Hata usijali kijana wangu!kama ni kitu kinakupa furaha kuwawazia watu kifo we fanya tu, kwa maana hata usipowawazia kifo kitawapata,hata ukiwawazia kifo kitawapata....kifo ndio kitu cha pekee binadamu tuna uhakika nacho hundreds π― kitatokea, vingine ni probabilitymama mchungajiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii nakuja unitoe mapepo ya kuwawazia kifo watu
π€£π€£π€£Sio kushangaza tu hiyo seat pia itakuwa ya moto Sana..
Maana kila atakaekatiwa seat hiyo huenda atakuwa anarudi Kama mzigo..
Sijui seat hiyo itakuwaje kwa kweli..
Ameen Mama mchungaji nimelipokea neno nimebadilika mimi ngoja sasa nikafanye mazoezi ya kuimba TENZI ZA ROHONI MWAMBA WENYE IMARAHata usijali kijana wangu!kama ni kitu kinakupa furaha kuwawazia watu kifo we fanya tu, kwa maana hata usipowawazia kifo kitawapata,hata ukiwawazia kifo kitawapata....kifo ndio kitu cha pekee binadamu tuna uhakika nacho hundreds π― kitatokea, vingine ni probability
Yani unapewa alafu ukikengeuka wanakutangiliza uwahi kufika
Unacheka itafika muda watu watakuwa wanaikimbia hiyo seat.π€£π€£π€£
Sahihi kabisa mkuuHakuna cha kufikirishq hapa, ni sawa tu na binadamu yeyote akitoka nyumbani kwenye kazini akigongwa na gari! Atapikelewa nyumbani akiwa kama mwili/mzigo!
Tuache kukuza mambo.
Ina mtego mkali sana.Ngoja tuendelee kusubiri hii code ifunguliwe
Sina cha mkononi,naja msalabaniAmeen Mama mchungaji nimelipokea neno nimebadilika mimi ngoja sasa nikafanye mazoezi ya kuimba TENZI ZA ROHONI MWAMBA WENYE IMARA
Daah nzuri hii nyimbo , basi tu ila hatukupaswa kwa wenye dhambi bali kwa wale ambao wamekufa katika Bwana tuSina cha mkononi,naja msalabani
Nili uchi nivike,ni mnyonge nishike
Nili mchafu naja
Niosheni sijafa.
My favourite part by the way....enjoy Tenzi
Kama kifo kingekuwa chapeleka watu Mbinguni hakika viongozi wa dini wangekuwa wa kwanza kufa ili waende.Inashangaza sana binadamu wanapenda waende mbinguni ila wanaogopa kufa
Ovyoooo. You really need a psychiatric intervention.= yanafikirisha
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Kwanini asizikwe hukohuko alikofia?
Binadamu anajidai sana akiwa hai tena akipewa dhamana anakuwa ana akili kuliko woteKwa mara ya kwanza nashuhudia hili tukio kupitia picha hii.
View attachment 3149000
Leo utaondoka kwa ndege ukiwa daraja la kwanza (first class) ila na hatimaye kesho unarudi na ndege hiyo hiyo kama mzigo.
Haya maisha yetu yanafikiliaha sana ndg zangu,tuishi kwa amani na tafakuri sana.
SIONI TATIZO, SEMA NI MAITI YA NANI?Kwa mara ya kwanza nashuhudia hili tukio kupitia picha hii.
View attachment 3149000
Leo utaondoka kwa ndege ukiwa daraja la kwanza (first class) ila na hatimaye kesho unarudi na ndege hiyo hiyo kama mzigo.
Haya maisha yetu yanafikiliaha sana ndg zangu,tuishi kwa amani na tafakuri sana.
,ππππππHata ukipanda first class bado ni mzigo tu.
Hapo ni wapi? Hii picha ni lini? Kwanini bendera haijapandishwa hadi juu?