so huwa napambana hasa kuhakikishanalipa ada na huku huwa simhusishi napambana tu mwwnyewe. Pia huwa kila mwezi naboost matumizi ya kwake mkoa y kwani mm bado nipo mkoa x. Ss mwaka juzi alikopa kama 1mil hivi bila mm kujua nikaja kustuka slip yake ina den lingine nikamkaba akasema hajakopa nlivomwonesha slip akasema alikuwa na mgonjwa, ni kweli na mm nlituma hela ya matibabu, sikumwamini coz 1mil ni nyingi naye sio mtoto pekee ana kaka zake, tukalumbana nikapotezea. Wiki jana nimekuja kupitia slip yake nakuta ana deni la 6mil on top ya deni la 5mil toka nmb, ana mabot na crdb ukijumlisha yanafika kama 20mil ila kati hayo deni la 6 mil silijui na sijui hela yake ametumia kwa kazi ganimaana yake kila akipanda mshahara alikuwa anaenda kukopa na wakati tunakopa alikuwa na gross ya lak7 sasa ana gros ya lak9.
Ikumbukwe mkopo siri wa mwanzo nilimwonya asijekurudia kukopa bila kunishirikisha, sababu mwisho wa siku mzigo unanirudia mm ambaye lazima nicover kila kiasi anachokatwa kwa maana rahisi mm ndo mlipaji wa hili deni.
Kingine kinachonipa shida next of keen ni nani?, maana once akifa hatuombei hivo kuna mrithi wa mali na madeni ambaye kwa vyovyote vile nimke ama mume, ameweka ni nani, na nani huwa anasain kama mtu wake wa karibu. Hapa tumenuniana, nawaza hata kuchukua maamuzi magumu sana ya kumpandisha cheo coz haanisikilizi, hana huruma na hustle zangu. Possibly anajenga ama kuna mwamba anamkula amemkopea
Pole sana mkuu
 
Amerudia kosa lile lile alilokanywa na 50.....ameoa tena......yaani maumivu hayajamfunza kitu.......huyu ndugu anaonekana ni mdhaifu sana kwa wanawake na akipenda anapenda vibaya........
Huyu Tyrese ni mpumbavu sana ni jamaa ambaye anapuuza sana red flags kwa wanawake

Imagine sasa hivi amemuoa single mom ambaye huwa anapost picha za nusu uchi mitandaoni anaitwa Zelie Timothy mwanamke ana red flags zote lakini Tyrese kazama penzini naye.

Mwone na anacheka kabisa kumuoa single mom. Kweli single mom ni mwanamke wa kufanya naye maisha? Inasikitisha sana.

20240901_065040.jpg

Tyrese na Zelie Timothy

Hata yule ex wife wake Samantha naye alikuwa na red flags za kutosha naye akamuoa hivyohivyo akazipuuza kwa sababu ya pussy na urembo wake akapigwa 50% ya assets

Huyu jamaa ni aina ya wanaume dhaifu "SIMPS" wengi tulio nao katika jamii kwa sababu ya pussy na nyash wanapotezea red flags wanaishia kuchitiwa na kupigwa nusu ya assets zao na makahaba wakati wa talaka

Hakuna haja ya kuwaonea huruma wanaume wapumbavu wa aina hii. Naamini hata mwanae 50 Cent huko alipo kachoka

Mwanaume yeyote kabla ya kuoa lazima ufanye vetting na uzingatie red flags la sivyo maumivu.

Don't feel pity for these men, they deserve everything and more they get from these women. There's a price to simping

Learn or perish
 
Huyu jamaa ni mpumbavu sana ni jamaa ambaye anaopuuza sana red flags kwa wanawake

Imagine sasa hivi amemuoa single mom ambaye huwa anapost picha za nusu uchi mitandaoni anaitwa Zelie Timothy mwanamke ana red flags zote lakini Tyrese yuko naye.
Mwone na anacheka kabisa kumuoa single mom

View attachment 3083942

Tyrese na Zelie Timoty

Hata yule ex wife wake Samantha naye alikuwa na red flags za kutosha naye akamuoa hivyohivyo akazipuuza kwa ssbabu ya pussy na urembo wake.

Huyu jamaa ni aina ya wanaume dhaifu wengi tulio nao katika jamii kwa sababu ya pussy na nyash wanapotezea red flags wanaishia kuchitiwa na kupigwa nusu ya assets zao na makahaba wakati wa talaka

Hakuna haja ya kuwaonea huruma wanaume wapumbavu wa aina hii. Naamini hata mwanae 50 cent huko alipo kachoka

Mwanaume yeyote kabla ya kuoa lazima ufanye vetting na uzingatie red flags la sivyo maumivu.

Don't feel pity for these men, they deserve everything and more they get from these women. There's a price to simping

Learn or perish
HUYU JAMAAA ANA TATIZO LA KIAKILI INGAWA WATU HAWAZINGATII....
 
Back
Top Bottom